Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Mkaldayo wabongo wazinguaji. Unaweza kupakua app ila ina crush mda wote. Au unakuta app ina load tu masaa iko blank.Kwanini hakutumia online banking zenye app codes?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkaldayo wabongo wazinguaji. Unaweza kupakua app ila ina crush mda wote. Au unakuta app ina load tu masaa iko blank.Kwanini hakutumia online banking zenye app codes?!
Wewe ni muongo.Mkaldayo wabongo wazinguaji. Unaweza kupakua app ila ina crush mda wote. Au unakuta app ina load tu masaa iko blank.
Ndio kawaida ya mabenki ya kibongo.Madirisha manane ya kaunta.... Wahudumu wawili
Mgeresi bana. Yani bongo watu ni kuishi kimungumungu.Mkaldayo wabongo wazinguaji. Unaweza kupakua app ila ina crush mda wote. Au unakuta app ina load tu masaa iko blank.
Dogo acha porojo jamvin. Kwanza leo ulienda madrassa?Wewe ni muongo.
Haa Haa Picture Inasaidia Kuondoa Mawazo Ya Chai Ya RangiPicha
Huduma kwa mteja bongo bado sana.hili nimeliona karibia nchi nzima.unakuta bank Kuna madirisha 7 yanayo Tanya kazi ni 2au 3.tujirekebishe.
Ndio CRDB wako makini.CRDB wanajitajidi pamoja na EQUITY
Watu zaidi ya mil. 60 wote tufahamiane na staff wa benki patakuwa hapakaliki....Huwa wanasemaga CRDB wana huduma mbovu ila mimi kuna siku walinihudumia vizuri tawi la UDSM hadi nikashangaa.
Yaani hadi muda wa kazi ukaisha wakafunga mlango na watu wa usafi wakaanza kudeki nikaambiwa tu ndugu mteja hamia huku! walihangaika hadi kuwasiliana na tawi lingine ili mradi tu tatizo langu liishe na likaisha baada ya nusu saa hivi baada ya benki kufungwa.
Muda mwingine ukitaka huduma nzuri na za haraka bank muwe mnafahamiana na staff wa bank, wewe hata foleni zitakuwa hazikuhusu ingawa sasa utakuwa unawaonea wateja wenzako.
Na wote mil. 60 tuwe na akaunti za benki, hatari sana!Watu zaidi ya mil. 60 wote tufahamiane na staff wa benki patakuwa hapakaliki....
sijui kwanini wanafanya hivyo mkuuNMB wafanye maboresho hasa kwenye madirisha ya kutolea fedha. Mfano Benki inakuwa madirisha matano lakini yanayofanya kazi ni madirisha mawili tu?. Kwanini?.