Mtihani: Sina kazi ila nimepata fursa ya kutengeneza filamu za ngono nje ya nchi

Mtihani: Sina kazi ila nimepata fursa ya kutengeneza filamu za ngono nje ya nchi

Dau kali how much..funguka mkuu
Mkuu utaniwia radhi, sijaweza kuweka kila kitu hadharani ila basic info.Cha kujua ni kwamba ME dau linaongezeka kadiri uzoefu unavyoongezeka na KE dau linakuwa kubwa mwanzoni na kupungua taratibu.Ila ukiwa mtu wa kubadili makampuni dau litakuwa linapanda daily.
 
Kwani hilo dili la dollars ngapi per video hadi ukauze utu wako namna hiyo? Tuanzie hapo kwanza...
 
Wenzako huko mbelez wanawataarifu wazazi na jamaa zao wa karibu kuhusu nia yao ya kufanya biashara ya picha za uchi.

Nakushauri uwataarifu ndugu zako ili upate baraka zao.
 
Mkuu amna post za udirector au ucameraman huko kwasababu hamu ya kupiga chabo itaniisha coz huko nitakuwa naona live bila chenga. Teh teh teh
 
Wenzako huko mbelez wanawataarifu wazazi na jamaa zao wa karibu kuhusu nia yao ya kufanya biashara ya picha za uchi.

Nakushauri uwataarifu ndugu zako ili upate baraka zao.
Mkuu maisha yangu hayajawahi kuwa na mikono ya ndugu toka nizaliwe, iweje leo niwatonye mipango yangu?
 
Wenzako huko mbelez wanawataarifu wazazi na jamaa zao wa karibu kuhusu nia yao ya kufanya biashara ya picha za uchi.

Nakushauri uwataarifu ndugu zako ili upate baraka zao.
Baraka gani atapata mkuu kwa swala hili sana sana asubilie kupewa laana
 
Mkuu amna post za udirector au ucameraman huko kwasababu hamu ya kupiga chabo itaniisha coz huko nitakuwa naona live bila chenga. Teh teh teh
Dah! Kaka hayo sikuyafuatilia, ila naona hizo post ni za wenye makampuni ambao nao ni retired performers.
 
Asante mpendwa kwa ushauri, lakini kama mawazo yako yangekuwa kweli, nisingekuwa nahangaika hivi.
Usibague kaz kila mmoja akianza kukueleza maisha yake humu naamin unaweza sema wewe unaafadhari fikiria mama ako na baba ako wataishi vip kwa fedheha unayotaka kuwapa

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom