Mtihani wa usaili wa Tax Officer (TRA) wavuja

Mtihani wa usaili wa Tax Officer (TRA) wavuja

Nami pia ni muhanga wa iyo tume ya ajira,mwezi wa tano nilikuwa hapo dodoma mwajiri alikuwa ni Tanesco,nilichokutana nacho sintakuja tena kuaribu hela yangu kwenda saili zao,yaani nimefika ndani kuna kuna watu walikuwa wameingia na majibu kabisa kwani majibu unajibia kwenye karatasi za rimu ambazo hazina chata yoyote,mie nabaki kufikiria jinsi ya kujibu kuna mtu anatoa karatasi lake anabandika juu ya meza kisha anatulia anaanza kuwachora tu nyie mnaosumbua ubongo,nikavulimia kutoka nje nakutana na jamaa nilisoma nae chuo anacheka anaanza kuniambia paper nawe ulipata nabaki kushangaa tu.
kiukweli kabisa utumishi wanazingua sana tena sana,Mungu atusaidie tu kutuweka hai na kututendea haki yeye sie tutokao familia za kimasikini
Hahahahah mie niliwatakia kila la heri katika safari yao! 😅😅😅 siwezi kujipandisha basi na nikaingia hasara za kipuuzi kwenda kuwania nafasi za watu wa 5 katika watu 9,000!

Si apply kazi wala kufanya interview ambayo sina connection! I must be certain kuwa hio nafasi ni yangu na ntaipewa sababu nina mtu yuko front 😅 hapo ndio nta apply tena kwa maelekezo yake.
Ni kweli kabisa kaka,hata mimi pia sasaivi hata itokee nafasi sehemu kama sina mtu bora nitulie zangu tu kwa mhindi
 
Nami pia ni muhanga wa iyo tume ya ajira,mwezi wa tano nilikuwa hapo dodoma mwajiri alikuwa ni Tanesco,nilichokutana nacho sintakuja tena kuaribu hela yangu kwenda saili zao,yaani nimefika ndani kuna kuna watu walikuwa wameingia na majibu kabisa kwani majibu unajibia kwenye karatasi za rimu ambazo hazina chata yoyote,mie nabaki kufikiria jinsi ya kujibu kuna mtu anatoa karatasi lake anabandika juu ya meza kisha anatulia anaanza kuwachora tu nyie mnaosumbua ubongo,nikavulimia kutoka nje nakutana na jamaa nilisoma nae chuo anacheka anaanza kuniambia paper nawe ulipata nabaki kushangaa tu.
kiukweli kabisa utumishi wanazingua sana tena sana,Mungu atusaidie tu kutuweka hai na kututendea haki yeye sie tutokao familia za kimasikini

Ni kweli kabisa kaka,hata mimi pia sasaivi hata itokee nafasi sehemu kama sina mtu bora nitulie zangu tu kwa mhindi
ikitokea nafasi ww nenda, hiyo uliyoikosa haikua yakwako
 
mimi interview yangu ya 1 nilifika hapo sina connection yyte, nikiwa maeneo nimekula kasuti kangu uchwara likaja kundi la watu. lile kundi likawa linasema like "swali fulani na fulani tayari bado fulani, hints za maswali matatu yote yaliganda kichwani nikawageukia nikawakazia macho wakaogopa wakasepa. mzee nilienda kukesha na hints 3 kesho kwenye pepa maswali yote niliyakuta nikatia above 80 huko. maajabu kwenye oral zile sura sikuziona hata moja, nikamkumbuka mwana fa aliwahi kusema "unaweza kulala na bi harusi na usiwe bwana harusi"
Hao nao walikuwa vichwa panzi
 
Hakuna kitu kama icho,bila kuwa na mtu pale utumishi mtu unajisumbua tu bure
😄😄😄😄😄 Sijui UTUMISHI watafanyaje kurudisha imani kwa raia,maana hii Ni aibu Sana kwao siku zote yalikua yanasikika tu Sasa Leo yameonekana hadharani.
 
