KingCobra95
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,249
- 5,863
Cha msingi ,ni je wewe umejibu kwA usahihi huo mtihani? Maana jibu la ukweli huwezi kuwekewa mkasi!
I came to a realization kuwa hakuna haki kwenye education system hata kwenye kuajiriwa hapa Bongo...hii ilinisaidia Sana.
Yani Chuoni nilikua sijali kuhusu kuvujishwa pepa au watu kupewa majibu ,nilikua nahakikisha mimi kwanza nimepiga msuli wa kutosha Hayo ya nje yalikua hayanihusu...
I came to a realization kuwa hakuna haki kwenye education system hata kwenye kuajiriwa hapa Bongo...hii ilinisaidia Sana.
Yani Chuoni nilikua sijali kuhusu kuvujishwa pepa au watu kupewa majibu ,nilikua nahakikisha mimi kwanza nimepiga msuli wa kutosha Hayo ya nje yalikua hayanihusu...