Mtia nia Ubunge jimbo la Chato Bi. Husna aliyelalamika bendera za CHADEMA kushushwa anashikiliwa na Jeshi la Polisi

UKishasema ni mapenzi ya Mungu, ni ishara ya mapungufu. Binadamu anatatua shida zake! Mungu anaingiaje kwenye shida zako?
 
UKishasema ni mapenzi ya Mungu, ni ishara ya mapungufu. Binadamu anatatua shida zake! Mungu anaingiaje kwenye shida zako?
Hili tunaweza kulijadili kwa mapana yake, lakini si hapa.
Hata hivyo nikupongeze kwa kuonyesha akili kidogo kuliko hapo mwanzo.

Wewe unafundishika.
 
CCM muda si mrefu Polisi watawachoka. Jana Jiwe aliwashushua kwa kufanya kazi ambazo yeye hajawatuma.
Ingawa kisanii zaidi,anawatuma halafu anawageuka.Wasipojiongeza jela itawahusu wakati muafaka ukiwadia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…