Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
Huyo ameshakuwa bilinear amepiga pesa reli ya kati phase 5 ,bado dp worldjamaa aliyetoka hapo alikuwa mpigaji saana!
Hadi uthubutu wa dipii wedi! Inadaiwa alikuwa anakula na ...............................
Hakuna mtego hapo... Ni mwendo wa kuendelea walipoishia!!!Wizara ya Ujenzi ina bajeti kubwa kutokana na miradi yake mingi.
Waziri wa Ujenzi Innocent Bashungwa ana kazi kubwa mbele kuhusu mikataba na tenda atakazokuta wizarani.
Namaanisha zile zenye harufu ya upendeleo au rushwa. Sasa itabidi achague kulindana au kutenda haki Kama mzalendo bila kuangalia sura na nani anahusika hapa na pale.
Je ana ubavu wa kuyafanya hayo?
Malizia jina japo kimafumbo..........................Sasa kwanini kahamishwa.Jamaa aliyetoka hapo alikuwa mpigaji saana!
Hadi uthubutu wa dipii wedi! Inadaiwa alikuwa anakula na ...............................
Akimgusa mwenzie?Hakuna mtego hapo... Ni mwendo wa kuendelea walipoishia!!!
Kuna watu Wana bahati Sana. Haguswi anahamishwa tu.Huyo ameshakuwa bilinear amepiga pesa reli ya kati phase 5 ,bado dp world
Wakijenga barabara hawatangazi tenda kupitia TANROAD? Ununuzi je? Nielimishe.Hivi wizara inahusika na Mambo ya tenda kweli,
Wakijenga barabara hawatangazi tenda kupitia TANROAD? Ununuzi je? Nielimishe.Hivi wizara inahusika na Mambo ya tenda kweli,
TANROADS ndio wahusikaWakijenga barabara hawatangazi tenda kupitia TANROAD? Ununuzi je? Nielimishe.
Hawez thubutu kama ni issue ya viongoz wa juu!!Akimgusa mwenzie?
Unadhani hao TANROADS wapo chini ya Wizara gani? Unadhani waziri hawezi kuingilia huko Kama taasisi ya Wizara yake?TANROADS ndio wahusika
Hao viongozi wa juu wamemtoaje mteule wao wa awali?Hawez thubutu kama ni issue ya viongoz wa juu!!
Kiongoz gan katolewa na waliomteua?Hao viongozi wa juu wamemtoaje mteule wao wa awali?
Mbarawawa, yupo transportKiongoz gan katolewa na waliomteua?
Hiyo exchange ni kawaida tu mi point ilikua... Kama mradi au dili yoyote ni inatoka juu kbs basi atakaekuja kweny wizara husika ataendeleza walipoishia cz hakuna wa kutengua dili la walio on top!!Mbarawawa, yupo transport