Mtazamo wangu: Wachezaji wengi wa Simba SC wana vitambi na ni goigoi wajiandae kwa aibu kubwa 20.10.2023

Mtazamo wangu: Wachezaji wengi wa Simba SC wana vitambi na ni goigoi wajiandae kwa aibu kubwa 20.10.2023

Kichwamoto

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2019
Posts
3,403
Reaction score
4,692
Sina haja ya kuandika maneno mengi itoshe kusema siku ya ufunguzi wa African football league tarehe 20.10.2023, Simba SC wanaenda kupigwa kipigo cha aibu sana.

Wachezaji wengi wa Simba SC wana vitambi na ni goigoi wa kutupwa.

Watanzania jiandaeni kwa aibu ya kitaifa inaenda kuletwa na Simba SC pale kwa Mkapa Stadium.

Wembe ndio huo unaenda kuwakata na wao watakata mauno.

😂😂😂😂 Thimba Thimba
 
Sina haja ya kuandika maneno mengi itoshe kusema siku ya ufunguzi wa African football league tarehe 20.10.2023, Simba SC wanaenda kupigwa kipigo cha aibu sana.

Wachezaji wengi wa Simba SC wana vitambi na ni goigoi wa kutupwa.

Watanzania jiandaeni kwa aibu ya kitaifa inaenda kuletwa na Simba SC pale kwa Mkapa Stadium.

Wembe ndio huo unaenda kuwakata na wao watakata mauno.

😂😂😂😂 Thimba Thimba
Tatu atakuwepo kuchezesha mechi

No worries
 
Sina haja ya kuandika maneno mengi itoshe kusema siku ya ufunguzi wa African football league tarehe 20.10.2023, Simba SC wanaenda kupigwa kipigo cha aibu sana.

Wachezaji wengi wa Simba SC wana vitambi na ni goigoi wa kutupwa.

Watanzania jiandaeni kwa aibu ya kitaifa inaenda kuletwa na Simba SC pale kwa Mkapa Stadium.

Wembe ndio huo unaenda kuwakata na wao watakata mauno.

😂😂😂😂 Thimba Thimba
Naona hangover ya kupigwa na Ihefu bado haijawatoka,huenda unaongea kinyume ugoigoi na vitambi vya wachezaji wa Yanga ndo vilisababisha IHEFU akapiga kwenye mshono hivyo mnahangaika kupunguza machungu kupitia mechi ya AFL ya Simba versus Al Ahly.
Anyway,yote Kwa yote,ya AFL HAYAWAHUSU🤣🤣 nyie size yenu Chamazi
 
Sina haja ya kuandika maneno mengi itoshe kusema siku ya ufunguzi wa African football league tarehe 20.10.2023, Simba SC wanaenda kupigwa kipigo cha aibu sana.

Wachezaji wengi wa Simba SC wana vitambi na ni goigoi wa kutupwa.

Watanzania jiandaeni kwa aibu ya kitaifa inaenda kuletwa na Simba SC pale kwa Mkapa Stadium.

Wembe ndio huo unaenda kuwakata na wao watakata mauno.

😂😂😂😂 Thimba Thimba


images (2) (1) (1).jpeg
 
Sina haja ya kuandika maneno mengi itoshe kusema siku ya ufunguzi wa African football league tarehe 20.10.2023, Simba SC wanaenda kupigwa kipigo cha aibu sana.

Wachezaji wengi wa Simba SC wana vitambi na ni goigoi wa kutupwa.

Watanzania jiandaeni kwa aibu ya kitaifa inaenda kuletwa na Simba SC pale kwa Mkapa Stadium.

Wembe ndio huo unaenda kuwakata na wao watakata mauno.

😂😂😂😂 Thimba Thimba
Sema nini?kikubwa uhai
Tutakutana Tena hapa
INSHALLAH 🙏🏿
 
Sina haja ya kuandika maneno mengi itoshe kusema siku ya ufunguzi wa African football league tarehe 20.10.2023, Simba SC wanaenda kupigwa kipigo cha aibu sana.

Wachezaji wengi wa Simba SC wana vitambi na ni goigoi wa kutupwa.

Watanzania jiandaeni kwa aibu ya kitaifa inaenda kuletwa na Simba SC pale kwa Mkapa Stadium.

Wembe ndio huo unaenda kuwakata na wao watakata mauno.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Thimba Thimba
FB_IMG_1697704408869.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sina haja ya kuandika maneno mengi itoshe kusema siku ya ufunguzi wa African football league tarehe 20.10.2023, Simba SC wanaenda kupigwa kipigo cha aibu sana.

Wachezaji wengi wa Simba SC wana vitambi na ni goigoi wa kutupwa.

Watanzania jiandaeni kwa aibu ya kitaifa inaenda kuletwa na Simba SC pale kwa Mkapa Stadium.

Wembe ndio huo unaenda kuwakata na wao watakata mauno.

😂😂😂😂 Thimba Thimba
Daah hi aibu yan watu wanagem na azam ila wapo bze na simba 🤣🤣
 
Back
Top Bottom