ATM, NMB MKONONI, NMB WAKALA, MASTERCARD ON POS.NMB wafanye maboresho hasa kwenye madirisha ya kutolea fedha. Mfano Benki inakuwa madirisha matano lakini yanayofanya kazi ni madirisha mawili tu?. Kwanini?.
Wahudumu wawili halafu mmoja ana mimba changa.Madirisha manane ya kaunta.... Wahudumu wawili
Tozo katika ubora wake, umekata! Yalikuwa madirisha matano (5) wewe umefikisha manne (4)! Moja umeficha!Madirisha manane ya kaunta.... Wahudumu wawili
...kwamba branch ikifikia hiyo Limit haihudumii tena wateja wengine ama?? Fafanu Mkuu...[emoji848]Siyo wote wanaopenda kutumia hizo huduma. Pia ujue zinalimit ya kiwango kwa siku.
Nakuona mtumishi wa NMB umelipuka tayari 😃Muongo ww
Na umeandika..."katika hali isiyokuwa ya kawaida"...!Unaanzaje kuanguka kibwegebwege?Uzembe na uvivu!Katika hali isiyo ya kawaida mgonjwa mmoja aliyekuwa akitaka kutoa hela kwa ajili ya matibabu alijikuta akizimia baada ya kukaa foleni kwa muda mrefu.
Katika benki ya NMB iliyopo Buzuruga plaza, yenye madirisha matano ya tellers, ni madirisha mawili tu yalikuwa yakifanya kazi, na katika madirisha hayo mawili dirisha moja lilimuhudumia mteja mmoja kwa zaidi ya masaa mawili huku dirisha moja lililobaki lilifungwa kuanzia majira ya saa 7 mpaka mishale ya kuelekea saa 9 na muhudumu huyo alisema ameenda kupata lunch nzito.
Kwa mbali niliwasikia mateller hao wakilalamika udogo wa mishahara ndio chanzo cha kufanya kazi kwa kusua sua.
Natoa ombi kwa mtu yoyote anayetaka kutumia NMB ajaribu matawi mengine, asije kusema hakuambiwa.
NMB Buzuruga ina watu wengi wa usafi na ulinzi kuliko wafanyakazi wa benki mpaka mmtu anijiuliza hivi hapa G4S au NMB?
Ili kupunguza matumizi inabidi NMB wapange jengo dogo kuendana na idadi ya mateller walionao, labda wafikirie kuchukua fremu hata Buzurga stendi- maana serikali nayo inasubiri gawio lake.
Siyo nchi zote ulaya zinatumia Barclay'sUkiwa Ulaya fungua account ya Barclays, ukiwa Bongo unapeta tu.
Yaani uliposema kwa mbali uliwasikia mateller wakilalamika udogo wa mishahara hapo ndipo ulipokosea taahira wewe!ukipata muda kesho pita Buzuruga mkuu
Sio tu Buzuruga, NMB matawi yote yako hivyo, nilienda tawi lao la pale kariakoo kuna madirisha matano tellers waliokuwa dirishani wawili wengine unawaona mara wameingia mara wametoka, tena bora tellers wa kiume kdg afadhali lkn wakike ndio kabisa hawakai dirishani na hata akikaa mda wote yupo na simu.ukipata muda kesho pita Buzuruga mkuu
Tumia Vodacom master cardMaajabu ,nimefanya application ya kufanya manunuzi online hadi leo (wiki ya pili) mastercard haikubali online transaction.
Nimecheka Sana , hyo phrase ya mwisho 😊Nafikiri Benki Kuu walitazame hili hususani hizi Benki kubwa yaani unakuta Benki Ina madirisha Saba ila teller wawili na foleni ni kubwa Huwa najiuliza hizi hela tunagaiwa au niza kwetu
Mwanamke hafai kumpa kazi ya kuumiza kichwa , ndo wako hvyo , hao kazi Yao ni kutotoa na kupokea wageniSio tu Buzuruga, NMB matawi yote yako hivyo, nilienda tawi lao la pale kariakoo kuna madirisha matano tellers waliokuwa dirishani wawili wengine unawaona mara wameingia mara wametoka, tena bora tellers wa kiume kdg afadhali lkn wakike ndio kabisa hawakai dirishani na hata akikaa mda wote yupo na simu.
Pia wana majibu ya hovyo sn yanayokera hasa tellers wa kike, nilienda saa 9 nikaondoka saa 11:30 mstari tulikuwa watu kama 10 tu, mteja mmoja anahudumiwa dk 30 na km atakuwa na pesa nyingi za ku deposit au ku withdraw basi ndio mtakesha hapo.
Huwa najiuliza hivi hawa wakubwa pale NMB hawaoni au kusikia malalamiko ya wateja wao? Au ndio wanajiaminisha kwamba wanapendwa sana na wateja?
Lakini pia sisi watanzania sijui kwanini hatupendi kujituma kazini, tena bora wa kiume lkn wakike ndio kabisa hawapendi kufanya kazi kabisa na umkute mwenye ujauzito ndiyo kabisa, ni wasumbufu sn.
Mpesa master card ndo suluhisho sahihi la manunuzi mtandaoni , tangu nianze kuwatumia nishasahau hata bank yangu pendwa Equity.Tumia Vodacom master card
Kazi iendeleeHeri yake alikuwa amekaa kwenye foleni....angekuwa amesimama angekata roho kabisa....this africa
Tozo haziepukikiTupo kwenye maisha ambayo ukitaka kupata huduma fulani ukubali kupotezewa na muda pia.
Duuuh sio pouwKatika hali isiyo ya kawaida mgonjwa mmoja aliyekuwa akitaka kutoa hela kwa ajili ya matibabu alijikuta akizimia baada ya kukaa foleni kwa muda mrefu.
Katika benki ya NMB iliyopo Buzuruga plaza, yenye madirisha matano ya tellers, ni madirisha mawili tu yalikuwa yakifanya kazi, na katika madirisha hayo mawili dirisha moja lilimuhudumia mteja mmoja kwa zaidi ya masaa mawili huku dirisha moja lililobaki lilifungwa kuanzia majira ya saa 7 mpaka mishale ya kuelekea saa 9 na muhudumu huyo alisema ameenda kupata lunch nzito.
Kwa mbali niliwasikia mateller hao wakilalamika udogo wa mishahara ndio chanzo cha kufanya kazi kwa kusua sua.
Natoa ombi kwa mtu yoyote anayetaka kutumia NMB ajaribu matawi mengine, asije kusema hakuambiwa.
NMB Buzuruga ina watu wengi wa usafi na ulinzi kuliko wafanyakazi wa benki mpaka mmtu anijiuliza hivi hapa G4S au NMB?
Ili kupunguza matumizi inabidi NMB wapange jengo dogo kuendana na idadi ya mateller walionao, labda wafikirie kuchukua fremu hata Buzurga stendi- maana serikali nayo inasubiri gawio lake.