Uchaguzi 2020 Mtihani mkubwa ulio mbele ya CHADEMA ni kupata fedha za kampeni za Urais. Chama hakina fedha na Mgombea hana fedha

Uchaguzi 2020 Mtihani mkubwa ulio mbele ya CHADEMA ni kupata fedha za kampeni za Urais. Chama hakina fedha na Mgombea hana fedha

Hizi nyimbo za Sikinde zishachuja hakuna mtu anamjua. Huyo Lijualikali aliyekuwa anajipendekeza kwa ccm kwa kuichafua cdm, ndio huyo huko ccm kufunikwa na watoa rushwa, saa hii analilia arudi cdm.

Kafunikwa na watoa rushwa au wanamtandao. Sijui kuwa viongozi wa CCM wa juu walifanikiwa kuliona hili. Wanamtandao walimtuma mjumbe wao pale Dodoma. Yule aliye tumia ile fursa iliyotolewa na Mkt ya mwenye swali kuuliza. Akasema nimetumwa.....Narudia sijui kama walimchukulia yule jamaa serious. Je walijua ilikuwaje kati ya wajumbe zaidi ya 2,000 apate fursa na muulize lile swali? Mkt alimkrashi tu na majibu wameyapata kwenye matokea ya kura za maoni.

Inahitajika, akili, nguvu nia ya kweli, raslimali za uhakika kuusambaratisha ule mtandao wa ccm usio rasmi. Huu mtandao ulisha onja asali ya kumuweka mtu wao kama Rais wa JMT. Una succession plan ya uhakika, si wa mchezo mchezo.
 
Hiyo tabia ya kununua kura kwa tishirt , kofia na ubwabwa mnazo nyie wanaCCM.
Lisu atapata kura bure toka kwa wananchi.
Pesa ya kumove nchi nzima 2015 alizitoa mimvi?
Shindwa pepo mchafu
 
Hizi nyimbo za Sikinde zishachuja hakuna mtu anamjua. Huyo Lijualikali aliyekuwa anajipendekeza kwa ccm kwa kuichafua cdm, ndio huyo huko ccm kufunikwa na watoa rushwa, saa hii analilia arudi cdm.
Hivi dhana ya uwakilishi unaijua ewe tindua uongo!? Au hivi mnatazamaje mambo nyinyi vichwa upanga
 
Mtihani mkubwa mbele ya CHADEMA ni kupata pesa za kampeni za ugombea urais sababu chama hakina pesa na aliyependekezwa kugombea pesa hana.

Pesa nyingi mno huhitajika kwenye kampeni ya urais. Ni mtihani mkubwa mno ulioko mbele ya CHADEMA.

Kampeni inahitaji bilions of money kwa ajili ya logistics, misafara ya mgombea kuzunguka na waandishi wa habari, kununua airtime kwenye vyombo vya habari, kununua front pages za magazeti ili habari za mgombea ziandikwe na front pages ni gharama ya kufa mtu.

Kupata pesa za kampeni ni challenge kubwa mno inayoikabili CHADEMA.

Mnahangaka kweli kweli, porojo ikikosa support mnakuja na porojo nyingine...pamoja na kuzunguka nchi nzima peke yenu lakini bado mnahangaika kweli kweli.
 
Mnahangaka kweli kweli, porojo ikikosa support mnakuja na porojo nyingine...pamoja na kuzunguka nchi nzima peke yenu lakini bado mnahangaika kweli kweli.
Amekusaidia tu kufanya analysis usumtukane ukawa mkosefu wa fadhila kama bwana mbowe
 
Mtihani mkubwa mbele ya CHADEMA ni kupata pesa za kampeni za ugombea urais sababu chama hakina pesa na aliyependekezwa kugombea pesa hana.

Pesa nyingi mno huhitajika kwenye kampeni ya urais. Ni mtihani mkubwa mno ulioko mbele ya CHADEMA.

Kampeni inahitaji bilions of money kwa ajili ya logistics, misafara ya mgombea kuzunguka na waandishi wa habari, kununua airtime kwenye vyombo vya habari, kununua front pages za magazeti ili habari za mgombea ziandikwe na front pages ni gharama ya kufa mtu.

Kupata pesa za kampeni ni challenge kubwa mno inayoikabili CHADEMA.
Bilion ngapi?
 
Mtihani mkubwa mbele ya CHADEMA ni kupata pesa za kampeni za ugombea urais sababu chama hakina pesa na aliyependekezwa kugombea pesa hana.

Pesa nyingi mno huhitajika kwenye kampeni ya urais. Ni mtihani mkubwa mno ulioko mbele ya CHADEMA.

Kampeni inahitaji bilions of money kwa ajili ya logistics, misafara ya mgombea kuzunguka na waandishi wa habari, kununua airtime kwenye vyombo vya habari, kununua front pages za magazeti ili habari za mgombea ziandikwe na front pages ni gharama ya kufa mtu.

