Mtetezi wa Kundi la LGBTQ auawa

Duh! Kayajaribisha hayo mavitu mji wa Eldoret, huko ni mikoani, utauawa, hayo labda uyafanye kuanzia Mombasa, Pemba, Dar hadi Tanga....
Umesahau yule gavana wa Nairobi pia alikuwa anakobolewa
 
When I saw this image, I remembered the advice my grandfather gave me at my Uncle's wedding while we were sitting close to each other next to the Music Band. The music was so loud I couldn't hear what he said. [emoji1787][emoji1787]
Damn u man[emoji1787]
 
WTF
 
Nimeipenda hiyo ya Wakenya.

Jamaa wametuma ujumbe mzuri kwa society na nadhani kutoka sasa itakuwa clearly kwamba kama kuvutana mbavu wavutane vyumbani mwao wakimaliza wakae kimya.
Binafsi huo ndio msimamo wangu hata serikali ingelisimamia hili kimya kimya bila kuwastua wazee wa haki za binadamu hawa wapuuzi wangeisha kwenye jamii yetu.
 
Dunia hadaa 😅
 
Hata humu wamo.
mashoga wa kiume na kike pia.
utawaona tu wanagonga like hapa😂😂
 
Ewe mzazi au mlezi ukishaona mwanao anajihusisha sana na ushenzi unaitwa fashion kaza buti kwenye kumfuatilia kwa kina kila chocho zake huyo kijana wako. Utakuja kulia when it's too late! Tembelea swahili fashion kule masaki nchini Tanzania uone vijana walivyoharibika. Source kuu ya ushoga ni hayo ma-fashion yenu.
 
Nawewe tukikukamata tunakuua tu. Usihalalishe dhambi Moja Kwa kutizama nyingine
 
Confusion
 
Naandika nafuta...naandika nafuta...naogopa hata sijui nicomment kitu gani, dah.
 
LGBTQ ni ushetani kamili unaopata push kubwa ya umagharibi,ni biashara inayowanufaisha wazungu.Yenye uwekezaji mkubwa sana,pengine hata kuzidi uwekezaji wa kwenye kupambana na ukimwi na majanga mengine
ofcourse imeshafikia pakubwa hasa kwetu Africa.Ni changamoto,tunadangaywa kwamba ni genitical disorder so it is a human right thing.kwamba mwanamke atamtamani kingono mwanamke mwenzie halikadharika mwanaume kwa mwanaume mwanaume mwenzie .Upuuzi mtupu huu.Ni tabia tunayohitaji kuendelea kuichukia tuu kinagaubaga.
 
Kwa hiyo kosa ni kuwa shoga au ni kujitangaza?. Mkuu Kuna watu wanatembea na wake/ waume za watu na wanajitangaza mitaani na jamii nzima tunawajaua, kwanini hatuwavamii na kuwaua?.

Mimi sitetei ushoga, ila ninapinga kitendo Cha kuwahukumu na kuwaua, ushoga umekataliwa zaidi na Imani za dini, hasa hizi dini za kigeni, mbona Qur'an ilikataza waislam kula nguruwe lakini waislam wengi tu wanakula kiti moto hadharani na hakuna mtu anawahukumu?. Tupunguzeni unafiki.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…