Mtihani wa usaili wa Tax Officer (TRA) wavuja

Mtihani wa usaili wa Tax Officer (TRA) wavuja

Poleni sana vijana. Inauma lakini sitaki kuamini kama ilivuja. Vinginevyo, uthibitishe pasipo na shaka.

Sawa, majibu unapaswa kuyarudisha na karatasi ya maswali. Lakini wapo wenye uwezo wa kurudisha majibu pekee. Au mtu alipewa karatasi mbili za maswali, moja akapeana nyingine akabaki nayo. Akaja kupiga picha na kurusha online.

Lakini kama ilipangwa iwe lazima iwe tu. Hata kama paper lisingevuja, kama fulani alishapangiwa kupewa kazi, hata kama atafeli huo mtihani atapewa tu kibarua.

Maisha haya ya sasa ni magumu sana kwa waajiriwa. Kipindi hicho cha JK, sisi tulikuwa na uangalau.
 
Poleni sana vijana. Inauma lakini sitaki kuamini kama ilivuja. Vinginevyo, uthibitishe pasipo na shaka.

Sawa, majibu unapaswa kuyarudisha na karatasi ya maswali. Lakini wapo wenye uwezo wa kurudisha majibu pekee. Au mtu alipewa karatasi mbili za maswali, moja akapeana nyingine akabaki nayo. Akaja kupiga picha na kurusha online.

Lakini kama ilipangwa iwe lazima iwe tu. Hata kama paper lisingevuja, kama fulani alishapangiwa kupewa kazi, hata kama atafeli huo mtihani atapewa tu kibarua.

Maisha haya ya sasa ni magumu sana kwa waajiriwa. Kipindi hicho cha JK, sisi tulikuwa na uangalau.
Hahah unatoa majibu mepesiiii kwny maswali magumu.Bongo tambaraleeeee aisee.
 
Poleni sana vijana. Inauma lakini sitaki kuamini kama ilivuja. Vinginevyo, uthibitishe pasipo na shaka.

Sawa, majibu unapaswa kuyarudisha na karatasi ya maswali. Lakini wapo wenye uwezo wa kurudisha majibu pekee. Au mtu alipewa karatasi mbili za maswali, moja akapeana nyingine akabaki nayo. Akaja kupiga picha na kurusha online.

Lakini kama ilipangwa iwe lazima iwe tu. Hata kama paper lisingevuja, kama fulani alishapangiwa kupewa kazi, hata kama atafeli huo mtihani atapewa tu kibarua.

Maisha haya ya sasa ni magumu sana kwa waajiriwa. Kipindi hicho cha JK, sisi tulikuwa na uangalau.
Ukirudisha karatasi ya majibu bila kuweka hiyo ya maswali unakuwa disqualified. Pia msimamizi hawezi kukubali kuipokea
Nani afanye hivyo ili tu aende kupiga picha?
Hiyo paper ni kweli imevuja, na hii ndio sababu nchi ipo vilevile miaka nenda rudi sababu wajinga ndio viongozi
 
Ukirudisha karatasi ya majibu bila kuweka hiyo ya maswali unakuwa disqualified. Pia msimamizi hawezi kukubali kuipokea
Nani afanye hivyo ili tu aende kupiga picha?
Hiyo paper ni kweli imevuja, na hii ndio sababu nchi ipo vilevile miaka nenda rudi sababu wajinga ndio viongozi
Na ndio maana nimemwambia huyo jamaa anatoa majibu mepesiiii kwny maswali magumu.
 
Na ndio maana nimemwambia huyo jamaa anatoa majibu mepesiiii kwny maswali magumu.
Huna logic!.

Hujaona point kuwa inaweza kutokea ukapewa karatasi mbili za maswali kwa wakati mmoja? Mbona unakaza fuvu?

Anyway, I don't have to argue with a fool.
 
Kutoka kwa mdau



Mimi ni kijana kutoka Kigoma, jana nimefanya written interview ya Tax Officer TRA inayosimamiwa na utumishi.

Baada ya kufanya paper tukaanza kusikia kuwa paper ilivuja, leo kuna mdau kanitumia hiyo paper.

Hii ni evidence tosha kuwa paper ilivuja maana mnapofanya huo mtihani taratibu zinataka ukusanye majibu yako pamoja na question paper, maana details zako unajaza kwenye question paper. Sasa hii paper imetoka wapi kama paper haikuvuja


Hii sio fair kabisa maana watu tumepoteza muda na hela. Personally nmetumia zaidi ya 200,000 kutoka kigoma na kulala lodge.

Baada ya kufuatilia, nasikia watu walitumiwa mtihani kwenye group la whatsApp na wengine walikuwa wana-solve paper kwenye coaster wakitokea Dar

View attachment 1885554

Hii nchi haipo fair kabisa, ni bora tu wawe wanawachagua watu wao wawaingize kwenye mfumo kuliko kutusumbua na kutupa gharama katika hiki kipindi ambacho tunapambana na tozo na matatizo kibao, huku hatuna ajira, wanataka vijana tuanze kujinyonga na kunywa sumu kwa frustrations?
Duuh! Tena karatasi yenyewe imechoka dizain. Hii inaonesha ni kweli kitu kilivuja. Mkuu utumishi achana nao, utapoteza pesa nyingi.

Binafsi sina mchongo kwa sasa lakini siwezi kuomba kazi kupitia hao jamaa
 
Hata mwaka 2014 interview ya fire pale gereza la Ukonga paper ilivuja,watu tunatoka kwenye interview majamaa wanatamba wako na paper
Hakuna kipya chini ya jua aisee., at least sa hivi watu wamekuja na evidence huku mitandaoni.
 
Back
Top Bottom