Mtihani wa usaili wa Tax Officer (TRA) wavuja

Mtihani wa usaili wa Tax Officer (TRA) wavuja

Tax officer anatakiwa kuwa Jasiri sio muoga wewe sio wa kigoma

Kigoma huwa si waoga

Taja namba za huyo aliyemrushia I'll genge lake likamatwe vinginevyo wewe mumbeya tu hata ungeajiriwa kazi yako ingekuwa umbeya tu na upiga majungu ofisini

Peleka Hilo swala Takukuru haraka na ushahidi hata wa namba ya huyo mtu wako aliyerushiwa mtihani watsap
Mbwembe nyiiingi,yule jamaa aliyepata kazi huko kupitia huko utumishi akaenda ku report kwny kituo Chake cha kazi na akakuta nafasi imeshajazwa na mtu aliyefeli huko kwny mitihani ya utumishi hao Takukuru si wamepelekewa hio case wakaishia kuipiga danadana tu, Waziri wa utumishi nae akaikimbia.

Yaani mtu akiona ulichoandika hapa utadhani hao Takukuru wanakuaga serious 😄😄😄
 
1.A -corruption
-conspirancy
-trespassing/leaving without following procedures
-Smuggling
-aiding/abetting

B-description of goods either merchandise, livestock, wares, articles or currency
-Quantity
-Quality
-Package

4. A- The VAT Act 1997
-The EFD Act 2010
-The EACCM Act 2004
-The EACCM Act Amendment 2011
-The Excise management and Tarrif Act

B-transaction value of imported goods
-transaction value of identical goods
-transaction value of similar goods
-deductive method
-computed method
-fall back method

5.- Quantitative research
-Qualitative research
-Descriptive research
-Comperative research
-Experimental research

View attachment 1885693
Umejitahidi ila usitake aminisha wengine kuwa hayo ndo majibu pekee kwa maswali yote, utapata kiasi,
Pia kwa waliodaka pepa ni rahisi wajua nahisi watacopy na kupaste na wanaweza jibu maswali sawa na kuepuka maswali sawa, Ni vyema utumishi wakabalance mzani
 
Wewe dogo inaelekea umefanya huu usaili unaozungumzwa hapa na ulikua na pepa before( uliiba) , hongera mkuu, utapata kazi TRA kapige pesa za wanyonge
Mkuu
Sijahusika na hio dhuruma, hio ni akili yangu binafsi ya kujibu maswali ndio maana la 3 na 2 nimechemka, najarib kushare what I have answered nakaribisha kukosolewa
 
Poleni sana vijana. Inauma lakini sitaki kuamini kama ilivuja. Vinginevyo, uthibitishe pasipo na shaka.

Sawa, majibu unapaswa kuyarudisha na karatasi ya maswali. Lakini wapo wenye uwezo wa kurudisha majibu pekee. Au mtu alipewa karatasi mbili za maswali, moja akapeana nyingine akabaki nayo. Akaja kupiga picha na kurusha online.

Lakini kama ilipangwa iwe lazima iwe tu. Hata kama paper lisingevuja, kama fulani alishapangiwa kupewa kazi, hata kama atafeli huo mtihani atapewa tu kibarua.

Maisha haya ya sasa ni magumu sana kwa waajiriwa. Kipindi hicho cha JK, sisi tulikuwa na uangalau.
hii ishu una weza ichukulia simple sana interview ya mwisho mm kufanya na hawa utumishi ilikua 2019 na mpaka leo nime itwa mara3 sija hudhuria tena interview zao kwanini?
Jamaa yangu nilikutana nae baada ya pepa akiwa na Majibu ya maswali yoote kweny daftari lake la solving nilichoka kwa kweli sasa hivi wakiita post za kuhitaji watu wengi atleast 50 kupanda juu ndio nita enda kufanya hizo interview zao lakini sio hizi nafasi 5 mna itwa 6000 ni upuuuzi
 
Duh.

Jana nilimuonya mdogo wangu asiende maana utumishi hawaaminiki tena now days.

Yale maisha kabla ya Magufuli yanarudi kwa kasi.

Kuna jamaa niliona analalamika humu ameajiriwa na utumishi lakini alipofika kwenye kituo cha kazi wakamkataa.

Hii nchi watakaokula maisha ni watoto wa viongozi tu.
Usizungumzie Magufuli maana hii style imeasisiwa na CCM! Ukiwa na affiliation na wakubwa ndani ya CCM na serikalini ujue maisha yako hapa nchini lazma yawe mepesi tu hasa kutoboa life ni swala la simu kadhaa tu unakula kitengo!

Kinyume na hapo usitegemee miujiza zaidi ya mateso jasho na damu litakutoka ili utoboe tu!
 
Back
Top Bottom