TANZIA Mtia nia wa Ubunge Moshi Vijijini, Dkt. Donald Kisanga afariki dunia baada ya kupata ajali ya gari Dodoma

TANZIA Mtia nia wa Ubunge Moshi Vijijini, Dkt. Donald Kisanga afariki dunia baada ya kupata ajali ya gari Dodoma

Duuh, gone too soon....Pumziko La Amani Apate ndugu yetu huyu.
 
Acha kunipangia how to feel mzee

Wewe ume-feel huruma kwake,rightfully so...

Na mimi sija-feel huruma yeyote kwake,rightfully so...

Punguza kupangia watu how to feel,punguza udikteta,kaa nao,I dont want ushauri wako!

Unaji ekti wewe ni universal moral giver,unaeleza how people have to feel on various things....

Fvck whatchu say,keep it for yourself....leave me be!
Mkazi wa Sengerema kachachamaa hatari, na english ya st. marys ndo inampa kiburi wakati watu humu ndani wanaongea mpaka Kichina!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha upu*bav*. Mimi naongelea Kisanga ambaye ni marehemu, tena nimerudia neno marehemu x4 kwenye huu uzi. Wewe unamsema Kisanga ambaye yuko hai. Siyo uj*ng* huo? Ama unataka kuonnyesha watu kuwa unamfahamu daktari Muhimbili? Mimi nimesema marehemu Kisanga bingwa wa mkojo, wewe unaongelea bingwa wa figo! Wapi na wapi? Haki ya mama kazi ya kufundisha kumbe ni ngumu hivi. Walimu waongezewe mshahara tafadhali. Ukiwa na wanafunzi 3 kama wewe darasani, utajiuzuru ualimu bila kupenda.
Na ndio Magufuli amewagomea,hata Daraja hawapandishwi.
 
Mkazi wa Sengerema kachachamaa hatari, na english ya st. marys ndo inampa kiburi wakati watu humu ndani wanaongea mpaka Kichina!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kingereza kimekuuma sana?

Zungumza Kichina,Kisukuma,Kichagga,etc thats entirely on you...its not a decision for me to make!

Umepiga ramli ukaona mimi ni mkazi wa Sengerema?Kubashiri waachie waganga mzee!

Its funny upo humu kupangia watu lugha za kuongea wakati thats not decision for you to make!

Huu ungese,stop this shit showing my nigga!
 
Poleni sana Familia, Dr. Donald Kisanga Umemaliza mwendo, upumzike kwa amani



Katika tasnia ya muziki wa injili na ule wa secular, Marehemu Donald Kisanga alihamashisha mengi kwa vitendo.

Dr. Don Kisanga | Ndiyo | Official Video

 
Kingereza kimekuuma sana?

Zungumza Kichina,Kisukuma,Kichagga,etc thats entirely on you...its not a decision for me to make!

Umepiga ramli ukaona mimi ni mkazi wa Sengerema?Kubashiri waachie waganga mzee!

Its funny upo humu kupangia watu lugha za kuongea wakati thats not decision for you to make!

Huu ungese,stop this shit showing my nigga!
Kwani umeisha toka senge rema ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kunipangia how to feel mzee

Wewe ume-feel huruma kwake,rightfully so...

Na mimi sija-feel huruma yeyote kwake,rightfully so...

Punguza kupangia watu how to feel,punguza udikteta,kaa nao,I dont want ushauri wako!

Unaji ekti wewe ni universal moral giver,unaeleza how people have to feel on various things....

Fvck whatchu say,keep it for yourself....leave me be!

Watu wapumbavu kama wewe wanafsiri ukiachaa wa kuharisha kila muda na kila wakati ndo uhuru. My stupid und uncivilized actor mana nikisema politician ntakuwa nimekosea sana. Uhuru wako una mipaka, ndo mana hata ukiamua kunya kwenye kaptura yako. Watu wataingilia na kusema umejinyea. Ni tendo lile lile ambalo mstaarabu anafanya chooni au mahali pake. Hivi mtu kama wewe kama ndo una Chama na wanakuita mwanachama hiyo mbingu gani utakayoikaribia? By the way CCM Ni chama tu kama hicho chama chako. Watu Wake wanabaki wao na unafsi wao. Waovu Ni wanadamu na wewe ndo umedhihirisha hapa kwa kukosa utu na ustaarabu. Nenda Rwanda. Tz. Haikufai. Kama kuna Wenzako watakutetea Basi jua ukweli hautegemei wengi wa watu. PUMBAVU we heshimu marehemu. Tena Dr. ambaye pengine alishatibu mpaka nerves za wazazi wako. Mana kwa Mtoto kama wewe unahisi wazazi watakuwaje. Tukifuata Logik yako kuwa maccm Ni maccm. Umenibore sana Jinga wewe.
 
Huu mchezo wa CCM kuvaa magwanda ndio kusema CHADEMA tumewapiku hadi kuamua kushonesha na wao?
Toa pole kamanda wangu. Mbona Lissu amemwachia Mungu ashughulike na watesi wake. Na kasema asingependa awaye yoyote apate mateso makali aliyotendewa yeye hapo ni wazi kawaombea msamaha watesi wake kwa Mungu. Tuwe na ubinadamu wa Lissu. R.I.P Dr.
 
Sasa wewe Bwana Mr Chopa,una wivu na mimi kuongea Kingereza au mimi kuongea Kiswahili?

Wivu mpaka wa lugha?

Punguza upumbavu wewe!

Na wewe kasome English uwe polished ili uache hizi sentensi za wivu wivu....!

Shida yako na mimi hasa ni lugha au kuna jingine maana na wewe kuna mahali kadhaa wa kadhaa umeweka Kingereza na Kiswahili,sasa tuseme wewe upo sawa na mimi sipo sawa?

Wewe kuelewa au kutoelewa ni entirely on you mimi sina uwezo wa kuingilia anything in your head!

Your head belongs to you not me!

One more thing,punguza wivu wa kisenge..kuna na wivu wa mambo serious wewe!

Lugha?Kichaa wewe
Ha ha ha haha [emoji23][emoji23]
 
Toa pole kamanda wangu. Mbona Lissu amemwachia Mungu ashughulike na watesi wake. Na kasema asingependa awaye yoyote apate mateso makali aliyotendewa yeye hapo ni wazi kawaombea msamaha watesi wake kwa Mungu. Tuwe na ubinadamu wa Lissu. R.I.P Dr.
Nitatoa pole baadae.
 
Back
Top Bottom