Uchaguzi 2020 Mtihani mkubwa ulio mbele ya CHADEMA ni kupata fedha za kampeni za Urais. Chama hakina fedha na Mgombea hana fedha

Tema mate chini, ana pesa za mabeberu
 
Kwa Lissu unaonaga vipingamizi tuuu ndio maana Mungu anamshindia Vita zake !!!
 
Watoe tu account za bank au namba za simu ujionee mwenyewe Mungu anataka kudhihirisha mpango wake kwa nchi hii
 
Utaendaje vitani bila siraha za kutosha mkuu? Kumbuka hii ni general election sio uchaguzi wa wenyekiti wa vitongoji
 
Kwani nawewe kumpigia kura lissu mpaka upewe darasa lakumuhusu lissu?
 
Mataga punguza jazba alafu tulia sindano ikuingie vizuri.
 
Basi futa machozi usilie, punguza jazba, kaa kwa utulivu sindano ya Lissu ikuingie vizuri.
 
Hamtaki? Wewe na nani? Na ninyi kama nani???
 
Mmmmmm mawakala wa bure utawatoa wapi? Hili Ni eneo ambalo linahitaji pesa nyingi Sana kuweka mawakala vituo vyote vya kupiga kura nchi nzima pesa yake Sio ya kitoto

Mawakala wa bure kabisa hawapo kwa wingi, ila mimi na mke wangu kwa hilo tuko tayari. Na bado sehemu nyingi watu wanaoaminika na chama wanaweza kujitolea pia. Ukikubalika na wananchi wala hupati shida kwenye hilo. Ni kweli eneo hili linahitaji hela, lakini sio kwamba haiwezekani. Hivyo hayo matamanio yako ni kazi bure.
 

Hizi nyimbo za Sikinde zishachuja hakuna mtu anamjua. Huyo Lijualikali aliyekuwa anajipendekeza kwa ccm kwa kuichafua cdm, ndio huyo huko ccm kufunikwa na watoa rushwa, saa hii analilia arudi cdm.
 
Nani kakwambia mgombea inabidi awe na pesa za kampeni. Hilo ni la chama na wananachama. Hakika Litaisha vema kabisa.
 
Dadadeeeki, kweli mataga safari hii mh Lissu amewashika vibaya sana, jiandaeni kisaikolojia
 
Huyo ni mpiga zumari wa lumumba, anajitahidi kuikoa ccm yake baada ya yule wasiye mpenda kuingiza timu uwanjani
Mie nimekuuliza swali. "Wewe ni mke wa CHADEMA hadi ujue siri za ndani za mumeo?"
 
Kuingia kwenye kampeni za uchaguzi mkuu sio jambo la bahati mbaya au la dharura, hapa chama kilisha jiandaa kimkakati toka muda mrefu! Hivyo susla la pesa za kampeni sio issue tena , subiri utaona muziki utakaopigwa!
 
ha ha ha ha !!! mtachanga za tigo rusha ? Ndio utegemee kuendeshea kampeni ya uraisi? uwii mbavu zangu mimi wacha nicheke
Nina wasiwasi na akili zako kama screws zote zimefungwa vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…