Kupata pesa za kampeni ni challenge kubwa mno inayoikabili CHADEMA.
Wapate pesa wasipate
Kufikisha 20% Hawata fikisha never
 
Ulikuwa ukichanga nini wewe una pesa?

Walikuwa wakichanga pesa za kueleweka akina mzee marehemu Ndesamburo,Wafadhili wa nje wa Dr Slaa ,akina Lowasa ambao hawapo tena .Zile helikopeta mliziona zikikata mawimbi hewani zilikuwa hazirushwi kwa pesa kuchanga za Tigo rusha!!!
Unaweza sana kukaza msuli kwa jambo lisilo maana, kibaya zaidi hata wewe unajua unachokikazia hakina mashiko
 
Kafunikwa na watoa rushwa au wanamtandao. Sijui kuwa viongozi wa CCM wa juu walifanikiwa kuliona hili. Wanamtandao walimtuma mjumbe wao pale Dodoma. Yule aliye tumia ile fursa iliyotolewa na Mkt ya mwenye swali kuuliza. Akasema nimetumwa.....Narudia sijui kama walimchukulia yule jamaa serious. Je walijua ilikuwaje kati ya wajumbe zaidi ya 2,000 apate fursa na muulize lile swali? Mkt alimkrashi tu na majibu wameyapata kwenye matokea ya kura za maoni.

Inahitajika, akili, nguvu nia ya kweli, raslimali za uhakika kuusambaratisha ule mtandao wa ccm usio rasmi. Huu mtandao ulisha onja asali ya kumuweka mtu wao kama Rais wa JMT. Una succession plan ya uhakika, si wa mchezo mchezo.

Takukuru ipo, na mahakama zipo, kwanini hatuoni hatua stahiki zaidi ya siasa za ghiliba?
 
Mtihani mkubwa mbele ya CHADEMA ni kupata pesa za kampeni za ugombea urais sababu chama hakina pesa na aliyependekezwa kugombea pesa hana.

Pesa nyingi mno huhitajika kwenye kampeni ya urais. Ni mtihani mkubwa mno ulioko mbele ya CHADEMA.

Kampeni inahitaji bilions of money kwa ajili ya logistics, misafara ya mgombea kuzunguka na waandishi wa habari, kununua airtime kwenye vyombo vya habari, kununua front pages za magazeti ili habari za mgombea ziandikwe na front pages ni gharama ya kufa mtu.

Kupata pesa za kampeni ni challenge kubwa mno inayoikabili CHADEMA.
Unashauri nini kifanyike tukope ccm?
 
Wanachama wa cdm ni wazungusha mikono na kushikiwa akili siku zote. Walikuwa wananaibiwa kwa kuchangishwa fedha za mafuta ya hedikopta, baadaye ikaja hiyo ya kupitia tigo. Wabunge tukawasikia juzi kati hapa wakilalamikia kukatwa mishahara yao kwa kushurutishwa na lazima. Hakuna hata mwenye kuthubutu kuomba kupewa maelezo ya jinsi fedha hizi zinatumika.

Mkt atakuja na mradi wake wa Fuso chakafu. Makumu mwenyekiti na bajeti yake ya kusimamia kesi mbalimbali za wanachama. Wajinga ndio wali wao huliwa kama ubwabwa.
Lila na fila
 
Mkuu umeombwa?, pilipili iko shambani wewe unawashajwe ???
 
Takukuru ipo, na mahakama zipo, kwanini hatuoni hatua stahiki zaidi ya siasa za ghiliba?

Wanamtandao kuwa shinda na kuungamiza kunatakiwa iundwe kurugenzi yake mahususi ya kushughulika nao mkuu. Kama ile ya kuleta uhuru nchi za kusini mwa Afrika. Hawa ni hatari zaidi ya mapambano ya mihadarati.
 
Mtihani mkubwa mbele ya CHADEMA ni kupata pesa za kampeni za ugombea urais sababu chama hakina pesa na aliyependekezwa kugombea pesa hana.

Pesa nyingi mno huhitajika kwenye kampeni ya urais. Ni mtihani mkubwa mno ulioko mbele ya CHADEMA.

Kampeni inahitaji bilions of money kwa ajili ya logistics, misafara ya mgombea kuzunguka na waandishi wa habari, kununua airtime kwenye vyombo vya habari, kununua front pages za magazeti ili habari za mgombea ziandikwe na front pages ni gharama ya kufa mtu.

Kupata pesa za kampeni ni challenge kubwa mno inayoikabili CHADEMA.
Fedha za nini wakati mitandao ya kijamii ipo na wao ni mabingwa huko?
 
Safari hii mmeshikwa pabaya,huyu jemedari lisu anawatesa sana,subirin kwenye kampeni mtaomba poo!
 
Back
Top Bottom