Mkimuyangu
JF-Expert Member
- Oct 5, 2022
- 1,054
- 1,947
Ni kawaida ya watu primitive urafiki wao unakuwa kama agano vile.
Allah akbar. Kuna mambo mtatu katika uislamu yanapojitokeza hayatakiwi kucheleweshwa hata sekundeKuna kitu nimejifunza maana mimi nimetumikia dini mbili, nimezaliwa kwenye ukristo na nikaowa ndani ya Ukristo
Yaani kuna kipindi nilifiwa na mwanangu muhimbili, ilibidi nikamzike mkoani, yaani kufika pale kulikuwa na fingusi nyingi sana kwa waumini wenzangu,isingekuwa mama yangu kuwa anacheo kanisani hali ingekuwa mbaya zaidi, maana mwanangu alikuwa hajabatizwa alikufa akiwa na miezi tisa na alizaliwa na matatizo ya moyo
Nikaja tena kufiwa na mtoto wakati nimeshakuwa Muisilamu kwa mke mwingine, alikufa akiwa na miezi sita tumboni, yaani nilipopeleka tu habari msikitini, kila kitu walifanya wao, kuanzia kuosha mpaka kumstiri.
Najivunia kuwa Muisilamii
Wasalaam JF,
Tafadhari niwape hio changamoto kila mmoja ajaribu kufuatilia urafiki baina ya vijana waislam, wadada waislam, wamama waislam, wababa waislam, na makundi hayo upande wa wakristo tena tujiangalie wenyewe.
Na hii haina nia mbaya bali naileta kama chagizo na changamoto Kwa pande zote, kuimarisha, kuboresha na kujikosoa ili tujenge jamii imara sana.
Binafsi nimefuatilia urafiki miongoni mwa wakristo umejaa unafiki na urafiki wa kweli hasa Kwa nyanja zote za shida na raha ni kitu adhimu sana.
Wanaweza kuchanga harusi, labda kidogo na misiba kinafiki, ila sio kuuguza, kumtoa mtu kwenye shida zingine mfano njaa, kusomesha kulipia ada, na matibabu.
Pia urafiki miongoni mwao umejaa usaliti, na usengenyaji.
Hata Siri miongoni mwa marafiki wakristo zinavuja sana tofauti na upande wa mashabiki wa kiarabu katika Imani, uwekezaji na uuzwaji.
Nitoe wito Kila mmoja wetu aichukue katika namna njema na chanya kujitafakari kila mmoja katika urafiki wake wa sasa na yeyote yule iwe baina ya watu wawili ama kikundi cha watu katika kulitizama hili.
Kupanga ni kuchagua na hapa sina maana urafiki wa kupekupe hapana bali urafiki wenye tija pande zote.
Ichukueni hii kama rejea ya kutafiti hasa watakaobisha go and research by yourselves.
Tusikokose kulipa Kodi na kudai risiti. TRA maeneo mengi sana wateja tunapewa bill kwenye vikaratasi bila EFD receipts hasa bar kubwa kubwa zote.
Unoko ni aina pia ya uzalendo.
Wabillah Tawfiq.
Wadiz.
Huyu jamaa post zake nying ni udini... Sometimes hazingatii muktadhaThread za aina hii zitakuja Tu kuzaa matusi ya dini ..muachane na hizi threads
Weka Ushahidi ndani ya Biblia Wakristo wanamuabudu Mtu!Unamuabudu kristo!?.. shetani hawezi kumfuata na kumpoteza mtu anayemuabudu binaadam (aliyezaliwa na mwanamke)..maana huyo kishapotea
Mkristo Adui YAKE ni shetani tu!Vipi urafiki wa muislam na mkristo???
KoranVipi urafiki wa muislam na mkristo???
KoranKuna kitu nimejifunza maana mimi nimetumikia dini mbili, nimezaliwa kwenye ukristo na nikaowa ndani ya Ukristo
Yaani kuna kipindi nilifiwa na mwanangu muhimbili, ilibidi nikamzike mkoani, yaani kufika pale kulikuwa na fingusi nyingi sana kwa waumini wenzangu,isingekuwa mama yangu kuwa anacheo kanisani hali ingekuwa mbaya zaidi, maana mwanangu alikuwa hajabatizwa alikufa akiwa na miezi tisa na alizaliwa na matatizo ya moyo
Nikaja tena kufiwa na mtoto wakati nimeshakuwa Muisilamu kwa mke mwingine, alikufa akiwa na miezi sita tumboni, yaani nilipopeleka tu habari msikitini, kila kitu walifanya wao, kuanzia kuosha mpaka kumstiri.
Najivunia kuwa Muisilamii
Muislamu wa wa tandahimba anaelima korosho anaweza kuoa binti wa jakaya kikwete kisa wote ni waislamu?Kisa cha Malcom X: Ndani ya Marekani wakristo wazungu waliwabagua vibaya wakristo weusi. Hawakuruhusiwa kuoana, kukaa migahawa mimoja, kusafiri kwenye basi au behewa moja, kutumia vyoo vimoja na hata kuishi mitaa mimoja. Kwa miaka mingi sana wamefanya hivyo huku wakijiita wakristo. Malcom X alipoenda Hija alishangaa kukuta watu wa kila rangi wanakula na kulala pamoja. Hata mtu mmoja mkubwa serikalini alimuachia makazi yake ya kifahari ya hotelini aishi kitu ambacho kwa Marekani ilikuwa ni ndoto.
Uislamu una nguvu sana katika kuunganisha watu na kuwafanya kuwa ndugu, mtu ni Muislamu kwanza ndiyo mambo mengine yanafuata. Kwenye eneo hilo wamefanya vizuri sana.
KoranHaya mambo ya dini ,kabila ,ukanda achaneni nayo yanaleta inferiority complex baina ya watu .
Sio mambo mazuri kabisa ndugu zangu.