Chuda Kashara
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 849
- 555
- Thread starter
- #41
Mkuu hata kama umepanga jambo litokee, likitokea lazima ushtuke kidogo.Kuamini kunayumba kidogo.Kwani ulipokuwa unajaza fomu ya kuomba ajira hiyo hukuwa sirias? Tena kampuni 6? Halaf unakuja kuomba ushauri acha masihara hayo
Pia nimecalculate faida na hasara zake na nimeleta hapa nili kujua kama nitapata faida zaidi au hasara kabla ya kufanya final decision