Mtihani wa usaili wa Tax Officer (TRA) wavuja

Mtihani wa usaili wa Tax Officer (TRA) wavuja

hata ungewekwa mfumo gani kubebwa kungekuwepo, unafikiri Kunenge angeweza kumpiga chini mtoto wa dada ake andapo angeomba kazi hapo?
Nimesema kwa kiasi kikubwa. Kwanza applications na supporting documents zilikuwa zinafanyika online, pili Ack ilikuwa online. Wale shortlisted candidates walikuwa wanapigiwa simu tu. Pamoja na hayo mapungufu unayoyasema taasisi ilipata "watoto wa wakulima" wengi sana. Haya malalamiko ya mitihani kuvuja hayakuwahi kuwepo wakati wake. Yameanza baada ya huu mchakato huu kuhamishiwa sehemu nyingine.
 
Kutoka kwa mdau,

Mimi ni kijana kutoka Kigoma, jana nimefanya written interview ya Tax Officer TRA inayosimamiwa na utumishi.

Baada ya kufanya paper tukaanza kusikia kuwa paper ilivuja, leo kuna mdau kanitumia hiyo paper.

Hii ni evidence tosha kuwa paper ilivuja maana mnapofanya huo mtihani taratibu zinataka ukusanye majibu yako pamoja na question paper, maana details zako unajaza kwenye question paper. Sasa hii paper imetoka wapi kama paper haikuvuja


Hii sio fair kabisa maana watu tumepoteza muda na hela. Personally nmetumia zaidi ya 200,000 kutoka kigoma na kulala lodge.

Baada ya kufuatilia, nasikia watu walitumiwa mtihani kwenye group la whatsApp na wengine walikuwa wana-solve paper kwenye coaster wakitokea Dar

View attachment 1885554

Hii nchi haipo fair kabisa ni bora tu wawe wanawachagua watu wao wawaingize kwenye mfumo kuliko kutusumbua na kutupa gharama katika hiki kipindi ambacho tunapambana na tozo na matatizo kibao, huku hatuna ajira, wanataka vijana tuanze kujinyonga na kunywa sumu kwa frustrations?
Mara ya mwisho kufanya mitihani ya utumishi ilikua 2018 baada ya kuona magumashi mengi , niliamua kuachana nayo na kufanya mambo yangu tu , kufunga safari kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine ni kupoteza muda na pesa pia, usirudie tena
 
Kutoka kwa mdau,

Mimi ni kijana kutoka Kigoma, jana nimefanya written interview ya Tax Officer TRA inayosimamiwa na utumishi.

Baada ya kufanya paper tukaanza kusikia kuwa paper ilivuja, leo kuna mdau kanitumia hiyo paper.

Hii ni evidence tosha kuwa paper ilivuja maana mnapofanya huo mtihani taratibu zinataka ukusanye majibu yako pamoja na question paper, maana details zako unajaza kwenye question paper. Sasa hii paper imetoka wapi kama paper haikuvuja


Hii sio fair kabisa maana watu tumepoteza muda na hela. Personally nmetumia zaidi ya 200,000 kutoka kigoma na kulala lodge.

Baada ya kufuatilia, nasikia watu walitumiwa mtihani kwenye group la whatsApp na wengine walikuwa wana-solve paper kwenye coaster wakitokea Dar

View attachment 1885554

Hii nchi haipo fair kabisa ni bora tu wawe wanawachagua watu wao wawaingize kwenye mfumo kuliko kutusumbua na kutupa gharama katika hiki kipindi ambacho tunapambana na tozo na matatizo kibao, huku hatuna ajira, wanataka vijana tuanze kujinyonga na kunywa sumu kwa frustrations?
huyu samiah nae alisema atatoa professional works zaid ya 40,000. Ni kwanini wasimwage hizo kazi za TRA bila interview? mbona watu 9,000 ni wachache sana kwenye nafasi za tax na customs?

Afu mbona walimu na madaktari wao humwagiwa kazi bila interview. Utaskia walim 10,000 wameajiriwa na madokta zaidi ya 5,000 wamemwagiwa kazi bila interview yoyote.

