Uchaguzi 2020 Mtihani mkubwa ulio mbele ya CHADEMA ni kupata fedha za kampeni za Urais. Chama hakina fedha na Mgombea hana fedha

Uchaguzi 2020 Mtihani mkubwa ulio mbele ya CHADEMA ni kupata fedha za kampeni za Urais. Chama hakina fedha na Mgombea hana fedha

ha ha ha ha !!! mtachanga za tigo rusha ? Ndio utegemee kuendeshea kampeni ya uraisi? uwii mbavu zangu mimi wacha nicheke
Achana nao hao mkuu...sisi huku tuna pesa nyingi ata juzi watia nia walikua wanatoa rushwa ili kuonyesha kua pesa tunayo ata kama wapiga kura ni mandondocha
 
Hata kama wangekuwa nazo bado lissu ni gunia la viazi vilivyooza,hawezi kuwa rais wa Tanzania kwa namna iwayo
 
Tutaomba lift kwenye malori kama tatizi ni usafiri, kulala nyumba za wanachadema zipo kila sehemu na msosi atakula tu wa bure, gari la matangazo hata kipaza sauti kitatosha😈😈😈😈
 
Mtihani mkubwa mbele ya CHADEMA ni kupata pesa za kampeni za ugombea urais sababu chama hakina pesa na aliyependekezwa kugombea pesa hana.

Pesa nyingi mno huhitajika kwenye kampeni ya urais. Ni mtihani mkubwa mno ulioko mbele ya CHADEMA.

Kampeni inahitaji bilions of money kwa ajili ya logistics, misafara ya mgombea kuzunguka na waandishi wa habari, kununua airtime kwenye vyombo vya habari, kununua front pages za magazeti ili habari za mgombea ziandikwe na front pages ni gharama ya kufa mtu.

Kupata pesa za kampeni ni challenge kubwa mno inayoikabili CHADEMA.
Vipi ulivyosikia Tundu kapita ulipata usingizi kweli
 
Mtihani mkubwa mbele ya CHADEMA ni kupata pesa za kampeni za ugombea urais sababu chama hakina pesa na aliyependekezwa kugombea pesa hana.

Pesa nyingi mno huhitajika kwenye kampeni ya urais. Ni mtihani mkubwa mno ulioko mbele ya CHADEMA.

Kampeni inahitaji bilions of money kwa ajili ya logistics, misafara ya mgombea kuzunguka na waandishi wa habari, kununua airtime kwenye vyombo vya habari, kununua front pages za magazeti ili habari za mgombea ziandikwe na front pages ni gharama ya kufa mtu.

Kupata pesa za kampeni ni challenge kubwa mno inayoikabili CHADEMA.
Miujiza itatenda kazi yake nadhani fedha wanazo walikatazwa kuzunguka kutoa shukurani kwa wapiga kura
 
YEHODAYA,

Sawa, je una maoni mengine mazuri zaidi ya haya?
Tulichanga millioni 300 ndani ya siku tatu hata hili zoezi watuachie tu
Sindano imedungwa kwenye ubongo wa mtu
Wawe wapole tuuu
Enough is Enough
Tuheshimiane for once kwaaah
 
Sio leo tu tumeandika sana humu kuhusu hilo kuwa Chadema wawe makini sababu hatutaki mtu tu kuteuliwa kwa mihemka bila ku take into consideration reality ya mambo.

Kampeni ni kitu real na inahitaji pesa sio mihemko. Kura zimepigwa ki mihemko sasa real thing hiyo inakuja pesa za kampeni zitatoka wapi?
Nyerere alipodai uhuru alikuwa na sh. Ngapi?
Mandela alipotoka gerezani alikuwa na sh. Ngapi?
Kama kupigania haki ni lazima uwe na pesa Yesu asingefanikiwa kuleta ukombozi.
Inahitajika fedha nyingi kubaki madarakani ili ulipe vyombo vya usalama, tume za uchaguzi, kununua wapinzani, kununua magari ya washawasha, bunduki, mabomu nk.
Inahitaji attention tu kwa shida za wananchi, kuleta mabsdiliko. Lissu ns CDM hawana mpango wa kuhonga piki piki
 
Sio leo tu tumeandika sana humu kuhusu hilo kuwa Chadema wawe makini sababu hatutaki mtu tu kuteuliwa kwa mihemka bila ku take into consideration reality ya mambo.

Kampeni ni kitu real na inahitaji pesa sio mihemko. Kura zimepigwa ki mihemko sasa real thing hiyo inakuja pesa za kampeni zitatoka wapi?
Kwa hiyo ulitaka ateuliwe mwenye fedha? Hayo mambo ya CCM bwana!
 
Mtihani mkubwa mbele ya CHADEMA ni kupata pesa za kampeni za ugombea urais sababu chama hakina pesa na aliyependekezwa kugombea pesa hana.

Pesa nyingi mno huhitajika kwenye kampeni ya urais. Ni mtihani mkubwa mno ulioko mbele ya CHADEMA.

Kampeni inahitaji bilions of money kwa ajili ya logistics, misafara ya mgombea kuzunguka na waandishi wa habari, kununua airtime kwenye vyombo vya habari, kununua front pages za magazeti ili habari za mgombea ziandikwe na front pages ni gharama ya kufa mtu.

