Mtendaji wa Kijiji cha Hydom amshindilia makonde mwanakijiji. Asimamishwa kazi kupisha uchunguzi

Huyu ni mwananchi ni me au ni ke?
 
Hii Halmashauri ya Mbulu ina majanga, mara VEO kashusha kipondo huku nako tunasikia imekua ya mwisho kwa ukusanyaji wa mapato yani ni vurugu mechi
 
Huyo mwananchi hajadundwa vizuri.

Nashauri watendaji wapewe SMG ili kuwapiga risasi wataogoma kutoa michango ya ujenzi wa madarasa.

Hii nchi ni tajiri sana, tumelalliwa sana ndugu zangu.

MITANO TENA.
Kweli kabisa. Tumecheza sana haiwezekani hata vyumba tunavyolala na wake zetu vijengwe kwa hisani ya wamarekani. Mitano tenaaaaa.Alaaa!
 
Huyo mwananchi hajadundwa vizuri.

Nashauri watendaji wapewe SMG ili kuwapiga risasi wataogoma kutoa michango ya ujenzi wa madarasa.

Hii nchi ni tajiri sana, tumelalliwa sana ndugu zangu.

MITANO TENA.
Itabidi waanze kukupiga risasi wewe kwanza.
 
Mara paaaa,ili kumiliki simu ya smart phone na simu ya camera lazima uwe na leseni.
Hizi ndoto zinaanaga kama utani lakini mwisho inakuwa kweli.
Makofi kwa mtendaji tafadhali paaaa paaa paaaa paaaaaaaaaaaaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…