Mtetezi wa Kundi la LGBTQ auawa


Nyie mnafumuana kwa siri kumkosha binadamu sio kwa ajili ya Mungu, maana hata mambo kama ramdhani wengi mnakula kula ila kisiri ili kumfurahisha mwanadamu, ndio tatizo lenu kubwa.
 
🤣🤣🤣Unatumia nguvu kijana nyie ndo mmehalalisha kabisa na mnaolewa kama wewe.
 
Pwenti
 
Nyie mnafumuana kwa siri kumkosha binadamu sio kwa ajili ya Mungu, maana hata mambo kama ramdhani wengi mnakula kula ila kisiri ili kumfurahisha mwanadamu, ndio tatizo lenu kubwa.
Sawa wakifumuana kwa Siri wanapata dhambi, siku wakienda kwa Mungu wao watapata adhabu sio zawadi, kwasababu jambo hilo sio halali, sasa turudi kwenu wazungu mnafumuana hadharani kwasababu ni halali kwenu, sasa inakuwaje jambo la halali kwenu wazungu mnauana
 

Hayo ya dhambi huwa hamjali kuyahusu almradi hamjaonwa na binadamu wenzenu, kwa kifupi mnaogopa binadamu sana zaidi ya Mungu.
Halafu vioja, muarabu wenu naona anapindisha sheria za dini kumkosha mwanadamu Saudi Arabia kubadilisha sheria zake ili kuruhusu Ronalo aishi na mpenzi wake bila ndoa
 
Shida yako kubwa ni kushindwa kutofautisha uislamu na waislamu, akili yako ndogo inafikiri uislamu ni kujiita tu HAPANA, Uislamu ni kutii amri zote bila kubagua, sasa ukiona mtu anafanya jambo la haramu ilo tatizo lake maana Mungu ametoa hiari ya mtu kuacha dhambi au kufanya dhambi, hulazimishwi ila matokeo ya matendo yako ni motoni au peponi akili kichwani kwako, turudi kwako vip mmemuua mzungu mwenzenu wakati haki za binadamu kwenu ni lazima
 
Duh! Kayajaribisha hayo mavitu mji wa Eldoret, huko ni mikoani, utauawa, hayo labda uyafanye kuanzia Mombasa, Pemba, Dar hadi Tanga.
Usiseme Dar sema magomeni, kinondoni Sinza na mwananyamala walipojaa 🕋
 
Duh! Kayajaribisha hayo mavitu mji wa Eldoret, huko ni mikoani, utauawa, hayo labda uyafanye kuanzia Mombasa, Pemba, Dar hadi Tanga.
Halafu mnaposikia hiyo miji sijui mombasa sijui pemba, tambua kuna maneno ya mitaani na hali halisi, huko mombasa na pemba ndiko kuna wakazi wasio elewa kabisa ishu za lgbtq, huko ndio watu hawana utani kabisa
 
Ndio maana wakiwa same sex attracted. Hicho unachoona hakivutii kwao ndio kinawavutia
 
Hayo mavitu mnayafanya huko kwenye maeneo ya dini yenu huko Pwani, yapo sana ukanda huo.
Watu mnafurahishaga sana kwa kutupiana mpira wa mambo mnayoona yako nje ya maadili kwa mitazamo yenu. Ila ukweli unabakia huo ushoga uko dunia nzima hakuna sehemu haupo
 
Safi sana..hii ndio dawa yao, hata biblia inasema wazi

Mambo ya walawi 20:13

"Tena mtu mume akilala pamoja na mtu mume, kama alalavyo na mtu mke, wote wawili wamefanya machukizo; hakika watauawa; damu yao itakuwa juu yao."

Na wale mashoga wa humu mjiandae,wale wanaojifanya kutetea ushoga tokeni hadharani tuwajue ili tupite na nyie kimya kimya[emoji2959]
 

Tofauti yao na hao wengine uliowataja ni kuwa, hili kundi la watu wanaotumia kiupotovu upinde wa mvua ambao aliuumba Mungu, wanajitangaza na kushawishi kila mmoja kujiunga na upotovu wao. Wangejuwa watulia kama walivyotulia wachawi, wezi, majambazi n.k. hamna ambaye angewajali. Lakini kitendo cha kufanya hata wengine walazimishwe kwenye upotovu ndiyo shida inapoanzia. Pia la kujitwalia upinde wa mvua aliyouumba Mungu kama utambulisho wao binafsi siji kuwasamehe. Natamani kuwamaliza ilanakosa uwezo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…