Mtei akosoa mgombea binafsi kuruhusiwa kuwania urais

Mtei akosoa mgombea binafsi kuruhusiwa kuwania urais

Acha uongo mkuu. Nikupe mfano mmoja tu. Marekani inao wagombea binafsi.

Mkuu Kuna Registered Party kinaitwa THIRD PARTY kwahiyo Upande wa Republicans Wanaotaka kugombea kama hawakuchaguliwa na Republicans wanakwenda kugombea as THIRD PARTY CANDIDATES au Kuna Vyama Vingine Vimesajiliwa kwenye Sate MOJA tu lakini Mgombea wake anataka kugombea URAIS ... wataita Independent lakini hicho chama lazima kiwe kimesajiliwa kwenye state moja kati ya state 50 USA na lazima kiwe na ITIKADI

Mfano Angalia wote Waliogombea URAIS USA Mwaka 2012


Presidency 2012
President Obama is seeking re-election to a second term in 2012. A large crowd of Republican candidates are competing for the GOP nomination. Plus there are LOTS of third party and independentP2012 hopefuls. So, if a person is running --regardless of party, ballot status, or chances of winning -- we have him or her listed below. Incumbent party first, following by the main opposition party, then the third party candidates, and finally the independent and write-in hopefuls.
LEGEND:
BOLD = Announced Candidate (or Filed an Exploratory Committee)
Italics = Possible Candidate

DEMOCRATIC PARTY:
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="width: 200, align: center"]
obama.jpg
cleardot.gif
biden.jpg
[/TD]
[TD="align: left"]President Barack Obama (Illinois)
Presidential Nominee

Vice President Joe Biden (Delaware)
Vice Presidential Nominee
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

REPUBLICAN PARTY:
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="width: 200, align: center"]
mitt.jpg
cleardot.gif
paulryan.jpg
[/TD]
[TD="align: left"]Former Massachusetts Governor Mitt Romney (California)
Presidential Nominee

Congressman Paul Ryan (Wisconsin)
Vice Presidential Nominee
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

THIRD PARTY and
INDEPENDENT CANDIDATES:

(Note: Parties with ballot status in at least one state -- based on either 2008 status or preliminary 2012 status -- listed first, then all others under the INDEPENDENT & WRITE-IN CANDIDATES header).
**CLICK HERE TO VIEW THE BALLOT ACCESS CHART FOR THIRD PARTY & INDEPENDENT CANDIDATES**

AMERICA'S PARTY / AMERICAN INDEPENDENT PARTY:
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="width: 190, align: center"]
TomHoefling.jpg
cleardot.gif
JDEllis.jpg
[/TD]
[TD="align: left"]Tom Hoefling (Iowa)
Presidential Nominee

J.D. Ellis (Tennessee)
Vice Presidential Nominee
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

AMERICAN THIRD POSITION PARTY:
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="width: 190, align: center"]
MerlinMiller.jpg
cleardot.gif
HarryBertram.jpg
[/TD]
[TD="align: left"]Merlin Miller (California)
Presidential Nominee

Harry Bertram (West Virginia)
Vice Presidential Nominee
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

CONSTITUTION PARTY:
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="width: 190, align: center"]
virgilgoode.jpg
cleardot.gif
jimclymer.jpg
[/TD]
[TD="align: left"]Former Congressman Virgil Goode (Virginia)
Presidential Nominee

Jim Clymer (Pennsylvania)
Vice Presidential Nominee
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

GREEN PARTY:
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="width: 190, align: center"]
JillStein.jpg
cleardot.gif
honkala.jpg
[/TD]
[TD="align: left"]Dr. Jill Stein (Massachusetts)
Presidential Nominee

Cheri Honkala (Pennsylvania)
Vice Presidential Nominee
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

JUSTICE PARTY:
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="width: 190, align: center"]
RockyAnderson.jpg
cleardot.gif
LuisRodriguez.jpg
[/TD]
[TD="align: left"]Former Salt Lake City Mayor Rocky Anderson (Utah)
Presidential Nominee

Luiz Rodriguez (Illinois)
Vice Presidential Nominee
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
NOTE: ALSO NOMINEE OF THE INDEPENDENCE PARTY OF CONNECTICUT and NATURAL LAW PARTY OF MICHIGAN.

