Mtihani wa usaili wa Tax Officer (TRA) wavuja

Mtihani wa usaili wa Tax Officer (TRA) wavuja

Ukiangalia kwa kawaida TRA wana vijana wa internship yapata miaka miwili wanafanya nao kazi kuliko kufanya mitihani waajiriqe hawa vijana maana hii ni kupoteza muda wa mtu ambao hauna mantiki
pia kuna vijana wamesomeshwa vyuo na wazazi wao walikosa interniship na wao wanataka nafasi hizohizo
 
kama kichwani upo vizuri mtihani uvuje usivuje utafaulu tu manake majibu ni yale yale acha kulalamika kama ukiwa kilaza hata ukipewa pepa kama majibu huyajui huwezi faulu
Hivi kweli watanzania huwa tunatafakari kweli? Wewe unaona kabisa mtu anayeupata mtihani kabla ya kufanya yuko level moja na anayeingia kwenye chumba cha mtihani bila kuuona? Unaona kabisa ushauri uliotoa ni sahihi? Badala ya kudadisi kama shutuma zina ukweli na kama zina ukweli hatua gani zichukuliwe wewe unasema hakuna shida?
 
Hiyo mtu katoka nayo kwa pepa kiwizi wizi sanA,na hizo ni pavings za udom pale😕,toa hiyo post utasababisha wapandishe cutt off point bure,na unakuta umefanya vizuri,mimi nilikuwa kwenye hiyo costa hakuna kitu kama hiko ilitokea ,umesikia kijana wa kigoma😃
Ahaaa kumbe ndo nyinyi mlikuwa kwenye costa, goma linarudiwa vilaza anzeni kujitafuta....
 
Hiyo mtu katoka nayo kwa pepa kiwizi wizi sanA,na hizo ni pavings za udom pale[emoji53],toa hiyo post utasababisha wapandishe cutt off point bure,na unakuta umefanya vizuri,mimi nilikuwa kwenye hiyo costa hakuna kitu kama hiko ilitokea ,umesikia kijana wa kigoma[emoji2]

Tulia mnyolewe,jiandanaeni kwa mtihani mpya.
 
Ma genius wa JF wanakwambia Kama Ni bahati yako utapata tu 😄😄😄
Mkuu kweli hii nchi ina matatizo makubwa mno. Nimesoma comments za watu huku nibaki nimechoka kama nimelima shamba la ekari tano bila kupumzika! Kuna mwingine kasema kama kichwani uko vizuri haina shida hata kama mwenzako atapata mtihani kabla! Tulikosema wapi tuna viumbe wenye ufinyu wa fikra namna hii? Ni elimu au ukosefu wa chakula unasababisha nchi kuwa na ma-genius namna hii?
 
Hapo ndipo utajua wengine chuo walienda kukamilisha taratibu tu mzee hahah
Hii nchi kama baba yako alikuwa mzembe miaka hio ya 70 hakusoma akashika nafasi nzuri serikalini au akafanya mabiashara na kujiwekeza sana ujue inakula kwako mazima as a child!

The Struggle is fuckkin real,kitaa kinasulubu kiroho mbaya!
 
Issue ya utumishi ingetoka tu. Mtu uapply moja kwa moja kwenye shirika ata hongo bora utoe huko huko.

Kujuana na kushikana mkono hakukosekani hata kwenye kampuni nyingine unakuta wanaanza kuulizia kwa wafanyakazi kama kuna mtu wanaona ana uwezo na kazi tajwa then vigezo visipofit wanatoka nje ndio kupost matangazo.

Poleni sana mlioenda interview.
Watu wangekuwa kazi wanazinunua kwa madau makubwa 😅! Unataka kazi yenye Net pay nzuri HR unapigwa 5M tu unakaa kwa kutulia wakikupa watu 10 tu umemaliza nyumba yako kule Kigamboni!
 
Hii nchi kama baba yako alikuwa mzembe miaka hio ya 70 hakusoma akashika nafasi nzuri serikalini au akafanya mabiashara na kujiwekeza sana ujue inakula kwako mazima as a child!

The Struggle is fuckkin real,kitaa kinasulubu kiroho mbaya!

Hahahah mtu ashikula msoto wa maana mtaani ndio ataelewa hicho ulichokisema.