Mi nashauri serikali iwe inamwaga kazi za TRA bila interview, maana kisheria na sheria za nchi hazielekezi interview bali graduate yeyote aliehitimu kwenye chuo kinachotambulika kwa serikali anahaki ya kupata kazi na ni wajibu kupata kazi. Sasa mainterview ya nini?
 
du
1.A -corruption
-conspirancy
-trespassing/leaving without following procedures
-Smuggling
-aiding/abetting

B-description of goods either merchandise, livestock, wares, articles or currency
-Quantity
-Quality
-Package

4. A- The VAT Act 1997
-The EFD Act 2010
-The EACCM Act 2004
-The EACCM Act Amendment 2011
-The Excise management and Tarrif Act

B-transaction value of imported goods
-transaction value of identical goods
-transaction value of similar goods
-deductive method
-computed method
-fall back method

5.- Quantitative research
-Qualitative research
-Descriptive research
-Comperative research
-Experimental research

View attachment 1885693
duh!! aiseee!!! mwenzako kamwaga ugali wee ukaona umwage na mboga kabisa yani.
 
Mwaka 2017 niliitwa kwenye usaili bila hata kua nimetuma maombi, Ni simu za hongera ndio zilinishtua mpaka nikafatilia nikajua ni ukweli bahati mbaya nilikua tayari harakati zangu zinazaa matunda sikwenda. Jiamini kijana hata Kama pepa imevuja bado unayo nafasi.
nyie ndo watoto wa vigogo mnaopitishwa kiholela tuu, mafisadi makubwa msokuwa na haya. Mnastahili kuzibuliwa.
 
Ukirudisha karatasi ya majibu bila kuweka hiyo ya maswali unakuwa disqualified. Pia msimamizi hawezi kukubali kuipokea
Nani afanye hivyo ili tu aende kupiga picha?
Hiyo paper ni kweli imevuja, na hii ndio sababu nchi ipo vilevile miaka nenda rudi sababu wajinga ndio viongozi
"na hii ndio sababu nchi ipo vilevile miaka nenda rudi sababu wajinga ndio viongozi"
Ukweli huu.
 
Kutoka kwa mdau,

Mimi ni kijana kutoka Kigoma, jana nimefanya written interview ya Tax Officer TRA inayosimamiwa na utumishi.

Baada ya kufanya paper tukaanza kusikia kuwa paper ilivuja, leo kuna mdau kanitumia hiyo paper.

Hii ni evidence tosha kuwa paper ilivuja maana mnapofanya huo mtihani taratibu zinataka ukusanye majibu yako pamoja na question paper, maana details zako unajaza kwenye question paper. Sasa hii paper imetoka wapi kama paper haikuvuja


Hii sio fair kabisa maana watu tumepoteza muda na hela. Personally nmetumia zaidi ya 200,000 kutoka kigoma na kulala lodge.

Baada ya kufuatilia, nasikia watu walitumiwa mtihani kwenye group la whatsApp na wengine walikuwa wana-solve paper kwenye coaster wakitokea Dar

View attachment 1885554

Hii nchi haipo fair kabisa ni bora tu wawe wanawachagua watu wao wawaingize kwenye mfumo kuliko kutusumbua na kutupa gharama katika hiki kipindi ambacho tunapambana na tozo na matatizo kibao, huku hatuna ajira, wanataka vijana tuanze kujinyonga na kunywa sumu kwa frustrations?
Hii mtihani kwa jinsi nilivyouona naona kama ukiwa ulisoma tax kwa kupapasa papasa basi hupati kitu.nadhani wanaoweza kuwa confortable niwa watu waliosoma chuo cha kodi
 
kuna watu mnapenda kulalamika

nilienda kufanya paper hapo utumishi nadhani pia ulivuja lakini nilifanya kilichonipeleka kwenye written nikavuka ingawa sikuwa wa kwanza kwenye oral nikaibeba mimi ile nafasi na aliyeongoza kwenye written akatupwa mbali. kwenye lile group letu watu kibao wameshapata kazi na hawana connection na haya yametokea mwezi mmoja uliopita. acheni kulalamika haitosaidia kitu mwenye kubebwa hata asipopewa hiyo paper atabebwa tu.
Sawa kabisa mfanyakazi wa utumishi,endelea kutetea kitumbua chako.
 
