Mtihani wa usaili wa Tax Officer (TRA) wavuja

Mtihani wa usaili wa Tax Officer (TRA) wavuja

Kutoka kwa mdau



Mimi ni kijana kutoka Kigoma, jana nimefanya written interview ya Tax Officer TRA inayosimamiwa na utumishi.

Baada ya kufanya paper tukaanza kusikia kuwa paper ilivuja, leo kuna mdau kanitumia hiyo paper.

Hii ni evidence tosha kuwa paper ilivuja maana mnapofanya huo mtihani taratibu zinataka ukusanye majibu yako pamoja na question paper, maana details zako unajaza kwenye question paper. Sasa hii paper imetoka wapi kama paper haikuvuja


Hii sio fair kabisa maana watu tumepoteza muda na hela. Personally nmetumia zaidi ya 200,000 kutoka kigoma na kulala lodge.

Baada ya kufuatilia, nasikia watu walitumiwa mtihani kwenye group la whatsApp na wengine walikuwa wana-solve paper kwenye coaster wakitokea Dar

View attachment 1885554

Hii nchi haipo fair kabisa, ni bora tu wawe wanawachagua watu wao wawaingize kwenye mfumo kuliko kutusumbua na kutupa gharama katika hiki kipindi ambacho tunapambana na tozo na matatizo kibao, huku hatuna ajira, wanataka vijana tuanze kujinyonga na kunywa sumu kwa frustrations?
Ile tume ni ya Kilaghai tu hamna kitu pale...
 
Upumbavu mtupu,watu wanaenda kua wafanyakazi wa TRA kwa kupitia pepa zilizovuja then wakiingia makazini wakawa hawana maadili mnaanza kulia Lia wkt watu hata kazi hio waliipata kishenzi.
Mkuu wa kupuliza, hata kama hako ka mtihani kamevuja mtu akakaona hakana madhara yoyote. Elimu mtu anaipata chuo Man na ukumbuke kuna kusahau. Nina uhakika hata wewe hapo ulipo nikikuuliza maswali ya ulichosomea chuo kuna vitu hujui kabisa yani umesahau na kuna vitu unakumbuka kidogo. Hata ma daktari pia husahau ndio maana ukienda Hosp unawakuta na ma vitabu wanapitia vitu walivosoma chuo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera mzee, inaonekana wewe ni mmojawapo uliyepata kwa hiyo hutak issue iharibe ili utoboe!
Boss, mimi nina kijikazi tayari ila hoja yangu ni kwamba kuna uwezekano umefaulu alafu utajiharibia hapa kwa huu uzi. Tulisoma na watu wanaingia exam room na majibu ila ambao hatuna kitu tunafaulu kuwapita sasa wewe ndio usumbuliwe na ka paper kalikovuja ambako mtu amesomea nje huko
Mkuu hoja yangu ni kwamba, jiamini tu mkuu huenda umefaulu. Hao walio solve paper wasikuogopeshe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh.

Jana nilimuonya mdogo wangu asiende maana utumishi hawaaminiki tena now days.

Yale maisha kabla ya Magufuli yanarudi kwa kasi.

Kuna jamaa niliona analalamika humu ameajiriwa na utumishi lakini alipofika kwenye kituo cha kazi wakamkataa.

Hii nchi watakaokula maisha ni watoto wa viongozi tu.
Aisee huyo aliyekataliwa kituo cha kazi siyo fair kabisa angewachukulia hatua zaidi hao. 🤔 kwani si huwa wapewa barua za kureport?
 
Kutoka kwa mdau



Mimi ni kijana kutoka Kigoma, jana nimefanya written interview ya Tax Officer TRA inayosimamiwa na utumishi.

Baada ya kufanya paper tukaanza kusikia kuwa paper ilivuja, leo kuna mdau kanitumia hiyo paper.

Hii ni evidence tosha kuwa paper ilivuja maana mnapofanya huo mtihani taratibu zinataka ukusanye majibu yako pamoja na question paper, maana details zako unajaza kwenye question paper. Sasa hii paper imetoka wapi kama paper haikuvuja


Hii sio fair kabisa maana watu tumepoteza muda na hela. Personally nmetumia zaidi ya 200,000 kutoka kigoma na kulala lodge.

Baada ya kufuatilia, nasikia watu walitumiwa mtihani kwenye group la whatsApp na wengine walikuwa wana-solve paper kwenye coaster wakitokea Dar

View attachment 1885554

Hii nchi haipo fair kabisa, ni bora tu wawe wanawachagua watu wao wawaingize kwenye mfumo kuliko kutusumbua na kutupa gharama katika hiki kipindi ambacho tunapambana na tozo na matatizo kibao, huku hatuna ajira, wanataka vijana tuanze kujinyonga na kunywa sumu kwa frustrations?
Niseme zilivuja pepa zotee za custom na TMO,ukwel huu ni uhuni mkubwa,Utumishi kwa hili mnalipi la kujitetea?

Mnavunja watu moyo sana hii ni dalili mbaya sana ,uhuni fedhea?

Kingine ni kwanini mitihani ya utumishi isifanyike kikanda?ili kupunguza mzigo wa gharama na usumbufu?Au mkaanzisha online interview??

IMG-20210807-WA0003.jpg


IMG-20210807-WA0004.jpg
 
Mkuu wa kupuliza, hata kama hako ka mtihani kamevuja mtu akakaona hakana madhara yoyote. Elimu mtu anaipata chuo Man na ukumbuke kuna kusahau. Nina uhakika hata wewe hapo ulipo nikikuuliza maswali ya ulichosomea chuo kuna vitu hujui kabisa yani umesahau na kuna vitu unakumbuka kidogo. Hata ma daktari pia husahau ndio maana ukienda Hosp unawakuta na ma vitabu wanapitia vitu walivosoma chuo

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hio hii inahalalisha watu kuvujishiwa mtu au sio man?
 
Niseme zilivuja pepa zotee za custom na TMO,ukwel huu ni uhuni mkubwa,Utumishi kwa hili mnalipi la kujitetea?

Mnavunja watu moyo sana hii ni dalili mbaya sana ,uhuni fedhea?

Kingine ni kwanini mitihani ya utumishi isifanyike kikanda?ili kupunguza mzigo wa gharama na usumbufu?Au mkaanzisha online interview??

View attachment 1885633

View attachment 1885634
😄😄😄😄 Vijana wamechoma nauli+lodge kumbe wajuba mzigo wanao ndani tayari wamekuja kuwachora tu wanyonge.

Kuna jamaa alikua anawasifia UTUMISHI anakwambia wale mpk Wana Quality Controll office hapo ofisini kwao kwa ajili ya hio mitihani kumbe Ni ujinga mtupu.
 
Haihalalishi Man ila tu katika Maisha sio kila jambo ni la kulia lia tu, some of our greatest tragedies sometimes zinakuja na bahati ndani yake

Sent using Jamii Forums mobile app
Nyerere anakwambia mswahili hua akitaka kutetea Jambo la kipumbavu hua anaweka na kiingereza kidogo ili aonekane anaongea Jambo la Maana sana, 😄😄😄.
 
Back
Top Bottom