Mtihani wa usaili wa Tax Officer (TRA) wavuja

Mtihani wa usaili wa Tax Officer (TRA) wavuja

na tunapambana kuuweka mfumo madarakani manake ukikolapse tumeisha so mbowe anajisumbua tu nani anakubali ku messup aludi mtaani while ana service mkopo benk wa nyumba na gari nzuri typical middle class life
Hahahahahaha siku iki collapse CCM yatatokea ya spana za hayati Jiwe 🤣🤣🤣 kwa kila raia wa CCM
 
Aende utumishi kabla ya kuenda asome sana mambo ya field yake hakuna njia ya kufaulu zile pepa kama hajasoma + aombe kwa imani yake atimize wajibu wake atafaulu tu
nakiri pepa zinavuja lakini hiyo sio sababu ya mtu kufeli interview kwasababu UTUMISHI hawana ukomo wa kuchukua idadi ya watu ikitokea watu 100 mmepata above 49% wote mtaingia oral haachwi mtu. but umewahi kujiuliza why wengi wanafeli written interview?

Au nielekeze pepa ikivuja inasababisha vipi wewe kufeli?
Yani unataka akapambane na watu wenye nondo? Kama wameweza kupata hizo paper before amini kwamba wanaconnection kubwa pale utumishi. Mtaitwa mpaka oral but hutapata kazi hata ungepata above 90.
Ndo maana post zinakuwa re-advertised maana wale waliolusudiwa kupewa michongo wanafeli.

Pia siyo kila mtu anaishi Dodoma, watu wanatokea mikoani, hivyo wanatumia pesa kwaajili ya nauli, malazi na vyakula kwenda kupambana na watoto wa vigogo, acha mchezo man.

Mimi siwez huo upuuzi maana sina hela za kupoteza.
 
Kutoka kwa mdau,

Mimi ni kijana kutoka Kigoma, jana nimefanya written interview ya Tax Officer TRA inayosimamiwa na utumishi.

Baada ya kufanya paper tukaanza kusikia kuwa paper ilivuja, leo kuna mdau kanitumia hiyo paper.

Hii ni evidence tosha kuwa paper ilivuja maana mnapofanya huo mtihani taratibu zinataka ukusanye majibu yako pamoja na question paper, maana details zako unajaza kwenye question paper. Sasa hii paper imetoka wapi kama paper haikuvuja


Hii sio fair kabisa maana watu tumepoteza muda na hela. Personally nmetumia zaidi ya 200,000 kutoka kigoma na kulala lodge.

Baada ya kufuatilia, nasikia watu walitumiwa mtihani kwenye group la whatsApp na wengine walikuwa wana-solve paper kwenye coaster wakitokea Dar

View attachment 1885554

Hii nchi haipo fair kabisa ni bora tu wawe wanawachagua watu wao wawaingize kwenye mfumo kuliko kutusumbua na kutupa gharama katika hiki kipindi ambacho tunapambana na tozo na matatizo kibao, huku hatuna ajira, wanataka vijana tuanze kujinyonga na kunywa sumu kwa frustrations?
Mbona tangazo Mimi nimetumiwa niende tarehe hii
 

Attachments

Ukiamka unawaza TRA, ukila unawaza TRA, Ukinya unawaza TRA, ukilala unawaza TRA nafasi zenyewe 34 application more than 14000 no way out Tz hautoboi hata uwe genius vp umemorize act zote na vitabu vyote vya tax kama huna mtu sahau, hata mm binafsi Nina hasira nime umiza kichwa changu Kuna watu wanakula kiulaini [emoji34][emoji35][emoji2959] na kusubiriwa wanasubiriwa mpaka wafike ndo pepa lianze
Lakini Bora kucheka tu, ukimaind sana uta burst bure [emoji38][emoji23][emoji1787]
 
Ninacho juwa mm pia nilishiriki ktk interview hyo ila post nyingine ya customs ila nilichokiona Ni kuwa unaweza kugaiwa karatas mbili ya maswali na huku unatakiwa uwe nayo Moja tu sas ukitumia ujanja unaweza kutoka na mtiani nje na unakujalisema Kama ilifuja wakt Ni wew au mtu kafanikiwa kutoa paper ya maswali nnje so inaweza kuwa au ..wale wasimamizi wakaamua pia kufujisha kwamaksudically lbda kukomoana ktk idara ..so cjui ila naona Kuna uwezekano mkubwa kuwa paper ilitolewa nnje na watu ambao wameshindwa kujibu chochote katka chumba Cha mitiani
 
Yani unataka akapambane na watu wenye nondo? Kama wameweza kupata hizo paper before amini kwamba wanaconnection kubwa pale utumishi. Mtaitwa mpaka oral but hutapata kazi hata ungepata above 90.
Ndo maana post zinakuwa re-advertised maana wale waliolusudiwa kupewa michongo wanafeli.

Pia siyo kila mtu anaishi Dodoma, watu wanatokea mikoani, hivyo wanatumia pesa kwaajili ya nauli, malazi na vyakula kwenda kupambana na watoto wa vigogo, acha mchezo man.