Sometimes jaribu kuficha ujinga wako unapoona watu wenye akili waki discuss mambo ya msingi.
Hicho.ki photocopy chake mbona kakileta baada ya mtihani ?

Halafu hayuko serious angepeleka Takukuru na aeleze huyo aliyemrushia mwenye group ya watsap wachunguze wakiona Ni kweli interview ingefutwa na watu kibao wangedakwa na yeye pengine angeweza hata kupata ajira Takukuru au polisi nk Kama Asante kwa kufichua Hilo genge
Kuandika ki umbeya tu Ni utoto hakustahili huyu kwenda hata interview .Kama anaficha tu kuweka wazi wezi wa mitihani si ataficha mbeleni wakwepa Kodi.Aanike wazi aache ujinga
 
Hicho.ki photocopy chake mbona kakileta baada ya mtihani ?

Halafu hayuko serious angepeleka Takukuru na aeleze huyo aliyemrushia mwenye group ya watsap wachunguze wakiona Ni kweli interview ingefutwa na watu kibao wangedakwa na yeye pengine angeweza hata kupata ajira Takukuru au polisi nk Kama Asante kwa kufichua Hilo genge
Kuandika ki umbeya tu Ni utoto hakustahili huyu kwenda hata interview .Kama anaficha tu kuweka wazi wezi wa mitihani si ataficha mbeleni wakwepa Kodi.Aanike wazi aache ujinga
Una matatizo ya akili.
 
Mwaka 2017 niliitwa kwenye usaili bila hata kua nimetuma maombi, Ni simu za hongera ndio zilinishtua mpaka nikafatilia nikajua ni ukweli bahati mbaya nilikua tayari harakati zangu zinazaa matunda sikwenda. Jiamini kijana hata Kama pepa imevuja bado unayo nafasi.
Yaani ulikua unapigiwa Simu za hongera za sababu ya kuitwa kwny interview ya utumishi au sijaelewa?
 
Kutoka kwa mdau,

Mimi ni kijana kutoka Kigoma, jana nimefanya written interview ya Tax Officer TRA inayosimamiwa na utumishi.

Baada ya kufanya paper tukaanza kusikia kuwa paper ilivuja, leo kuna mdau kanitumia hiyo paper.

Hii ni evidence tosha kuwa paper ilivuja maana mnapofanya huo mtihani taratibu zinataka ukusanye majibu yako pamoja na question paper, maana details zako unajaza kwenye question paper. Sasa hii paper imetoka wapi kama paper haikuvuja


Hii sio fair kabisa maana watu tumepoteza muda na hela. Personally nmetumia zaidi ya 200,000 kutoka kigoma na kulala lodge.

Baada ya kufuatilia, nasikia watu walitumiwa mtihani kwenye group la whatsApp na wengine walikuwa wana-solve paper kwenye coaster wakitokea Dar

View attachment 1885554

Hii nchi haipo fair kabisa ni bora tu wawe wanawachagua watu wao wawaingize kwenye mfumo kuliko kutusumbua na kutupa gharama katika hiki kipindi ambacho tunapambana na tozo na matatizo kibao, huku hatuna ajira, wanataka vijana tuanze kujinyonga na kunywa sumu kwa frustrations?
Tax officer anatakiwa kuwa Jasiri sio muoga wewe sio wa kigoma

Kigoma huwa si waoga

Taja namba za huyo aliyemrushia I'll genge lake likamatwe vinginevyo wewe mumbeya tu hata ungeajiriwa kazi yako ingekuwa umbeya tu na upiga majungu ofisini

Peleka Hilo swala Takukuru haraka na ushahidi hata wa namba ya huyo mtu wako aliyerushiwa mtihani watsap
 
Hii mtihani kwa jinsi nilivyouona naona kama ukiwa ulisoma tax kwa kupapasa papasa basi hupati kitu.nadhani wanaoweza kuwa confortable niwa watu waliosoma chuo cha kodi
Na kuna genius pale juu anakwambia mitihani ya utumishi hua Ni mwepesi saaaaana.,😄😄😄😄😄
 
Back
Top Bottom