UKishasema ni mapenzi ya Mungu, ni ishara ya mapungufu. Binadamu anatatua shida zake! Mungu anaingiaje kwenye shida zako?Akili mbovu kabisa.
Tueleze unayemjua huyo mama, kama wewe unamfahamu ni mhuni mtaani.
Yule mama (mke wake Slaa =Dr Mhogo) hukuona akivuja damu usoni, au ulikuwa hujazaliwa?
Sasa hapa unamlalamikia nani, hao waliokwenda nyumbani kwa mtu na kushusha bendera, au huyo anayepinga kuonewa?
Inasikitisha sana kuwa na watu wapumbavu kama nyinyi, lakini tufanyeje, ni mapenzi ya Mungu kuwepo kwenu. Tutawavumilia hivyo hivyo huku tukipambana.
Ndio tabia za madikteta.Bi Hussina Amekamatwa na Watu Wanaosadikika Kuwa Ni Police, Na Yuko kituo Cha Polisi Geita.
NYUMBANI Kwake Kumejaa Polisi Njee na Ndani. Kosa la Yeye Kushikiliwa Halijulikani.
Zaidi soma:
Chato: Bendera za CHADEMA zashushwa na wanaodaiwa kuwa makada wa CCM. Mwanamama Husna Amri Said acharuka!
CHADEMA imekuwa ikimsumbua John Magufuli Jimbo la Chato Toka akiwa Mbunge
Hivi Hilo pozi la mdomo huwa wanafunzwa au
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hivi Hilo pozi la mdomo huwa wanafunzwa au
MNIOMBEE
Hili tunaweza kulijadili kwa mapana yake, lakini si hapa.UKishasema ni mapenzi ya Mungu, ni ishara ya mapungufu. Binadamu anatatua shida zake! Mungu anaingiaje kwenye shida zako?
Ingawa kisanii zaidi,anawatuma halafu anawageuka.Wasipojiongeza jela itawahusu wakati muafaka ukiwadia.CCM muda si mrefu Polisi watawachoka. Jana Jiwe aliwashushua kwa kufanya kazi ambazo yeye hajawatuma.