Mtibwa Sugar 0-0 Simba SC | Ligi kuu Bara| Manungu Morogoro

Pablo afungashiwe virago fasta kabla hajaifanya simba icheze kama gwambina au ihefu
 
Mliwafunga Red arrows kwenye majaruba kwaiyo pambaneni.
 
Wanafanya hujuma za wazi wazi kabisa

Hii TFF kwasababu simba ilikataa mkataba wa mchongo aliosaini na GSM basi TFF imekuwa ikimuandama simba
Acheni uswahili, timu ngapi zimecheza hapo Manungu na hazijalalamika nyie ni nani muonekane mnaumuhimu sana kuliko timu zingine?
 
Acheni uswahili, timu ngapi zimecheza hapo Manungu na hazijalalamika nyie ni nani muonekane mnaumuhimu sana kuliko timu zingine?
Sio tu kucheza Manungu, hoja ni kwamba hizo timu ziliukuta uwanja katika hali gani
 
Simba inashinda hii mechi wala sina mashaka
 
Uzi umepoa sana huu, au mnyama haupigi mwingi huko majarubani??
 
Acheni uswahili, timu ngapi zimecheza hapo Manungu na hazijalalamika nyie ni nani muonekane mnaumuhimu sana kuliko timu zingine?
Swala la timu zingine kucheza kwenye kiwanja kibovu sio sababu ya simba wapenda soka kulizungumzia.Hii ni aibu yakujitakia.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Dakika 50 simba imeongeza mashambulizi zaidi kwenye lango la mtibwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…