😅😅😅😅😅😅😅 jamaa anajifanya kamanda kuliko hata Waziri! We imagine waziri mwenyewe kasanda unafikiri kuna force kubwa kiasi gani behind that maana ujumbe umeshaenea hapo!

Ni utekelezaji ila Waziri na genge lake wameichunia wanampiga kalenda tu za kwenda na kurudi!

Kitakachofuata atalimwa barua tu moja akiendelea kung’aa ng’aa sharubu ofisini kwa watu atasema na keko 😅! Umafia tu ndio last option dogo atapotea bora achune tu.
😄😄😄 Mjomba anadhani yeye ndie amesota mtaani kuliko watu wote Tz mpk hasikii tishio la mtu yoyote.

Sikumsikia akiendelea kupambania kombe sijui aliishia wapi na hio mambo huyu jamaa.
 
😄😄😄 Mjomba anadhani yeye ndie amesota mtaani kuliko watu wote Tz mpk hasikii tishio la mtu yoyote.

Sikumsikia akiendelea kupambania kombe sijui aliishia wapi na hio mambo huyu jamaa.
Anajiona yeye ndio ka suffer sana na mtaa
 
Nami pia ni muhanga wa iyo tume ya ajira,mwezi wa tano nilikuwa hapo dodoma mwajiri alikuwa ni Tanesco,nilichokutana nacho sintakuja tena kuaribu hela yangu kwenda saili zao,yaani nimefika ndani kuna kuna watu walikuwa wameingia na majibu kabisa kwani majibu unajibia kwenye karatasi za rimu ambazo hazina chata yoyote,mie nabaki kufikiria jinsi ya kujibu kuna mtu anatoa karatasi lake anabandika juu ya meza kisha anatulia anaanza kuwachora tu nyie mnaosumbua ubongo,nikavulimia kutoka nje nakutana na jamaa nilisoma nae chuo anacheka anaanza kuniambia paper nawe ulipata nabaki kushangaa tu.
kiukweli kabisa utumishi wanazingua sana tena sana,Mungu atusaidie tu kutuweka hai na kututendea haki yeye sie tutokao familia za kimasikini

Ni kweli kabisa kaka,hata mimi pia sasaivi hata itokee nafasi sehemu kama sina mtu bora nitulie zangu tu kwa mhindi
ikitokea nafasi ww nenda, hiyo uliyoikosa haikua yakwako
Hakuna kitu kama icho,bila kuwa na mtu pale utumishi mtu unajisumbua tu bure
Nilikua na notion kama yako kabla, na nilitengeneza akaunti kabla sijamaliza chuo nikawa naamini kwenye kushikwa mikono sambaza sana cv kwa wanasiasa, lia lia sana kwa watu wenye mamlaka. nikajiajiri nikala chuma cha pua nikaona sio kesi nikarudisha majeshi nyumbani baada ya mda ikatangazwa nafasi moja demu wangu akanambia omba nikagoma alichofanya akaniomba details za account yangu akaandika barua kwa niaba akaiomba ile kazi. nikaitwa interview watu 600+ nafasi moja. hakuna mtu hata mmoja aliyenishauri niende ila akatokea mwanangu mmoja akanambia " nakujua vzri thats ur post, go and get it" mpaka natoka homr dada angu alikua ananiambia dogo kwann unapoteza pesa hivyo nilimjibu tu " huu ni wakati wangu"
nikaomba notes kwa madogo niliowaacha chuo nikaanza upyaa kuisoma RESEARCH nikaielewa kuliko hata kipindi nipokuwa chuo , nikaenda dom nilifika saa10 jioni kesho asubuhi mtihani nikakuta maswali mawili ya research (nisingesoma nisingetoboa yale maswali) na mawili mengine yalikua language use tu.
nikapiga pepa nikasema namimi nitakuwepo hatua inayofuata sikurudi nyumbani matokeo yakatoka nilikuwa miongoni mwa ma top 3, ikabaki oral interview ambayo ilikuwa na watu 33 hivi. kwenye oral sijui confidence nilitoa wapi na kingereza kitam vile nilikitoa wapi niliongea sana mpaka nikasikia msimamizi mmoja akisema " i like this guy" na wasimamizi wa oral baadhi wanatoka nje ya tume ya ajira nina uhakika ukitoboa hakuna kukandamizwa.

