Mtego kwa Waziri mpya wa Ujenzi kuhusu tenda na mikataba atakayoikuta Wizarani

Mtego kwa Waziri mpya wa Ujenzi kuhusu tenda na mikataba atakayoikuta Wizarani

Freed Freed

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2017
Posts
6,547
Reaction score
7,167
Wizara ya Ujenzi ina bajeti kubwa kutokana na miradi yake mingi.

Waziri wa Ujenzi Innocent Bashungwa ana kazi kubwa mbele kuhusu mikataba na tenda atakazokuta wizarani.

Namaanisha zile zenye harufu ya upendeleo au rushwa. Sasa itabidi achague kulindana au kutenda haki Kama mzalendo bila kuangalia sura na nani anahusika hapa na pale.

Je ana ubavu wa kuyafanya hayo?
 
Jamaa aliyetoka hapo alikuwa mpigaji saana!

Hadi uthubutu wa dipii wedi! Inadaiwa alikuwa anakula na ...............................
 
Wizara ya Ujenzi ina bajeti kubwa kutokana na miradi yake mingi.
Waziri wa Ujenzi Innocent Bashungwa ana kazi kubwa mbele kuhusu mikataba na tenda atakazokuta wizarani.

Namaanisha zile zenye harufu ya upendeleo au rushwa. Sasa itabidi achague kulindana au kutenda haki Kama mzalendo bila kuangalia sura na nani anahusika hapa na pale.

Je ana ubavu wa kuyafanya hayo?
Hakuna mtego hapo... Ni mwendo wa kuendelea walipoishia!!!
 
Jamaa aliyetoka hapo alikuwa mpigaji saana!

Hadi uthubutu wa dipii wedi! Inadaiwa alikuwa anakula na ...............................
Malizia jina japo kimafumbo..........................Sasa kwanini kahamishwa.
 
Mbarawawa, yupo transport
Hiyo exchange ni kawaida tu mi point ilikua... Kama mradi au dili yoyote ni inatoka juu kbs basi atakaekuja kweny wizara husika ataendeleza walipoishia cz hakuna wa kutengua dili la walio on top!!
 
Yote inategemea aliyeko juu ana mwenendo gani. Kama mamalaka ya uteuzi haina uzalendo basi wewe ukileta uzalendo unaonekana kikwazo. Wahini na wezi ndio wanaonekana wachapa kazi.
 
Back
Top Bottom