LIBERTARIAN PARTY:
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="width: 190, align: center"]
garyjohnson.jpg
cleardot.gif
judgejimgray.jpg
[/TD]
[TD="align: left"]Former Governor Gary Johnson (New Mexico)
Presidential Nominee

Former Superior Court Judge Jim Gray (California)
Vice Presidential Nominee
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

OBJECTIVIST PARTY:
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="width: 190, align: center"]
TomStevens.jpg
cleardot.gif
AldenLink.jpg
[/TD]
[TD="align: left"]Tom Stevens (New York)
Presidential Nominee

Alden Link (Florida)
Vice Presidential Nominee
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

PARTY OF SOCIALISM AND LIBERATION (PSL):
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="width: 190, align: center"]
PetaLindsay.jpg
cleardot.gif
YariOsorio.jpg
[/TD]
[TD="align: left"]Peta Lindsay (California)
Presidential Nominee

Yari Osorio (New York)
Vice Presidential Nominee
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
NOTE: THE PSL MAY ALSO USE SURROGATE PSL NOMINEES IN SOME STATES, WHERE NEEDED FOR BALLOT ACCESS PURPOSES, AS LINDSAY (AGE 27) AND OSORIO (AGE 26 & FOREIGN BORN) ARE NOT CONSTITUTIONALLY QUALIFIED TO SERVE IF ELECTED.

PEACE & FREEDOM PARTY:
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="width: 190, align: center"]
RosanneBarr.jpg
cleardot.gif
CindySheehan.jpg
[/TD]
[TD="align: left"]Rosanne Barr (Hawaii)
Presidential Nominee

Cindy Sheehan (California)
Vice Presidential Nominee
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

PROHIBITION PARTY:
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="width: 190, align: center"]
fellure.jpg
cleardot.gif
tobydavis.jpg
[/TD]
[TD="align: left"]Lowell "Jack" Fellure (West Virginia)
Presidential Nominee

Toby Davis (Mississippi)
Vice Presidential Nominee
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

REFORM PARTY USA:
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="width: 190, align: center"]
AndreBarnett.jpg
cleardot.gif
KenCross.jpg
[/TD]
[TD="align: left"]Andre Barnett (New York)
Presidential Nominee

Ken Cross (Arkansas)
Vice Presidential Nominee
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

SOCIALIST PARTY USA (SP-USA) / LIBERTY UNION PARTY:
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="width: 190, align: center"]
StewartAlexander.jpg
cleardot.gif
AlexMendoza.jpg
[/TD]
[TD="align: left"]Stewart Alexander (California)
Presidential Nominee

Alejandro "Alex" Mendoza (Texas)
Vice Presidential Nominee
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

SOCIALIST EQUALITY PARTY:
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="width: 190, align: center"]
JerryWhite.jpg
cleardot.gif
PhyllisScherrer.jpg
[/TD]
[TD="align: left"]Jerome "Jerry" White (Michigan)
Presidential Nominee

Phyllis Scherrer (Pennsylvania)
Vice Presidential Nominee
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

SOCIALIST WORKERS PARTY (SWP):
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="width: 190, align: center"]
JamesHarris2012.jpg
cleardot.gif
MauraDeLuca.jpg
[/TD]
[TD="align: left"]James Harris (New York)
Presidential Nominee

Maura DeLuca (Nebraska)
Vice Presidential Nominee
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
NOTE: THE SWP MAY ALSO USE A SURROGATE VP NOMINEE IN SOME STATES, WHERE NEEDED FOR BALLOT ACCESS PURPOSES, AS MAURA DeLUCA (AGE 33) IS NOT CONSTITUTIONALLY QUALIFIED TO SERVE IF ELECTED.

I
 
Mkuu Kuna Registered Party kinaitwa THIRD PARTY kwahiyo Upande wa Republicans Wanaotaka kugombea kama hawakuchaguliwa na Republicans wanakwenda kugombea as THIRD PARTY CANDIDATES au Kuna Vyama Vingine Vimesajiliwa kwenye Sate MOJA tu lakini Mgombea wake anataka kugombea URAIS ... wataita Independent lakini hicho chama lazima kiwe kimesajiliwa kwenye state moja kati ya state 50 USA na lazima kiwe na ITIKADI

Mfano Angalia wote Waliogombea URAIS USA Mwaka 2012


Presidency 2012
President Obama is seeking re-election to a second term in 2012. A large crowd of Republican candidates are competing for the GOP nomination. Plus there are LOTS of third party and independentP2012 hopefuls. So, if a person is running --regardless of party, ballot status, or chances of winning -- we have him or her listed below. Incumbent party first, following by the main opposition party, then the third party candidates, and finally the independent and write-in hopefuls.
LEGEND:
BOLD = Announced Candidate (or Filed an Exploratory Committee)
Italics = Possible Candidate

DEMOCRATIC PARTY:
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="width: 200"]
obama.jpg
cleardot.gif
biden.jpg

[/TD]
[TD="align: left"]President Barack Obama (Illinois)
Presidential Nominee

Vice President Joe Biden (Delaware)
Vice Presidential Nominee

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

REPUBLICAN PARTY:
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="width: 200"]
mitt.jpg
cleardot.gif
paulryan.jpg

[/TD]
[TD="align: left"]Former Massachusetts Governor Mitt Romney (California)
Presidential Nominee

Congressman Paul Ryan (Wisconsin)
Vice Presidential Nominee

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

THIRD PARTY and
INDEPENDENT CANDIDATES:

