Pre GE2025 Mtifuano wa Uchaguzi wa CHADEMA kwenye Kanda usipime. Hakuna mwenye uhakika wa kushinda

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Awalipe wale wakina tumaini makene kama ana hela kweli!
Mimba ya Mr Mbowe kama inakusumbua kunywa uji wa unga wa ngano,changanyia na ulanzi,walipeni wazee wa EAC(fedha mlizo waibia maana hazikua za serikali yako ),na wazee wa TAZARA wamelalama humu juzi kati
 
Mnataka kushika dola, na mnachagua mnachagua watu aina ya NTOBI?,
 
Unaambiwa hakuna fomu moja , kuna mijifomu ya kutosha , kila mtia nia aje kuchukua
 
wamatifuana nini sasa akati wote wepesi tu...
 
Ashinde Sugu angalau afaidi za join the chain,Msigwa kaiba sana hadi amejenga ghorofa pale Town iringa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…