Mtihani kidato cha nne: OCD wilaya ya Kondoa ampiga vibaya mkuu wa shule wa Kikore

Mtihani kidato cha nne: OCD wilaya ya Kondoa ampiga vibaya mkuu wa shule wa Kikore

fidelity

Member
Joined
Apr 22, 2012
Posts
91
Reaction score
11
Katika hali isiyo ya kawaida, OCD wilaya ya Kondoa amempiga mateke, ngumi, vibao na kumchania shati mkuu wa shule wa shule ya sekori Kikore wilayani hapo.

Tukio hilo lilitokea jana 03/11/2013 ambapo kamati ya wilaya iilipopita shuleni hapo kusambaza mitihani ya kidato cha nne iliyoanza leo hii.OCD huyo alimuuliza mkuu wa shule "STRONG ROOM IKO WAPI?" mkuu wa shule akawaonesha chumba cha darasa ambacho hutumika kama ofisi ya mkuu wa shule na staff ya walimu,ndipo OCD alipoanza kutoa matusi ya nguoni akitaka kuoneshwa strong room nyingine, mkuu alipokosa majibu ndipo OCD alianza kumpatia kichapo kikali kilichosababisha majereha katika mwili wake.

Katika hali ya kushangaza wajumbe waliokua wameandamana na OCD huyo ambao ni AFISA ELIMU MSAIDIZI WA WILAYA, NA AFISA USALAMA WA WILAYA WALISHANGILIA TUKIO HILO JAMBO LILOMFANYA MKUU WA SHULE KUKOSA MSAADA.

Aidha shule ya sekondari ya Kikore ni moja ya shule za kata ambayo haina jengo la utawala na upungufu mkubwa wa miundombinu hivyo kumlazimu mkuu wa shule kuchukua chumba kimoja cha darasa na kukigawa upande mmoja kua ofisi yake na upande mwingine ofisi ya walimu wote.

POLE SANA MKUU WA SHULEPOLENI SANA WALIMU WA TANZANIA!
 
Baada ya kichapo mmitihani walirudi nayo au waliiacha?
 
Hence proved,Pindalization theory works accurately!
 
vitu vingine ni uzembe tu wala havihitaji kutetewa...sasa huyo mwl mkuu yeye wakati anapigwa alikuwa kafungwa pingu? Kashindwa kujitetea? Inapoelekea walimu mtatiwa hata midole ya m*---- mbele ya wanafunzi na mtatulia tu
 
Huu ni use**ng* sasa kosa la mwalim liko wapi hapo. Afsa elim nae hayuko makin na shule zake keann hajui km strong room ipo au haipo. Mkuu wa shule angejenga kwa mapesa yake? Je zamani kulikua kuna strong room?
 
imenisikitisha sana aisee,mi ningerusha mangumi liwalo na liwe aisee,tena ningemtoboatoboa na kalamu hadi wamsahau
 
imenisikitisha sana aisee,mi ningerusha mangumi liwalo na liwe aisee,tena ningemtoboatoboa na kalamu hadi wamsahau
hata mimi nisingekubali.tungerudi wote kituoni bakora zote hizi huko mashulen ningempiga hata kwa slesha la shule
 
maelezo bado hayako sawa yaan huyo ocd aanze tu kumpiga mwalimu mkuu bila sababu? baada ya ilo tukio nn kiliendelea?
 
Kazi kweli kweli........jamani strong room ndo room gani

Nichemba maalumu iliopo ndani ya ofisi kwa ajili ya kutunzia vitu vya siri kama mitihani, vyeti vya wanafunz waliomaliza, faili za siri za walimu au watumishi na hata fedha sometimes still cabinet zaweza tumika kama strong room.umenipata wangu?
 
vitu vingine ni uzembe tu wala havihitaji kutetewa...sasa huyo mwl mkuu yeye wakati anapigwa alikuwa kafungwa pingu? Kashindwa kujitetea? Inapoelekea walimu mtatiwa hata midole ya m*---- mbele ya wanafunzi na mtatulia tu
:shut-mouth::shut-mouth: hivyo ingekuwa wewe ungejibu mapigo sio, tuwe tunakuwa wakweli.
 
Pole sana mwalim alikuwa anatekeleza maagizo ya waziri mkuu (PIGA TUU)hawa police wameshazoea kupiga raia kunasiku watatafuta pa kuishi hawakumbuki kuwa hawana nyumba tunakaa nao mitaani kule mtwara wote walilala juu ya paa la kitua cha police yashukuru jwtz
 
Mkuu wa shule naye watu wana piga baba zao ,itakuwa OCD ningembutua
 
Back
Top Bottom