Mtihani wa usaili wa Tax Officer (TRA) wavuja

Mtihani wa usaili wa Tax Officer (TRA) wavuja

Hahahahah hio hela bora umpe shemeji akanunue misosi ajaze frijini na stoo tu au ununulie umeme tu ukae kwenye luku kuliko kuitupa laki 3 ndani ya siku chache!

Acha tu kaka tunaona jinsi mifumo ambavyo iko rafiki na watu wa kwenye system tu! Yani ukiwa nje ya circle ya CCM Moguls au High profile Civil Servants ujue umekwisha! Utateseka mpaka ufe ukisaka ajira eti [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hahahah hio hela bora ningeweka hata heshima ndani kwangu mamamae.

Nchi hii wana CCM wanakula maisha kinyama yaani ile kinyamaaa,nimeshangazwa na MATAGA mmoja huku Jf aitwae @YEHODOVA leo akilalamika eti huduma ya Songesha sijui hakopesheki/anabaniwa mkopo nikacheka saaana nikajua huyu ni mpiga debe tu ila angekua kwny circle ya wenyewe asingekua anauliza mambo ya songesha.
 
Sio education system tu, bongo kaka kuna mambo ya hovyo sana ktk mambo mengi sana.

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Haya mambo ya hovyo ndio wabongo wanayataka yani hali ya ubabaishaji mwingi ambao utambatana na mianya ya hujuma na rushwa!

Ukiweka mifumo ya kuzuia hujuma watu wa vitengoni huko watakuchukia na kukuombea hata ufe tu! Ndio namna mambo yalivyo kuwa na uadilifu ni kutengeneza uadui na watanzania!
 
Waache wafanye pepa wa kuajiriwa tiyari wapo, wao wanasindikiza due diligence.
Hizo nafasi walishateuliwa.

Bongo wacha kabisaaaaaa.[emoji23][emoji23]

Everyday is Saturday............................... 😎

Hahahah yaani unazidi kunipandisha mori nasubiri tu msg za whatsup za ndg na jamaa wakiomba nauli za kwenda Dom nitakua nawatumia tu screenshot kama hizi za JF waache kunisumbua.
 
Hahahah hio hela bora ningeweka hata heshima ndani kwangu mamamae.

Nchi hii wana CCM wanakula maisha kinyama yaani ile kinyamaaa,nimeshangazwa na MATAGA mmoja huku Jf aitwae @YEHODOVA leo akilalamika eti huduma ya Songesha sijui hakopesheki/anabaniwa mkopo nikacheka saaana nikajua huyu ni mpiga debe tu ila angekua kwny circle ya wenyewe asingekua anauliza mambo ya songesha.
Yani kama wapo peponi na ni untouchable hao! They do whatever they like huguswi yani as long as una kadi ya chama na ni mwanachama hai!
 
Ila mfumo huu wa dunia nu wakiseng Sana. Chuoni umesoma Pepa umefaulu na bado kazini unaitwa kwa Pepa Kama vp chuoni waache mitihani.
So hawaaminiani.
Bora wangekuwa wanatumia kigezo kingine Mana wapo wengi afu nafasi chache.
I really really really hate this shit slave life.

You've to design your own life.
 
Haya mambo ya hovyo ndio wabongo wanayataka yani hali ya ubabaishaji mwingi ambao utambatana na mianya ya hujuma na rushwa!

Ukiweka mifumo ya kuzuia hujuma watu wa vitengoni huko watakuchukia na kukuombea hata ufe tu! Ndio namna mambo yalivyo kuwa na uadilifu ni kutengeneza uadui na watanzania!

Hahahah na hao hao wana kitengo ndio watakushughulikia fasta maana wao wenyewe nafasi hizo walizipata kimagumashi tu.
 
Ila mfumo huu wa dunia nu wakiseng Sana. Chuoni umesoma Pepa umefaulu na bado kazini unaitwa kwa Pepa Kama vp chuoni waache mitihani.
So hawaaminiani.
Bora wangekuwa wanatumia kigezo kingine Mana wapo wengi afu nafasi chache.
I really really really hate this shit slave life.

You've to design your own life.
Muhimu sana ku design ownlife bruh! Dunia haipo fair kabisa yani maybe after life!
Huwa najiuliza does it make sense kuwaita watu maelfu kuwafanyisha mtihani ilihali unataka watu wa 5 tu?

Kwanini wasitengeneze online space wakafanyisha hio mitihani online? Mbona sessions zipo za online ambazo ni timed nafikiri hata unaweza tengeneza link kwa kutumia google forms watu wakajibu mitihani na maisha yakaendelea!
 