Tatizo watu wengi wakiitwa interview pale UTUMISHI hawajiandai aisee lile pepa nililofanyaga hata NECTA ni rahisi usipojiandaa unaliwa kichwa asubuhi tu + dakika chache za kufanya maswali matatu kama sio manne sasa mtu amabaye hajajiandaa akitoka nje anajijua ameshafeli halafu asikie pepa ilivuja lazima alalamike.
Anyway katika watu 33 mpaka sasa 21 wameshapangiwa vituo vya kazi, je hao wote wana connection? na wapo niliosoma nao hawana connection yyte kama mm na wamepangiwa pia.
 
Aende wapi?
Acha kudanganya watu. Utumishi ilikuwa zamani, saiv hiyo hela mkuu bora utest kubet kuliko kwenda kuitupa hovyo.

Mfano mimi saiv naham na nyama ya kuku, bora nikanunue kuku nichemshe kuliko kwenda utumishi
Aende utumishi kabla ya kuenda asome sana mambo ya field yake hakuna njia ya kufaulu zile pepa kama hajasoma + aombe kwa imani yake atimize wajibu wake atafaulu tu
nakiri pepa zinavuja lakini hiyo sio sababu ya mtu kufeli interview kwasababu UTUMISHI hawana ukomo wa kuchukua idadi ya watu ikitokea watu 100 mmepata above 49% wote mtaingia oral haachwi mtu. but umewahi kujiuliza why wengi wanafeli written interview?

Au nielekeze pepa ikivuja inasababisha vipi wewe kufeli?
 
Nami pia ni muhanga wa iyo tume ya ajira,mwezi wa tano nilikuwa hapo dodoma mwajiri alikuwa ni Tanesco,nilichokutana nacho sintakuja tena kuaribu hela yangu kwenda saili zao,yaani nimefika ndani kuna kuna watu walikuwa wameingia na majibu kabisa kwani majibu unajibia kwenye karatasi za rimu ambazo hazina chata yoyote,mie nabaki kufikiria jinsi ya kujibu kuna mtu anatoa karatasi lake anabandika juu ya meza kisha anatulia anaanza kuwachora tu nyie mnaosumbua ubongo,nikavulimia kutoka nje nakutana na jamaa nilisoma nae chuo anacheka anaanza kuniambia paper nawe ulipata nabaki kushangaa tu.
kiukweli kabisa utumishi wanazingua sana tena sana,Mungu atusaidie tu kutuweka hai na kututendea haki yeye sie tutokao familia za kimasikini

Ni kweli kabisa kaka,hata mimi pia sasaivi hata itokee nafasi sehemu kama sina mtu bora nitulie zangu tu kwa mhindi
Eeh hio 200k ungebetia ungekula hata faida kidogo
 
mimi interview yangu ya 1 nilifika hapo sina connection yyte, nikiwa maeneo nimekula kasuti kangu uchwara likaja kundi la watu. lile kundi likawa linasema like "swali fulani na fulani tayari bado fulani, hints za maswali matatu yote yaliganda kichwani nikawageukia nikawakazia macho wakaogopa wakasepa. mzee nilienda kukesha na hints 3 kesho kwenye pepa maswali yote niliyakuta nikatia above 80 huko. maajabu kwenye oral zile sura sikuziona hata moja, nikamkumbuka mwana fa aliwahi kusema "unaweza kulala na bi harusi na usiwe bwana harusi"
Hahahahahah ulienda kuchimba mzee baba😅😅😅
 
Back
Top Bottom