(Note: Parties with ballot status in at least one state -- based on either 2008 status or preliminary 2012 status -- listed first, then all others under the INDEPENDENT & WRITE-IN CANDIDATES header).
**CLICK HERE TO VIEW THE BALLOT ACCESS CHART FOR THIRD PARTY & INDEPENDENT CANDIDATES**

AMERICA'S PARTY / AMERICAN INDEPENDENT PARTY:
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="width: 190"]
TomHoefling.jpg
cleardot.gif
JDEllis.jpg

[/TD]
[TD="align: left"]Tom Hoefling (Iowa)
Presidential Nominee

J.D. Ellis (Tennessee)
Vice Presidential Nominee

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

AMERICAN THIRD POSITION PARTY:
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="width: 190"]
MerlinMiller.jpg
cleardot.gif
HarryBertram.jpg

[/TD]
[TD="align: left"]Merlin Miller (California)
Presidential Nominee

Harry Bertram (West Virginia)
Vice Presidential Nominee

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

CONSTITUTION PARTY:
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="width: 190"]
virgilgoode.jpg
cleardot.gif
jimclymer.jpg

[/TD]
[TD="align: left"]Former Congressman Virgil Goode (Virginia)
Presidential Nominee

Jim Clymer (Pennsylvania)
Vice Presidential Nominee

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

GREEN PARTY:
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="width: 190"]
JillStein.jpg
cleardot.gif
honkala.jpg

[/TD]
[TD="align: left"]Dr. Jill Stein (Massachusetts)
Presidential Nominee

Cheri Honkala (Pennsylvania)
Vice Presidential Nominee

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

JUSTICE PARTY:
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="width: 190"]
RockyAnderson.jpg
cleardot.gif
LuisRodriguez.jpg

[/TD]
[TD="align: left"]Former Salt Lake City Mayor Rocky Anderson (Utah)
Presidential Nominee

Luiz Rodriguez (Illinois)
Vice Presidential Nominee

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
NOTE: ALSO NOMINEE OF THE INDEPENDENCE PARTY OF CONNECTICUT and NATURAL LAW PARTY OF MICHIGAN.

LIBERTARIAN PARTY:
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="width: 190"]
garyjohnson.jpg
cleardot.gif
judgejimgray.jpg

[/TD]
[TD="align: left"]Former Governor Gary Johnson (New Mexico)
Presidential Nominee

Former Superior Court Judge Jim Gray (California)
Vice Presidential Nominee

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

OBJECTIVIST PARTY:
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="width: 190"]
TomStevens.jpg
cleardot.gif
AldenLink.jpg

[/TD]
[TD="align: left"]Tom Stevens (New York)
Presidential Nominee

Alden Link (Florida)
Vice Presidential Nominee

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

PARTY OF SOCIALISM AND LIBERATION (PSL):
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="width: 190"]
PetaLindsay.jpg
cleardot.gif
YariOsorio.jpg

[/TD]
[TD="align: left"]Peta Lindsay (California)
Presidential Nominee

Yari Osorio (New York)
Vice Presidential Nominee

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
NOTE: THE PSL MAY ALSO USE SURROGATE PSL NOMINEES IN SOME STATES, WHERE NEEDED FOR BALLOT ACCESS PURPOSES, AS LINDSAY (AGE 27) AND OSORIO (AGE 26 & FOREIGN BORN) ARE NOT CONSTITUTIONALLY QUALIFIED TO SERVE IF ELECTED.

PEACE & FREEDOM PARTY:
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="width: 190"]
RosanneBarr.jpg
cleardot.gif
CindySheehan.jpg

[/TD]
[TD="align: left"]Rosanne Barr (Hawaii)
Presidential Nominee

Cindy Sheehan (California)
Vice Presidential Nominee

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

PROHIBITION PARTY:
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="width: 190"]
fellure.jpg
cleardot.gif
tobydavis.jpg

[/TD]
[TD="align: left"]Lowell "Jack" Fellure (West Virginia)
Presidential Nominee

Toby Davis (Mississippi)
Vice Presidential Nominee

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

REFORM PARTY USA:
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="width: 190"]
AndreBarnett.jpg
cleardot.gif
KenCross.jpg

[/TD]
[TD="align: left"]Andre Barnett (New York)
Presidential Nominee

Ken Cross (Arkansas)
Vice Presidential Nominee

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

SOCIALIST PARTY USA (SP-USA) / LIBERTY UNION PARTY:
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="width: 190"]
StewartAlexander.jpg
cleardot.gif
AlexMendoza.jpg

[/TD]
[TD="align: left"]Stewart Alexander (California)
Presidential Nominee

Alejandro "Alex" Mendoza (Texas)
Vice Presidential Nominee

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

SOCIALIST EQUALITY PARTY:
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="width: 190"]
JerryWhite.jpg
cleardot.gif
PhyllisScherrer.jpg

[/TD]
[TD="align: left"]Jerome "Jerry" White (Michigan)
Presidential Nominee

Phyllis Scherrer (Pennsylvania)
Vice Presidential Nominee

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

SOCIALIST WORKERS PARTY (SWP):
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="width: 190"]
JamesHarris2012.jpg
cleardot.gif
MauraDeLuca.jpg

[/TD]
[TD="align: left"]James Harris (New York)
Presidential Nominee

Maura DeLuca (Nebraska)
Vice Presidential Nominee

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
NOTE: THE SWP MAY ALSO USE A SURROGATE VP NOMINEE IN SOME STATES, WHERE NEEDED FOR BALLOT ACCESS PURPOSES, AS MAURA DeLUCA (AGE 33) IS NOT CONSTITUTIONALLY QUALIFIED TO SERVE IF ELECTED.

