Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kuna mtu alitahadharisha kwamba sifuni mchome asipewe cheo alichonacho .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
its kiswahili language and not Swahili language
Kiswahili = noun
Swahili = adjective
Swahili language is correct because SWAHILI as an adjective modifies the noun LANGUAGE.
KISWAHILI stands alone as a noun.
Hamna suffix "Ki" katika Kiingereza. Hicho ni Kibantu. Ndio maana kamusi za Kiingereza hukuti
"Kiswahili" bali "Swahili" . Ila kuna watumiaji wanalazimisha tu. Lugha yetu kwa Kiingereza ni Swahili, anayobisha atafute kamusi ya Kiingereza.
"Ki" ni prefix na sio "suffix"
"Kiswahili" ndio jina la lugha yetu na sio "Swahili"
Kwa mtazamo wako kama mtu anaitwa Maganga kwa Kiingereza aitwe "Ganga ?"
Sio kweli kuhusu jina la Mtu. Mtu ataitwa jina lolote analolitaka kuitwa.
Hata iwe prefix, niletee kamusi ya Kiingereza inayosema lugha yetu ni "Kiswahili" badala ya Swahili.
Hao wazungu wanatakiwa wajue kuwa lugha yetu ni "Kiswahili " na sio "Swahili " hata kama walikosea kuchapisha kama walivyokosea kuandika majina ya maeneo mbalimbali ya nchi yetu, hatuwezi kukubali hali kama hii iendelee eti kwa sababu waliondika ni wazungu. Who are they? Mpaka wakufanye uwaze na kuamini Kuwa kila walichokifanya / wanachokifanya ni dogma?
Huhitaji kwenda BAKITA kujua kuwa lugha yetu haibadiliki kutoka KISWAHILI na kuwa Swahili hata ikiwa unaongea KIYUNANI!
Mkuu nikupe taarifa kidogo tu yawezekana hili hukulijua!
Mwalimu mwenye diploma ya ualimu anatakiwa kufundisha wanafunzi wa kidato cha kwanza na pili tu, na wale wa shahada ya kwanza katika ualimu wanapaswa kwa sheria ya sasa wafundishe kidato cha tatu mpaka sita!
Kutokana na scarce ya walimu, walim wa diploma wanafundisha mpaka kidato cha nne!
Sera inapobadilika automatically baadhi ya sheria huathirika moja kwa moja. Naamini sheria zitaonesha ni nani afundishe katika ngazi ipi ya elimu!