Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo ndo linanikatisha tamaa ninapowapa support hawa watu. Ghafla unawaona hawako tayari kumkosoa hata mtu anayefahamika ni muhuni mtaani, akijifanya CHADEMA. Eti kuwa CHADEMA ni kutosikia, kutoogopa, nk. No! Mbona hatukuwahi kuona Dr Slaa akiburuzwa kiasi hiki?Wakati mwingine mnaisingizia tu ccm
Na yeye kaachika ndio mana yupo humu mda wote anatema uharoWewe mbona mama yako ndoa ilimshinda na hatusemi?
Wewe mbona umeachika lakini atusemi,Huyo ndoa imemshinda ataweza wapi ubunge
Aache kick
Nenda kaolewe wewe basiHuyo ndoa imemshinda ataweza wapi ubunge
Aache kick
Kazi ya polisi ni kuilinda ccm kwa maana ndio inayowalipa mishahara.Wakienda kinyume ni lazima wafe njaa kwa kufukuzwa kaziJe polisi wamemshika aliyeteremsha bendera ya Chadema? Kwa nni aliyedai haki yake anakamatwa badala ya mwovu! Police wetu wajiangalie sana. Tutawadharau kama hawatendi haki!
Ni Hadi wawe na akili hio.Polisi isihangaike na shangingi
Jamaa hata kwao awamtaki
Kama wewe tu, una ma Bwana kama miaHuyo ndoa imemshinda ataweza wapi ubunge
Aache kick
agiza unachokunywaWewe mbona mama yako ndoa ilimshinda na hatusemi?
Na mbunge wa Peramiho?Huyo ndoa imemshinda ataweza wapi ubunge
Aache kick
Wasimbe au Wanawake walioachwa na waume zao ndio huwa wagombea wa CHADEMA, au wanawake wasio kuwa na waume..... Ivi mtu kaachwaa ndio ataongoza wananchi kweli?Huyo ndoa imemshinda ataweza wapi ubunge
Aache kick
Ongelea hoja iliyopo mbele yetu sio vioja vya ndio maana ulilala nyumbani kwetu.Huyo ndoa imemshinda ataweza wapi ubunge
Aache kick
Wasimbe au Wanawake walioachwa na waume zao ndio huwa wagombea wa CHADEMA, au wanawake wasio kuwa na waume..... Ivi mtu kaachwaa ndio ataongoza wananchi kweli?
Na mbunge wa Peramiho?
Akili mbovu kabisa.Hilo ndo linanikatisha tamaa ninapowapa support hawa watu. Ghafla unawaona hawako tayari kumkosoa hata mtu anayefahamika ni muhuni mtaani, akijifanya CHADEMA. Eti kuwa CHADEMA ni kutosikia, kutoogopa, nk. No! Mbona hatukuwahi kuona Dr Slaa akiburuzwa kiasi hiki?