I

nngu007 List yako haijakamilika.

Angalia list kamili hapa

2012 Presidential Candidates (P2012)
 
Hapo unatakiwa kujifunza mambo mawili. Kwanza ujue kuwa Marekani mgombea binfasi anaruhusiwa na pili ujifunze kuwa ili Tanzania ifanye jambo sio lazima isubiri Marekani wafanye. Kwahiyo hata kama Marekani wangekuwa hawana utaratibu huo, bado isingekuwa kigezo cha kuukataa Tanzania.
 
Mkuu Kuna Registered Party kinaitwa THIRD PARTY kwahiyo Upande wa Republicans Wanaotaka kugombea kama hawakuchaguliwa na Republicans wanakwenda kugombea as THIRD PARTY CANDIDATES au Kuna Vyama Vingine Vimesajiliwa kwenye Sate MOJA tu lakini Mgombea wake anataka kugombea URAIS ... wataita Independent lakini hicho chama lazima kiwe kimesajiliwa kwenye state moja kati ya state 50 USA na lazima kiwe na ITIKADI

Mfano Angalia wote Waliogombea URAIS USA Mwaka 2012


Presidency 2012
President Obama is seeking re-election to a second term in 2012. A large crowd of Republican candidates are competing for the GOP nomination. Plus there are LOTS of third party and independentP2012 hopefuls. So, if a person is running --regardless of party, ballot status, or chances of winning -- we have him or her listed below. Incumbent party first, following by the main opposition party, then the third party candidates, and finally the independent and write-in hopefuls.
LEGEND:
BOLD = Announced Candidate (or Filed an Exploratory Committee)
Italics = Possible Candidate

DEMOCRATIC PARTY:
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="width: 200, align: center"]
obama.jpg
cleardot.gif
biden.jpg
[/TD]
[TD="align: left"]President Barack Obama (Illinois)
Presidential Nominee

Vice President Joe Biden (Delaware)
Vice Presidential Nominee
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

REPUBLICAN PARTY:
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="width: 200, align: center"]
mitt.jpg
cleardot.gif
paulryan.jpg
[/TD]
[TD="align: left"]Former Massachusetts Governor Mitt Romney (California)
Presidential Nominee

Congressman Paul Ryan (Wisconsin)
Vice Presidential Nominee
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

THIRD PARTY and
INDEPENDENT CANDIDATES:

(Note: Parties with ballot status in at least one state -- based on either 2008 status or preliminary 2012 status -- listed first, then all others under the INDEPENDENT & WRITE-IN CANDIDATES header).
**CLICK HERE TO VIEW THE BALLOT ACCESS CHART FOR THIRD PARTY & INDEPENDENT CANDIDATES**

AMERICA'S PARTY / AMERICAN INDEPENDENT PARTY:
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="width: 190, align: center"]
TomHoefling.jpg
cleardot.gif
JDEllis.jpg
[/TD]
[TD="align: left"]Tom Hoefling (Iowa)
Presidential Nominee

J.D. Ellis (Tennessee)
Vice Presidential Nominee
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

AMERICAN THIRD POSITION PARTY:
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="width: 190, align: center"]
MerlinMiller.jpg
cleardot.gif
HarryBertram.jpg
[/TD]
[TD="align: left"]Merlin Miller (California)
Presidential Nominee

Harry Bertram (West Virginia)
Vice Presidential Nominee
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

CONSTITUTION PARTY:
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="width: 190, align: center"]
virgilgoode.jpg
cleardot.gif
jimclymer.jpg
[/TD]
[TD="align: left"]Former Congressman Virgil Goode (Virginia)
Presidential Nominee

Jim Clymer (Pennsylvania)
Vice Presidential Nominee
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

GREEN PARTY:
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="width: 190, align: center"]
JillStein.jpg
cleardot.gif
honkala.jpg
[/TD]
[TD="align: left"]Dr. Jill Stein (Massachusetts)
Presidential Nominee

Cheri Honkala (Pennsylvania)
Vice Presidential Nominee
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

JUSTICE PARTY:
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="width: 190, align: center"]
RockyAnderson.jpg
cleardot.gif
LuisRodriguez.jpg
[/TD]
[TD="align: left"]Former Salt Lake City Mayor Rocky Anderson (Utah)
Presidential Nominee

Luiz Rodriguez (Illinois)
Vice Presidential Nominee
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
NOTE: ALSO NOMINEE OF THE INDEPENDENCE PARTY OF CONNECTICUT and NATURAL LAW PARTY OF MICHIGAN.