Dogo nilimpa 230,000 kwenda huko Dom(nauli+kulala) mwingine ni ndg yetu aliniomba support nae aende huko kwny hio interview nikampa 100,000 jumla 330,000 hio.Hio interview hata ikirudiwa sitoi hata senti 1.Watakula walikopeleka mboga.
 
Hahahah mtu ashikula msoto wa maana mtaani ndio ataelewa hicho ulichokisema.

Dogo nilimpa 230,000 kwenda huko Dom(nauli+kulala) mwingine ni ndg yetu aliniomba support nae aende huko kwny hio interview nikampa 100,000 jumla 330,000 hio.Hio interview hata ikirudiwa sitoi hata senti 1.Watakula walikopeleka mboga.
😂😂😂😂😂😂😂dah
 
Hahahah mtu ashikula msoto wa maana mtaani ndio ataelewa hicho ulichokisema.

Dogo nilimpa 230,000 kwenda huko Dom(nauli+kulala) mwingine ni ndg yetu aliniomba support nae aende huko kwny hio interview nikampa 100,000 jumla 330,000 hio.Hio interview hata ikirudiwa sitoi hata senti 1.Watakula walikopeleka mboga.

Hahahahah hio hela bora umpe shemeji akanunue misosi ajaze frijini na stoo tu au ununulie umeme tu ukae kwenye luku kuliko kuitupa laki 3 ndani ya siku
Hahahahah hio hela bora umpe shemeji akanunue misosi ajaze frijini na stoo tu au ununulie umeme tu ukae kwenye luku kuliko kuitupa laki 3 ndani ya siku chache!

Acha tu kaka tunaona jinsi mifumo ambavyo iko rafiki na watu wa kwenye system tu! Yani ukiwa nje ya circle ya CCM Moguls au High profile Civil Servants ujue umekwisha! Utateseka mpaka ufe ukisaka ajira eti 🤣🤣🤣🤣
 
Mkuu kweli hii nchi ina matatizo makubwa mno. Nimesoma comments za watu huku nibaki nimechoka kama nimelima shamba la ekari tano bila kupumzika! Kuna mwingine kasema kama kichwani uko vizuri haina shida hata kama mwenzako atapata mtihani kabla! Tulikosema wapi tuna viumbe wenye ufinyu wa fikra namna hii? Ni elimu au ukosefu wa chakula unasababisha nchi kuwa na ma-genius namna hii?

Tuna tatizo la mmomonyoko wa maadili tangu kwny ngazi za familia mpk ngazi juu taifani mkuu ndio maana tuko radhi kupata nafasi/mali kwa namna yoyote ile hata ikiwa ni by illegal means na familia/jamii zetu zitatupongeza kwa mafanikio tunayoyapata.

Elimu yetu haitusaidii kitu mkuu,
 
Haijaisha hiooo ndio maana pepa itarudiwa.,madogo wakae vzr.
Waache wafanye pepa wa kuajiriwa tiyari wapo, wao wanasindikiza due diligence.
Hizo nafasi walishateuliwa.

Bongo wacha kabisaaaaaa.😂😂

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Mkuu kosa kubwa ni kuondoa mamlaka ya ajira na kuyapeleka Utumishi kutoka taasisi husika. Matatizo yalianza hapo. Abubakari Kunenge akiwa Director of HR & Admin aliweka mfumo ambao ni digital halafu nu online application. Shortlisting ilikuwa inafanywq na sytem. Matokeo yake kwa kiasi kikubwa haki ilikuwa inatendeka.
Watakuwa wamesha temper na huo mfumo kwa sasa hali ya kuwa bwana mkali alishafariki 😅
 
Tuna tatizo la mmomonyoko wa maadili tangu kwny ngazi za familia mpk ngazi juu taifani mkuu ndio maana tuko radhi kupata nafasi/mali kwa namna yoyote ile hata ikiwa ni by illegal means na familia/jamii zetu zitatupongeza kwa mafanikio tunayoyapata.

Elimu yetu haitusaidii kitu mkuu,
Hizi rafu ndio ambazo zilifanya watu wawe wanamchukia hayati Mr.chattle Guy! Jamaa alipambana kila kitu kifanywe na mfumo ikawa inawazuia watu kufanya uhuni wao 😀😀😀 so here we go back once again watanzania wamezoa maisha ya ujanja ujanja! Kazi iendelee
 
Back
Top Bottom