Mtendaji: Ulitakiwa uandike "Mgombea Mwenyekiti wa Mtaa wa Mwembeni" na siyo "Mgombea Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Mwembeni"

Mnaochekelea sasa hivi chekeni sana, ila mjue zamu yenu kulia itakapofika mtalia kilio kikuu na cha uchungu mkali kuliko sisi.

Mpango wa JPM naona utafanikiwa baada ya 2020. Naihifadhi hii comment
 
Nimemsikiliza Jana polepole, nilimshangaa sana nafasi ya kitongoji unaweka viigezo vya hovyo sana, kwani umekuwa mtihani ule.ccm imepora mamlaka ya umma kuna makosa mengine sio ya kuondoa wagombea ni ujinga.nashauri wapinzani wote wajitoe.
 
Tufunge vinywa, tutazame na tusubiri matokeo ya mwisho...
 
Nimemsikiliza Jana polepole, nilimshangaa sana nafasi ya kitongoji unaweka viigezo vya hovyo sana, kwani umekuwa mtihani ule.ccm imepora mamlaka ya umma kuna makosa mengine sio ya kuondoa wagombea ni ujinga.nashauri wapinzani wote wajitoe.
Wapinzani watakaobaki katika uchaguzi huu ni adui wa watanzania na hilo litawahukumu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…