johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #21
Ndio hiyo wametoa......uwe unasoma na kuelewa bwashee!Daah kwa hiyo hii ni mojawapo ya sababu za kuondolewa?
Hivi Watendaji wanapomkata mgombea hawapaswi kutoa sababu?
Naisubiri hiyo sheriaSheria inakusubiri ichukue mkondo wake!
Hamna suluhisho, sio mahakamani, sio kuandamana wala sio umoja wa mataifa, bora amejitoa kuokoa gharama za pesa, muda na maisha ya watu.
Hakuna attempt unayoweza ifanya awamu hii wakakuruhusu uwashinde..
Mwenye idea atoe, mm naona zote ni impossible.
Na sheria inakusubiri wewe na hilo panga lako!Naisubiri hiyo sheria
Wewe utakuwa mstari wa mbele kwenye hayo maandamano?Kuandamana pekee ndio itakayoleta kuheshimiana, watu lazima wataumia lakini hilo halikwepeki. Kumbuka mtu hata kama humuwezi pigana naye atakuheshimu hata akikupiga.
Wewe utakuwa mstari wa mbele kwenye hayo maandamano!
Kujitoa siyo suluhisho bwashee!
Bwashee haki haitafutwi kwa kususa!Nini ni suluhisho bwashee?
Kwahiyo unampinga mtendaji?!Ila Mtaa una wenyeviti wengi, wapo CCM, ACT, Vukundi na serikali.
Kwa hiyo Mgombea alitakiwa aseme anagombea uenyekiti wa nini.
Isije ikawa alimaanisha kugombea uenyekiti wa tawi la Yanga mtaani
Kwahiyo unampinga mtendaji?!
Basi hayo unayoyaitisha yatakuwa ya mwisho kabla hujatupwa gerezani!Tena yatakuwa sio maandamano yangu ya kwanza.
Nimesoma nimeona Mgombea yupo sahihi kanisa. Kainisha anagombea Uenyekiti wa nini Mtaani. Labda mtoa mada kaleta taarifa isiyo sahihi.Ila Mtaa una wenyeviti wengi, wapo CCM, ACT, Vukundi na serikali.
Kwa hiyo Mgombea alitakiwa aseme anagombea uenyekiti wa nini.
Isije ikawa alimaanisha kugombea uenyekiti wa tawi la Yanga mtaani
Amesema anagombea nafasi ya Mwenyekiti wa serikali ya mtaa...... Uwe unaelewa bwashee!Mtendaji yupo sawa.
Mgombea hajasema anagombea Uenyekiti wa Mtaa katika ngazi gani.
Maana mtaani kuna wenyeviti hata wa vijana, wamama wa Mtaa nk
Nimesoma nimeona Mgombea yupo sahihi kanisa. Kainisha anagombea Uenyekiti wa nini Mtaani. Labda mtoa mada kaleta taarifa isiyo sahihi.
Don't expect that to happen ... hapo ndio utajua unafiki wa baadhi ya wanaojiita wapinzaniNasubiria na vyama vingine vyenye ushawishi kama Cuf, Act, Nccr, nk navyo kutangaza kujitoa ili ibakie Ccm yenyewe. Hii ndiyo njia pekee sahihi iliyobakia.
Bwashee usichoelewa kwenye mada ni nini?!Nimesoma nimeona Mgombea yupo sahihi kanisa. Kainisha anagombea Uenyekiti wa nini Mtaani. Labda mtoa mada kaleta taarifa isiyo sahihi.
Bwashee haki haitafutwi kwa kususa!
Amesema anagombea nafasi ya Mwenyekiti wa serikali ya mtaa...... Uwe unaelewa bwashee!
Nenda mahakamani si unao akina Kibatala!Suluhisho ni nini bwashee acha kuzunguka zunguka!
Nipe suluhisho kwa kinaga ubaga hapa A-Z uone utumbo utakao toa!
Wait and see monkey poopooing!