LIBERTARIAN PARTY:
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="width: 190, align: center"]
garyjohnson.jpg
cleardot.gif
judgejimgray.jpg
[/TD]
[TD="align: left"]Former Governor Gary Johnson (New Mexico)
Presidential Nominee

Former Superior Court Judge Jim Gray (California)
Vice Presidential Nominee
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

OBJECTIVIST PARTY:
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="width: 190, align: center"]
TomStevens.jpg
cleardot.gif
AldenLink.jpg
[/TD]
[TD="align: left"]Tom Stevens (New York)
Presidential Nominee

Alden Link (Florida)
Vice Presidential Nominee
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

PARTY OF SOCIALISM AND LIBERATION (PSL):
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="width: 190, align: center"]
PetaLindsay.jpg
cleardot.gif
YariOsorio.jpg
[/TD]
[TD="align: left"]Peta Lindsay (California)
Presidential Nominee

Yari Osorio (New York)
Vice Presidential Nominee
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
NOTE: THE PSL MAY ALSO USE SURROGATE PSL NOMINEES IN SOME STATES, WHERE NEEDED FOR BALLOT ACCESS PURPOSES, AS LINDSAY (AGE 27) AND OSORIO (AGE 26 & FOREIGN BORN) ARE NOT CONSTITUTIONALLY QUALIFIED TO SERVE IF ELECTED.

PEACE & FREEDOM PARTY:
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="width: 190, align: center"]
RosanneBarr.jpg
cleardot.gif
CindySheehan.jpg
[/TD]
[TD="align: left"]Rosanne Barr (Hawaii)
Presidential Nominee

Cindy Sheehan (California)
Vice Presidential Nominee
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

PROHIBITION PARTY:
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="width: 190, align: center"]
fellure.jpg
cleardot.gif
tobydavis.jpg
[/TD]
[TD="align: left"]Lowell "Jack" Fellure (West Virginia)
Presidential Nominee

Toby Davis (Mississippi)
Vice Presidential Nominee
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

REFORM PARTY USA:
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="width: 190, align: center"]
AndreBarnett.jpg
cleardot.gif
KenCross.jpg
[/TD]
[TD="align: left"]Andre Barnett (New York)
Presidential Nominee

Ken Cross (Arkansas)
Vice Presidential Nominee
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

SOCIALIST PARTY USA (SP-USA) / LIBERTY UNION PARTY:
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="width: 190, align: center"]
StewartAlexander.jpg
cleardot.gif
AlexMendoza.jpg
[/TD]
[TD="align: left"]Stewart Alexander (California)
Presidential Nominee

Alejandro "Alex" Mendoza (Texas)
Vice Presidential Nominee
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

SOCIALIST EQUALITY PARTY:
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="width: 190, align: center"]
JerryWhite.jpg
cleardot.gif
PhyllisScherrer.jpg
[/TD]
[TD="align: left"]Jerome "Jerry" White (Michigan)
Presidential Nominee

Phyllis Scherrer (Pennsylvania)
Vice Presidential Nominee
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

SOCIALIST WORKERS PARTY (SWP):
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="width: 190, align: center"]
JamesHarris2012.jpg
cleardot.gif
MauraDeLuca.jpg
[/TD]
[TD="align: left"]James Harris (New York)
Presidential Nominee

Maura DeLuca (Nebraska)
Vice Presidential Nominee
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
NOTE: THE SWP MAY ALSO USE A SURROGATE VP NOMINEE IN SOME STATES, WHERE NEEDED FOR BALLOT ACCESS PURPOSES, AS MAURA DeLUCA (AGE 33) IS NOT CONSTITUTIONALLY QUALIFIED TO SERVE IF ELECTED.

I

Mkuu 2012 kulikua hamna mgombea binafsi. Independent candidate na third party candidate vitu viwili tofauti. Google Ross Perot na 1992 US presidential race ndiyo utajua. Nikusaidie tu kukupa link moja ya huyo Perot.

Ross Perot - Wikipedia, the free encyclopedia
 
Acha uongo mkuu. Nikupe mfano mmoja tu. Marekani inao wagombea binafsi.

Mkuu, Hawa wafuatao ni INDEPENDENT wamerejister vyama vyao kwenye state moja; lakini sasa wanataka kugombea URAIS kwenye all 50 states ina Maana yeah hawana Chama kwenye states nyingine lakini ni sharti lazime chama kiwe registered somewhere...


