Mwana parokia
Senior Member
- Sep 27, 2023
- 129
- 212
Bila shaka unajifunga kwa upasuaji Kwa sababu ya CPDhuko ndani ya chama
wananchi hawakubali si utani ndugu zangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila shaka unajifunga kwa upasuaji Kwa sababu ya CPDhuko ndani ya chama
wananchi hawakubali si utani ndugu zangu
Mimba ya Mr Mbowe kama inakusumbua kunywa uji wa unga wa ngano,changanyia na ulanzi,walipeni wazee wa EAC(fedha mlizo waibia maana hazikua za serikali yako ),na wazee wa TAZARA wamelalama humu juzi katiAwalipe wale wakina tumaini makene kama ana hela kweli!
KabisaMkuu wengine wanja tuCHADEMA chama dume
wamatifuana nini sasa akati wote wepesi tu...Hii ndio Taarifa ya sasa inayozunguka kila mahali.
===
Pazia la uchukuaji na urejeshaji fomu za kusaka uongozi katika kanda nne za kiuongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), linafunguliwa rasmi leo Ijumaa Aprili 12 hadi 22, saa 10 alasiri.
Nafasi zinazowaniwa ni mwenyekiti na makamu mwenyekiti wa kanda, mweka hazina na katibu wa kanda. Kanda hizo ni Victoria, Magharibi, Nyasa na Serengeti zinazounda mikoa ya Mwanza, Kagera, Simiyu, Shinyanga, Mbeya, Iringa, Njombe, Mara, Rukwa, Katavi, Tabora, Songwe na Kigoma.
Kwa mujibu wa tangazo la uchaguzi lililotolewa leo Ijumaa Aprili 12, 2024 na Naibu Katibu Mkuu (Bara), Benson Kigaila limeeleza kuwa fomu za kuwania nafasi hizo zitapatikana kwa makatibu wa mikoa na tovuti ya chama hicho kikuu cha upinzani nchini.
Miongoni wa vigogo wanaotajwa kuchukua fomu ni pamoja na aliyekuwa mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi 'Sugu' atakayechuana na Mchungaji Peter Msigwa anayetetea uenyekiti wa kanda ya Nyasa. Wengine ni mwenyekiti wa Bavicha, John Pambalu atakayekabiliana na Ezekiah Wenje katika Kanda ya Victoria.

Ashinde Sugu angalau afaidi za join the chain,Msigwa kaiba sana hadi amejenga ghorofa pale Town iringaHii ndio Taarifa ya sasa inayozunguka kila mahali.
===
Pazia la uchukuaji na urejeshaji fomu za kusaka uongozi katika kanda nne za kiuongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), linafunguliwa rasmi leo Ijumaa Aprili 12 hadi 22, saa 10 alasiri.
Nafasi zinazowaniwa ni mwenyekiti na makamu mwenyekiti wa kanda, mweka hazina na katibu wa kanda. Kanda hizo ni Victoria, Magharibi, Nyasa na Serengeti zinazounda mikoa ya Mwanza, Kagera, Simiyu, Shinyanga, Mbeya, Iringa, Njombe, Mara, Rukwa, Katavi, Tabora, Songwe na Kigoma.
Kwa mujibu wa tangazo la uchaguzi lililotolewa leo Ijumaa Aprili 12, 2024 na Naibu Katibu Mkuu (Bara), Benson Kigaila limeeleza kuwa fomu za kuwania nafasi hizo zitapatikana kwa makatibu wa mikoa na tovuti ya chama hicho kikuu cha upinzani nchini.
Miongoni wa vigogo wanaotajwa kuchukua fomu ni pamoja na aliyekuwa mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi 'Sugu' atakayechuana na Mchungaji Peter Msigwa anayetetea uenyekiti wa kanda ya Nyasa. Wengine ni mwenyekiti wa Bavicha, John Pambalu atakayekabiliana na Ezekiah Wenje katika Kanda ya Victoria.
Unawaza kuiba tu ! CCM ni laanaAshinde Sugu angalau afaidi za join the chain,Msigwa kaiba sana hadi amejenga ghorofa pale Town iringa
Chadema aisee,mjitathmini sanaUnawaza kuiba tu ! CCM ni laana