Mtihani: Sina kazi ila nimepata fursa ya kutengeneza filamu za ngono nje ya nchi


we nenda kichwa kichwa ukute ni gay porn [emoji23][emoji23][emoji23] wazungu sio wa kuwaamini
 
Afadhali wewe una uwezo wa kuhisi ninavyoishi.Maisha yanataka maamuzi magumu muda mwingine mkuu.
 
Walikupima size ya dushe?

utakuwa tayari kutumia zile dawa zao au sindano za kusimamisha dushe muda mrefu na kukupa stamina?

Achana na huo ushetani mkuu, bora twende zetu kijijini kwa Babu tukalime tutatoka tu.

Ubaya wa kucheza hizo film ni kwamba itafika mahali utakuwa umeshapata pesa unazozihitaji sasa ila utatamani video zote za sex ulizocheza zifutwe au sura yako isionekane ILA HAITOWEZEKANA TENA, kwasababu watu watakuwa wameshahifadhi akilini na hata kwenye devices zao kama computer na mitandaoni forever.

Mkumbuke Muumba wako siku za Ujana wako.
 
Hahaha natamani kujua interview yake ilikuwaje jamaaa.....aisee kachukue nafasi ya Mandingo jomba
 
Kaka usijaribu hata kidogo, acha kabisa, hizo Pesa hatakupa, huwezi kuwashitaki popote, coz hiyo kazi ni illegal katika nchi nyingi.
 
Ushauri mzuri, Sana, kijana chukua ushauri WA huyu
 
Nenda tu.. Mbona kuna demu ni Mtanzania anacheza hizo picha ila Watanzania wengi tu hawamjui..

Na ni maarufu tu ashashindaga awards kama mbili za best performer..

Ni nani uyo mkuu,nipe jina lake la ulingoni nikamtafute.
 
Mkuu try to be serious usije ukajuta
Una uhakika na wewe hawatakutumia
Usije ukakuta ni wewe ndo unaenda bong'olewa. Kukosa yote hayo na ugumu wa maisha na kila kitu Ni mtihani au kipimo toka kwa Muumba wako, hicho kipato ulichokuwa unapata kwenye zege weka weka akiba uvumbue biashara nyengine nadani kwa miezi michace tu ungeweza hata kufungua genge la kuuza matunda na mbogamboga kwa kuanzia tu, TATIZO UNA HARAKA NA MAISHA , Unataka uwe na gari na nyumba za kifahari kwa haraka haraka hata 30 bado tayari umekata tamaa, KUMBUKA MUNGU ANAKUONA, KAMA UNAHISI SHETANI NDO MSAADA KWAKO HAYA KILA LA KHERI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…