Kupata pesa za kampeni ni challenge kubwa mno inayoikabili CHADEMA.
Pesa siyo tatizo, Lisu atachangiwa. Hofu yetu ni kuwa ataharibu yote ya magufuri. Hivyo angesubiri 2025
 
Mtihani mkubwa mbele ya CHADEMA ni kupata pesa za kampeni za ugombea urais sababu chama hakina pesa na aliyependekezwa kugombea pesa hana.

Pesa nyingi mno huhitajika kwenye kampeni ya urais. Ni mtihani mkubwa mno ulioko mbele ya CHADEMA.

Kampeni inahitaji bilions of money kwa ajili ya logistics, misafara ya mgombea kuzunguka na waandishi wa habari, kununua airtime kwenye vyombo vya habari, kununua front pages za magazeti ili habari za mgombea ziandikwe na front pages ni gharama ya kufa mtu.

Kupata pesa za kampeni ni challenge kubwa mno inayoikabili CHADEMA.
We malaya wa kisiasa nyamaza kwanza bila chadema Mwigulu na .Nape wangekuona wapi uwe nashukrani kwanza usije ukaa hesabiwa laana
 
Mtihani mkubwa mbele ya CHADEMA ni kupata pesa za kampeni za ugombea urais sababu chama hakina pesa na aliyependekezwa kugombea pesa hana.

Pesa nyingi mno huhitajika kwenye kampeni ya urais. Ni mtihani mkubwa mno ulioko mbele ya CHADEMA.

Kampeni inahitaji bilions of money kwa ajili ya logistics, misafara ya mgombea kuzunguka na waandishi wa habari, kununua airtime kwenye vyombo vya habari, kununua front pages za magazeti ili habari za mgombea ziandikwe na front pages ni gharama ya kufa mtu.

Kupata pesa za kampeni ni challenge kubwa mno inayoikabili CHADEMA.
WAKATI NYERERE ANADAI UHURU, HAKUWA NA HELA, TICKET YA NDEGE KWENA UNO ALILIPIWA NA WATU TU.
 
Mtihani mkubwa mbele ya CHADEMA ni kupata pesa za kampeni za ugombea urais sababu chama hakina pesa na aliyependekezwa kugombea pesa hana.

Pesa nyingi mno huhitajika kwenye kampeni ya urais. Ni mtihani mkubwa mno ulioko mbele ya CHADEMA.

Kampeni inahitaji bilions of money kwa ajili ya logistics, misafara ya mgombea kuzunguka na waandishi wa habari, kununua airtime kwenye vyombo vya habari, kununua front pages za magazeti ili habari za mgombea ziandikwe na front pages ni gharama ya kufa mtu.

Kupata pesa za kampeni ni challenge kubwa mno inayoikabili CHADEMA.
Safi sana kwa kuliona hilo .lakini nikuulize hivi .Kwani mpaka mda huu CHADEMA wana kiasi Gani na wana pungukiwa na kiasi gani? vipi kipindi cha DR SLaa CHADEMA pia walipata wapi PESA za kapmeni?
 
Mtihani mkubwa mbele ya CHADEMA ni kupata pesa za kampeni za ugombea urais sababu chama hakina pesa na aliyependekezwa kugombea pesa hana.

Pesa nyingi mno huhitajika kwenye kampeni ya urais. Ni mtihani mkubwa mno ulioko mbele ya CHADEMA.

Kampeni inahitaji bilions of money kwa ajili ya logistics, misafara ya mgombea kuzunguka na waandishi wa habari, kununua airtime kwenye vyombo vya habari, kununua front pages za magazeti ili habari za mgombea ziandikwe na front pages ni gharama ya kufa mtu.

Kupata pesa za kampeni ni challenge kubwa mno inayoikabili CHADEMA.
Hawa wakora kiama chao kimefika
 
Wewe una cheo gani Chadema? Tutachanga kwani hata rais wa Gambia Adama Barrow alimshinda dikteta Yayah Jameh lkn hakuwa na chochote na Obama pia alishinda muhula miwili bila kuwa na pesa.

Tatizo nyie mumezoea hela ili kuhonga khanga na gongo. Bure kabisa.
 
Hamna lolote, utapeli mtupu.

Wewe sema unataka nondo zaidi hukutegemea kusikia haya, hapa si mahali pake kihivyo. Bali tatizo hili linatakiwa kuundiwa Kikosi Kazi maalum. Kulala kwao na kuamka kwao ni kufikiria njia za jinsi (preemptive measures)ya kufuta vimelea vya wanamtandao. Fikiria nchi eti inapata Rais kutokana na genge la wahuni.
 
Wewe sema unataka nondo zaidi hukutegemea kusikia haya, hapa si mahali pake kihivyo. Bali tatizo hili linatakiwa kuundiwa Kikosi Kazi maalum. Kulala kwao na kuamka kwao ni kufikiria njia za jinsi (preemptive measures)ya kufuta vimelea vya wanamtandao. Fikiria nchi eti inapata Rais kutokana na genge la wahuni.

Mahakama zipo, kwanini wasichukuliwe hatua kwa sheria halali? Mnataka kujifungia ndani ili mpambane na kundi lisilomnyenyekea mwenyekiti kwa kigezo cha wanamtandao? Rais huyu ndio anaongoza kwa kunajisi box la kura, usafi wake ni upi? Au nyie wapambe wake aliowapa maisha ndio mnajifanya mnawajua wanamtandao?
 
Back
Top Bottom