Ila mfumo huu wa dunia nu wakiseng Sana. Chuoni umesoma Pepa umefaulu na bado kazini unaitwa kwa Pepa Kama vp chuoni waache mitihani.
So hawaaminiani.
Bora wangekuwa wanatumia kigezo kingine Mana wapo wengi afu nafasi chache.
I really really really hate this shit slave life.

You've to design your own life.

Yaani watu wamefaulu chuoni wengine wakaenda wamefaulu na huko kwny Professional Bodies zao i.e wenye CPA etc na bado wanaonekana ni wasengerema tu.
 
Muhimu sana ku design ownlife bruh! Dunia haipo fair kabisa yani maybe after life!
Huwa najiuliza does it make sense kuwaita watu maelfu kuwafanyisha mtihani ilihali unataka watu wa 5 tu?

Kwanini wasitengeneze online space wakafanyisha hio mitihani online? Mbona sessions zipo za online ambazo ni timed nafikiri hata unaweza tengeneza link kwa kutumia google forms watu wakajibu mitihani na maisha yakaendelea!
Wanakomaa na analogy.
Binafsi hili life la kuwa chini ya mtu sipendi Kama mie Bali niongoze Ila sio kuongozwa
 
Hahahah na hao hao wana kitengo ndio watakushughulikia fasta maana wao wenyewe nafasi hizo walizipata kimagumashi tu.
Heheheh inacho matter ni maslahi gani unayo kwao! Ukiwa mwiba hata kama upo kazini utajikuta umetupwa branch Ghamboshi huko ukapambane na nyani huku wao wakilia AC mjini Dar 😂!

Spana zinaanzia nje mpaka ndani ya system
 
Wanakomaa na analogy.
Binafsi hili life la kuwa chini ya mtu sipendi Kama mie Bali niongoze Ila sio kuongozwa
Na dhamira ya kufanya analog ni kuwa kuna fungu linapigwa na wote watakaochaguliwa kusimamia zoezi hilo!😅 Allowance ya nauli,kula na malazi 😅😅😅 hivyo wamewagueza wasaka ajira kama mradi wao!
 
Watakuwa wamesha temper na huo mfumo kwa sasa hali ya kuwa bwana mkali alishafariki 😅
kuna mda mnampa kichwa huyo bwana mwendazake, pepa zinavuja toka magu yupo hai na hazitoacha kuvuja sema tu this time zimevujishwa kwa mpumbavu ambaye hakusota mtaani. baada ya pepa akaamua kulisambaza
 
Heheheh inacho matter ni maslahi gani unayo kwao! Ukiwa mwiba hata kama upo kazini utajikuta umetupwa branch Ghamboshi huko ukapambane na nyani huku wao wakilia AC mjini Dar [emoji23]!

Spana zinaanzia nje mpaka ndani ya system

Hahahah jomba unapiga kwenyewe,kuna yule mshkaji aliyepewa barua ya kwenda kuripoti kazini kutokea huko utumishi na akafika kwny kituo chake cha kazi akakuta nafasi imejazwa na jamaa aliyefeli mitihani huko Dom.

Jamaa alifight mpk kwa waziri wa utumishi ambae literally yeye ndie boss wa usalama nchini(wana report kwake) lkn waziri mwenyewe hio inshu ameikimbia hajamsaidia wala nini,hapo ndipo utajua kuna watu wana mizizi mirefu kweli kweli nchini.
 
Hahahah hio hela bora ningeweka hata heshima ndani kwangu mamamae.

Nchi hii wana CCM wanakula maisha kinyama yaani ile kinyamaaa,nimeshangazwa na MATAGA mmoja huku Jf aitwae @YEHODOVA leo akilalamika eti huduma ya Songesha sijui hakopesheki/anabaniwa mkopo nikacheka saaana nikajua huyu ni mpiga debe tu ila angekua kwny circle ya wenyewe asingekua anauliza mambo ya songesha.
Janja laki 3 tu unapiga kelele
 
Kuna utofauti kati ya kufanya mambo kwa adabu na kufanya mambo hovyo bila kujali
Hapo tume ya ajira kumejaa TISS mpaka madereva wao ni TISS ndomana nasema wao ndio wavujisha mitihani.
Lakini pia soko la ajira ni gumu sana mtahiniwa lazima atafute mbinu za ziada kujihakikishia ushindi imagine unaitwa interview watu 400 nafasi moja halafu unakaa kizembe? na una watu unawajua wapo hapo !!!!
 
Back
Top Bottom