Mi nadhani ufikirie tena maana unapojiingiza kwenye hiyo kazi kuna mambo lazima utafanya au utafanyiwa kwamfano unaweza kupewa dawa , vileo, ama kitu chochote ilhali ufanikishe mambo yao.
Pia ujue kwenye porn industry hakuna ustaarabu , mabos wanakuwa ni wababe sana wanalotaka wao nfio ufanye na usitegemee kupata mafanikio kama hivyo unavyofikiria. Mi nadhani ili uwe na mafanikio lazima ujitutumue na kuweza kuvutia watazamaji kwenye kioo vyenginevyo utaishia kulipa kodi na kula tuu.
Kwenye porn wanaonufaika ni mabos wew utakuwa kama mbwa tuu na uhuru wako utakuwa umebanwa kishenzi muda mwingi utakuwa kazini kuliko unavyofikiria.
Nakushauri , ufikirie jambo la kufanya ambalo kitakupatia pato la halali .
Hiyo sio kazi ni kuuza utu wako na ubinaadamu wako kwani MMungu amekuumba wew ukiwa uko juu kuliko mnyama kwasababu ya akili uliyonayo... Sasa leo utakuwa chini kuliko mnyama hahahahaha..
Sent from mTalk