[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]INDEPENDENT CANDIDATES WITH BALLOT STATUS IN AT LEAST ONE STATE:[/FONT]
[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]
JeffBoss.jpg
[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Jeff Boss (Independent-New Jersey)[/FONT][/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]
jimcarlson.jpg
[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif] Jim Carlson (Grassroots-Minnesota) - No Campaign Website[/FONT][/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]
WillChristensen.jpg
[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Will Christensen (Independent American / Oregon Constitution-Utah)[/FONT][/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]
R-A-Duncan.jpg
[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Richard Duncan (Independent-Ohio) - No Campaign Website[/FONT][/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]
JerryLitzel.jpg
[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Jerry Litzel (Independent-Iowa) - No Campaign Website[/FONT][/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]
DeanMorstad.jpg
[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Dean Morstad (Independent-Minnesota)[/FONT][/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]
JillReed.jpg
[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Jill Reed (Twelve Visions-Wyoming)[/FONT][/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]
RandallTerry.jpg
[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Randall Terry (Independent-West Virginia)[/FONT][/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]
SammTittle.jpg
[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Sheila "Samm" Tittle (We The People-Virginia)[/FONT][/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]
barbaradalewasher.jpg
[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif] Barbara Dale Washer (Mississippi Reform-Mississippi) - No Campaign Website[/FONT][/FONT]


[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif][/FONT]
 
hiki ni kilio cha watz wengi kwa muda mrefu kutokana na ukiritimba wa vyama
 
Mkuu, kwani Wananchi wakimtaka tatizo liko wapi???? Kuna tofauti gani ya kuruhusu mgombea binafsi ngazi za chini na kuacha katika ngazi ya Urais??

Hapa tunabishan mitazamo tu, lakini kila kitu kina faida yake na hasara yake. Ambazo katika hali ya kawaida, ni Wananchi ndo wataamua mfumo wanaoutaka.

Na MUDA wa CAMPAIGN ni UPI? na POLITICAL PARTIES wanapata TAX BREAK; Sasa yeye hatahitaji? Ina Maana hata HITAJI FUNDS from the Government? Kwahiyo ITIKADI yake itakuwa GAS GAS GAS na GOLD GOLD GOLD

Halafu hatumjui VIZURI; ni kukimbiza PESA NJE ya NCHI... Ni CCM walikuwa wanasema CHADEMA ikichukua MADARAKA haitakuwa na uwezo kwa kutawala sababu haina Watu wa kufanya kazi Wizarani sasa je huyo Rais itakuwaje???
 
Mkuu, Hawa wafuatao ni INDEPENDENT wamerejister vyama vyao kwenye state moja; lakini sasa wanataka kugombea URAIS kwenye all 50 states ina Maana yeah hawana Chama kwenye states nyingine lakini ni sharti lazime chama kiwe registered somewhere...


INDEPENDENT CANDIDATES WITH BALLOT STATUS IN AT LEAST ONE STATE:
JeffBoss.jpg
Jeff Boss (Independent-New Jersey)

jimcarlson.jpg
Jim Carlson (Grassroots-Minnesota) - No Campaign Website

WillChristensen.jpg
Will Christensen (Independent American / Oregon Constitution-Utah)

R-A-Duncan.jpg
Richard Duncan (Independent-Ohio) - No Campaign Website

JerryLitzel.jpg
Jerry Litzel (Independent-Iowa) - No Campaign Website

DeanMorstad.jpg
Dean Morstad (Independent-Minnesota)

JillReed.jpg
Jill Reed (Twelve Visions-Wyoming)

RandallTerry.jpg
Randall Terry (Independent-West Virginia)

SammTittle.jpg
Sheila "Samm" Tittle (We The People-Virginia)

barbaradalewasher.jpg
Barbara Dale Washer (Mississippi Reform-Mississippi) - No Campaign Website

Mkuu nimekupa link ya Ross Perot ambae ndio the most famous independent candidate for president. Google US elections 1992 Ross Perot ndio utajua ninacho ongelea.
 
Tunaongelea haki ya msingi ya mwananchi ya kuchagua na kuchaguliwa bila vikwazo vyovyote ikiwemo kikwazo cha kuwa mwanachama wa chama au kikundo chochote. Kwanza tumeshagundua kuwa hivi vyama vya siasa siyo vya wananchi bali ni vikundi maslahi ya watu fulani wachache wakishirikiana na ndugu na marafiki zao.
 
Nakumbuka kule Maraekani Lord Parrot(?) (Bilionnaire) alishawhi kugombea URAIS wa Marekani kama Mgombea binafsi! No Research No right to Speak

Alikuwa na CHAMA -- Alitumia THIRD PARTY with ReFORM PARTY... soma hii story


Defying seemingly formidable odds, former Democratic Colorado Governor Richard Lamm, called a news conference in Denver on July 9 to declare he intended to seek the presidential nomination of the Reform Party. The night following Governor Lamm's announcement, July 10, Perot once again appeared on "Larry King Live" and declared he was "uniquely qualified" to lead the Reform Party and will run for president if the party nominates him.
 
nngu007 List yako haijakamilika.