Mimi siwez huo upuuzi maana sina hela za kupoteza.
Usiende kaka.
kila mtu alizaliwa siku yake ataishi kwenye njia zake

lakini swali langu la kuvuja kwa mtihani kunaplkea vp ww kufeli. kwenye interview yangu alietuongoza kwenye written alifeli vbaya kwenye oral tena vibaya haswa.
kwanza kwenye oral lazima taasisi husika inayotaka mtumishi iwepo kwenye panel, ww bebwa kwenye written ila kama hunauwezo utanasa tu
 
Ninacho juwa mm pia nilishiriki ktk interview hyo ila post nyingine ya customs ila nilichokiona Ni kuwa unaweza kugaiwa karatas mbili ya maswali na huku unatakiwa uwe nayo Moja tu sas ukitumia ujanja unaweza kutoka na mtiani nje na unakujalisema Kama ilifuja wakt Ni wew au mtu kafanikiwa kutoa paper ya maswali nnje so inaweza kuwa au ..wale wasimamizi wakaamua pia kufujisha kwamaksudically lbda kukomoana ktk idara ..so cjui ila naona Kuna uwezekano mkubwa kuwa paper ilitolewa nnje na watu ambao wameshindwa kujibu chochote katka chumba Cha mitiani
Sasa imekuaje usaili (oral) umetangazwa kuahirishwa na wahusika?
 
s
Ninacho juwa mm pia nilishiriki ktk interview hyo ila post nyingine ya customs ila nilichokiona Ni kuwa unaweza kugaiwa karatas mbili ya maswali na huku unatakiwa uwe nayo Moja tu sas ukitumia ujanja unaweza kutoka na mtiani nje na unakujalisema Kama ilifuja wakt Ni wew au mtu kafanikiwa kutoa paper ya maswali nnje so inaweza kuwa au ..wale wasimamizi wakaamua pia kufujisha kwamaksudically lbda kukomoana ktk idara ..so cjui ila naona Kuna uwezekano mkubwa kuwa paper ilitolewa nnje na watu ambao wameshindwa kujibu chochote katka chumba Cha mitiani
sawa mfanyakazi wa utumishi, tumekuelewa ila bado unahitajika kunyoosha maelezo na kuisaidia mahakama kwa upelelezi zaidi.
 
Kuvuja mtihani pia sio kutaondoa kuaminiwa kwa watoza kodi watakaajiriwa kuwa hawatakuwa na upendeleo kwa watu flani na jamii zao kutokuwa walipa Kodi na wengine kuwa walipa kodi, je tunatengeneza matabaka hayo hapa nchi mwetu uvujaji huu unaviashiria vingi, Kawekwa atumikie flan i na flani akandamize flani na flani
 
ahahahahaha siku iki collapse CCM yatatokea ya spana za hayati Jiwe 🤣🤣🤣 kwa kila raia wa CCM
lazima watu wauwane kama mapinduzi ya zanzibar kuutoa mfumo sio kitu kidogo
 
Hiyo mtu katoka nayo kwa pepa kiwizi wizi sanA,na hizo ni pavings za udom pale😕,toa hiyo post utasababisha wapandishe cutt off point bure,na unakuta umefanya vizuri,mimi nilikuwa kwenye hiyo costa hakuna kitu kama hiko ilitokea ,umesikia kijana wa kigoma😃
Ukichunguza zile pepa zilikuwa chafu mno either mashine ya copy ilvuja wino, ama ilipotoka kwa print mtu kaiba kaenda toa copy mahali karudi na chafu badala ya orijino printout hvyo kupelekea kopy chafu exam room, na mtoa copy nae kqjitolea kawapa wake mchezo kwisha
 
Hizo ajira kuna watu wanakuwa wameshawekewa reservations, nyie wengine mnaenda kukamilisha protocol tu
 
Hivi kweli watanzania huwa tunatafakari kweli? Wewe unaona kabisa mtu anayeupata mtihani kabla ya kufanya yuko level moja na anayeingia kwenye chumba cha mtihani bila kuuona? Unaona kabisa ushauri uliotoa ni sahihi? Badala ya kudadisi kama shutuma zina ukweli na kama zina ukweli hatua gani zichukuliwe wewe unasema hakuna shida?
Amewaza km bibi yangu kule shambani yaaani uelewa kiduchu
 
Utumishi nako hakufai basi mambo ni hatari kwa maana watu waliwaamini sana.
 
Ukiamka unawaza TRA, ukila unawaza TRA, Ukinya unawaza TRA, ukilala unawaza TRA nafasi zenyewe 34 application more than 14000 no way out Tz hautoboi hata uwe genius vp umemorize act zote na vitabu vyote vya tax kama huna mtu sahau, hata mm binafsi Nina hasira nime umiza kichwa changu Kuna watu wanakula kiulaini [emoji34][emoji35][emoji2959] na kusubiriwa wanasubiriwa mpaka wafike ndo pepa lianze
Lakini Bora kucheka tu, ukimaind sana uta burst bure [emoji38][emoji23][emoji1787]
Dogo alisema paper ilimsubiri Lily toka sabasaba tena akaambiwa apande bodaboda kabisa.Paper anasema ilianza saa 4:05 yeye alikuwa CHSS lecture theatre 1. Nilifikuri muongo loooh utumishi balaa. Sijui mtajengaje imani kwa madogo jamani.
 
Back
Top Bottom