Uchaguzi 2020 Mtihani mkubwa ulio mbele ya CHADEMA ni kupata fedha za kampeni za Urais. Chama hakina fedha na Mgombea hana fedha

Uchaguzi 2020 Mtihani mkubwa ulio mbele ya CHADEMA ni kupata fedha za kampeni za Urais. Chama hakina fedha na Mgombea hana fedha

Huyo huyo YEHODAYA alikuwa anampigia debe Nyalandu na kusema kuwa Lissu hakubaliki kwa wana Chadema.
Watajutia kumpa political mileage kwa zile risasi 16. Nina hakika wameanza kumlaumu aliyesababisha haya,wakati mwenyewe kajilaza Kigamboniiii anacheza na mtoto wake wa kupandikiza.
 
Mtihani mkubwa mbele ya CHADEMA ni kupata pesa za kampeni za ugombea urais sababu chama hakina pesa na aliyependekezwa kugombea pesa hana.

Pesa nyingi mno huhitajika kwenye kampeni ya urais. Ni mtihani mkubwa mno ulioko mbele ya CHADEMA.

Kampeni inahitaji bilions of money kwa ajili ya logistics, misafara ya mgombea kuzunguka na waandishi wa habari, kununua airtime kwenye vyombo vya habari, kununua front pages za magazeti ili habari za mgombea ziandikwe na front pages ni gharama ya kufa mtu.

Kupata pesa za kampeni ni challenge kubwa mno inayoikabili CHADEMA.
 
Wanamtandao kuwa shinda na kuungamiza kunatakiwa iundwe kurugenzi yake mahususi ya kushughulika nao mkuu. Kama ile ya kuleta uhuru nchi za kusini mwa Afrika. Hawa ni hatari zaidi ya mapambano ya mihadarati.

Hamna lolote, utapeli mtupu.
 
Acha kuweweseka, zile milioni alizokuwa akikatwa lijualikali na wenzake zipo kwa ajili ya kampeni.... kwani wakishindwa si ndo furaha yako mataga!

Utateseka sana miezi hii hapa mlamu.
 
Kumbe jamaa anakaa kigamboni? [emoji23][emoji23][emoji23]
Watajutia kumpa political mileage kwa zile risasi 16. Nina hakika wameanza kumlaumu aliyesababisha haya,wakati mwenyewe kajilaza Kigamboniiii anacheza na mtoto wake wa kupandikiza.
 
Tulieni hvo hvo sindano iingie,, isije ikavunjikia ndani.
 
Alafu CCM kwa kuwa hawana sera na ushawishi ndio wanaohonga media wawanogeshe, tena na kuwapa muongozo kutochapisha habari za M4C. Media zinahitaji matukio ya Chadema ili kuweza kuuza vipindi na magazeti yao.
 
Chadema wakiamua kuchanga mtaaibika bure jamaa zangu.


Hawajajua hilo,, na hio itawapa mileage chadema,, yaani asaiv sisiemu wakileta nyoooo kidogo tu, kwa chadema ni advantage... Wao watulie wasubiri kuiba kura then maisha yaendelee
 
Alafu CCM kwa kuwa hawana sera na ushawishi ndio wanaohonga media wawanogeshe, tena na kuwapa muongozo kutochapisha habari za M4C. Media zinahitaji matukio ya Chadema ili kuweza kuuza vipindi na magazeti yao.
 
Alafu CCM kwa kuwa hawana sera na ushawishi ndio wanaohonga media wawanogeshe, tena na kuwapa muongozo kutochapisha habari za M4C. Media zinahitaji matukio ya Chadema ili kuweza kuuza vipindi na magazeti yao.
 
Alafu CCM kwa kuwa hawana sera na ushawishi ndio wanaohonga media wawanogeshe, tena na kuwapa muongozo kutochapisha habari za M4C. Media zinahitaji matukio ya Chadema ili kuweza kuuza vipindi na magazeti yao.
 
Alafu CCM kwa kuwa hawana sera na ushawishi ndio wanaohonga media wawanogeshe, tena na kuwapa muongozo kutochapisha habari za M4C. Media zinahitaji matukio ya Chadema ili kuweza kuuza vipindi na magazeti yao.
 
Ila hawahitaji gharama ya kutununua kwenda kupiga kura. Yaani mie walasiitaji kampeni mie hata kama kupiga kura kunawezekana leo poa tuuu
 
We si ndio ulisema Mbowe hawezi kuruhusu Lissu awe mgombea urais.
Atamchagua Nyarandu mwenye pesa za kampeni.

Imekuwaje sasa?
 
Back
Top Bottom