Angalia list kamili hapa

2012 Presidential Candidates (P2012)

Ni wasababu ya JAMII FORUMS limitation ukiangalia the bottom topic I finished with those Independent candidates ambao lazima wawe na chama kuwa kimeregistered in one of the state na ndipo wataweza kugombea urais kwa state zote 50

Ni kama Tanzania kuwe na chama ambacho kimepata saini za wananchama SINGIDA lakini hakijapata mikoa mingine wanakiita hicho chama independent sababu hakiko mikoa mingine lakini; kina itikadi na ukienda singida unapewa chochote unachotaka cha hicho chama
 
Mkuu 2012 kulikua hamna mgombea binafsi. Independent candidate na third party candidate vitu viwili tofauti. Google Ross Perot na 1992 US presidential race ndiyo utajua. Nikusaidie tu kukupa link moja ya huyo Perot.

Ross Perot - Wikipedia, the free encyclopedia



Ross Perot ilikuwa Mwaka 1992 na alikuwa na CHAMA through THIRD PARTY - Reform Party halafu 1996 akataka kugombea tena...

Defying seemingly formidable odds, former Democratic Colorado Governor Richard Lamm, called a news conference in Denver on July 9 to declare he intended to seek the presidential nomination of the Reform Party. The night following Governor Lamm's announcement, July 10, Perot once again appeared on "Larry King Live" and declared he was "uniquely qualified" to lead the Reform Party and will run for president if the party nominates him.
 
Ross Perot, 1992 presidential elections...

Rebuttle: The Reform Party of the United States of America (RPUSA), generally known as the Reform Party USA or the Reform Party, is a political party in the United States, founded in 1995 by Ross Perot. Perot said Americans were disillusioned with the state of politics—as being corrupt and unable to deal with vital issues—and desired a viable alternative to the Republican and Democratic Parties.

He formed a Political Party he was not JUST a CANDIDATE without a PARTY Hence he had an IDEOLOGY
 
Rebuttle: The Reform Party of the United States of America (RPUSA), generally known as the Reform Party USA or the Reform Party, is a political party in the United States, founded in 1995 by Ross Perot. Perot said Americans were disillusioned with the state of politics-as being corrupt and unable to deal with vital issues-and desired a viable alternative to the Republican and Democratic Parties.

He formed a Political Party he was not JUST a CANDIDATE without a PARTY Hence he had an IDEOLOGY

nngu007,

Kuna kitu unapata shida kukielewa.

Tunaposema tunaruhusu mgombea binafsi haimaanishi kwamba mtu ananyuka nyumbani kwake anakuja kupiga kampeni za urais - HAPANA. Kama ulimsikiliza Warioba kwenye speech yake alisema kuwa hata mgombea binafsi sio kwamba atakuwa peke yake, lazima kuna watu atakuwa nao.

Sasa hawa wagombea binafsi wanajisajiri kwa utaratibu uliopo, lakini utaratibu huop ni tofauti na ule wa vyama vya siasa.

Kwa sababu mgombea huyu anatakiwa kuform government akishinda basi atakuwa na timu ya watu ambao wanamdamini katika kugombea kwake. Watu hao wanaweza kusajiliwa pamoja na mtu mwingine anaweza kuamua kukiita hicho chama cha siasa lakini sifa yake kubwa moja ni kwamba kikundi hicho kinakuwepo kwa ajili ya uchaguzi tu. Uchaguzi ukiisha iwapo hawatashinda Urais basi usajili kikundi hicho unaexpire.

Ndio maana ukiangalia hata hawa wa Marekani, unakuta wanatambulika kwenye state moja tu lakini wanagombea urais wa nchi nzima. Huu ni utaratibu waliouchagua wamarekani kwa mgombea binafsi. Sisi pia tunaweza kuchagua utaratibu tunaoona unatufaa, sio lazima tuwe tunaiga tu.

Cha muhimu zaidi ni kwamba kama mtu anaona kuna watu wanamuunga mkono kuongoza basi chama kisiwe kikwazo. Aruhusiwe kuchukua kikundi cha watu wanaomuunga mkono wajisajili kwa utaratibu nafuu ili aruhusiwe kugombea. Hii ndio essence ya ugombea binafsi.
 
Hata mimi hilo la rais huteuwa mwenyekiti wa tume ya uchaguzi, napingana nalo kabisa na huwezi kuiita tume huru na ya haki kwa situatiation kama hiyo
 
nngu007,

Kuna kitu unapata shida kukielewa.

Tunaposema tunaruhusu mgombea binafsi haimaanishi kwamba mtu ananyuka nyumbani kwake anakuja kupiga kampeni za urais - HAPANA. Kama ulimsikiliza Warioba kwenye speech yake alisema kuwa hata mgombea binafsi sio kwamba atakuwa peke yake, lazima kuna watu atakuwa nao.

