BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] itakua breaking news ya afrika na dunia kwa ujumlaNilifikiri kuwa Trump alikuwa sahihi kusema Waafrica wanawaza ngono 24/7!
Hata rais wako Magufuli nauhakika akipitia huu uzi wako na kumkuta kijana kama wew unawaza hivyo kesho asubuhi na mapema atafanya maamuzi magumu ya kujiuzulu