Sasa hawa wagombea binafsi wanajisajiri kwa utaratibu uliopo, lakini utaratibu huop ni tofauti na ule wa vyama vya siasa.

Kwa sababu mgombea huyu anatakiwa kuform government akishinda basi atakuwa na timu ya watu ambao wanamdamini katika kugombea kwake. Watu hao wanaweza kusajiliwa pamoja na mtu mwingine anaweza kuamua kukiita hicho chama cha siasa lakini sifa yake kubwa moja ni kwamba kikundi hicho kinakuwepo kwa ajili ya uchaguzi tu. Uchaguzi ukiisha iwapo hawatashinda Urais basi usajili kikundi hicho unaexpire.

Ndio maana ukiangalia hata hawa wa Marekani, unakuta wanatambulika kwenye state moja tu lakini wanagombea urais wa nchi nzima. Huu ni utaratibu waliouchagua wamarekani kwa mgombea binafsi. Sisi pia tunaweza kuchagua utaratibu tunaoona unatufaa, sio lazima tuwe tunaiga tu.

Cha muhimu zaidi ni kwamba kama mtu anaona kuna watu wanamuunga mkono kuongoza basi chama kisiwe kikwazo. Aruhusiwe kuchukua kikundi cha watu wanaomuunga mkono wajisajili kwa utaratibu nafuu ili aruhusiwe kugombea. Hii ndio essence ya ugombea binafsi.

ZeMarcopolo; Wow Thanks for precise explanation on the issue, sikujua kuwa Watatakiwa kuandikisha that INDEPENDENT PARTY labda hakitakiwa kuwa na watu wa kusaini Mikoa yote kama Ushahidi ya Wanachama...

Oh that's LEGIT --- kama itakuwa hivyo...
 
ZeMarcopolo; Wow Thanks for precise explanation on the issue, sikujua kuwa Watatakiwa kuandikisha that INDEPENDENT PARTY labda hakitakiwa kuwa na watu wa kusaini Mikoa yote kama Ushahidi ya Wanachama...

Oh that's LEGIT --- kama itakuwa hivyo...

Lazima kutakuwa na utaratibu wa kusajiri na watu wa kumdhamini. Inakuwa kama petition hivi ili kuhakikisha kuwa mtu anayegombea ana watu ambao angalu wanamuunga mkono. La sivyo unaweza kupata wagombe wa Urais elfu tatu, halafu upigaji kura ukashindikana.
 
Na Mussa Juma

Posted Jumanne,Juni4 2013 saa 21:3 PM

KWA UFUPI


  • Urais ni nafasi ya juu kabisa katika nchi, lazima Rais ajulikane anatoka chama gani, ana sera gani na kundi gani linamuunga mkono ambako atateua mawaziri wake.

Arusha. Mwanasiasa mkongwe, Edwin Mtei ameelezea kuridhishwa na rasimu ya Katiba Mpya, huku akikosoa kuruhusu mgombea binafsi nafasi ya Urais na kukataliwa kwa serikali za majimbo.

Akizungumza na Mwananchi jana, Mzee Mtei ambaye alikuwa Waziri wa Fedha Serikali ya Awamu ya Kwanza, alisema rasimu hiyo ni nzuri ila ana maoni tofauti kuhusu kuruhusiwa mgombea binafsi kwa nafasi ya Rais na kukataliwa pendekezo la serikali za majimbo.

“Urais ni nafasi ya juu kabisa katika nchi, lazima Rais ajulikane anatoka chama gani, ana sera gani na kundi gani linamuunga mkono ambako atateua mawaziri wake,” alisema Mzee Mtei.

Mzee Mtei alisema lazima rais awe anawajibika kwa wananchi kupitia chama chake ambacho kitaunda serikali, lazima sera zake zijulikane na kwamba, nafasi hiyo ikiachwa huru atapatikana rais wa ajabu. “Pia, rasimu imefanya vizuri kupunguza Mamlaka ya Rais, ikiwamo uteuzi wa viongozi mbalimbali kama tume ya uchaguzi, hili ni moja ya mambo tangu enzi za utawala wa kwamza nilikuwa nashauri,” alisema Mtei.

Kuhusu serikali ya majimbo, alisema ni vyema kuanza kufikiriwa kwani zitapunguza migogoro kama ulivyo sasa mgogoro wa gesi Mtwara.

“Serikali za majimbo zitaongeza uwajibikaji kwa viongozi, pia usimamizi mzuri wa rasilimali kila eneo kwa manufaa ya eneo husika ingawa ni kweli kuna gharama zake,” alisema Mzee Mtei.

Alisema utaratibu wa kupatikana wabunge wa viti maalumu na tume ya uchaguzi na viongozi wengine uliopendekezwa na tume ni mzuri.

Mzee Mtei alisema rasimu hiyo inajaribu kujibu malalamiko mengi ambayo yamekuwa yakitolewa.


Mzee Mtei, anazeeka vibaya...
 
Back
Top Bottom