Bugsy
JF-Expert Member
- Mar 20, 2021
- 225
- 305
[emoji38][emoji23][emoji1787] Mambo ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]Kwa hio watu kua qualified Kuna justify MITIHANI kuvuja sio mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji38][emoji23][emoji1787] Mambo ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]Kwa hio watu kua qualified Kuna justify MITIHANI kuvuja sio mkuu?
Ile tume ni ya Kilaghai tu hamna kitu pale...Kutoka kwa mdau
Mimi ni kijana kutoka Kigoma, jana nimefanya written interview ya Tax Officer TRA inayosimamiwa na utumishi.
Baada ya kufanya paper tukaanza kusikia kuwa paper ilivuja, leo kuna mdau kanitumia hiyo paper.
Hii ni evidence tosha kuwa paper ilivuja maana mnapofanya huo mtihani taratibu zinataka ukusanye majibu yako pamoja na question paper, maana details zako unajaza kwenye question paper. Sasa hii paper imetoka wapi kama paper haikuvuja
Hii sio fair kabisa maana watu tumepoteza muda na hela. Personally nmetumia zaidi ya 200,000 kutoka kigoma na kulala lodge.
Baada ya kufuatilia, nasikia watu walitumiwa mtihani kwenye group la whatsApp na wengine walikuwa wana-solve paper kwenye coaster wakitokea Dar
View attachment 1885554
Hii nchi haipo fair kabisa, ni bora tu wawe wanawachagua watu wao wawaingize kwenye mfumo kuliko kutusumbua na kutupa gharama katika hiki kipindi ambacho tunapambana na tozo na matatizo kibao, huku hatuna ajira, wanataka vijana tuanze kujinyonga na kunywa sumu kwa frustrations?
Alisikika Gwajima akiwaambia wafuasi wake kwa shangwe.Mbona pepa nyepesi sana hiyo ivuje isivuje unagonga 100
Mkuu wa kupuliza, hata kama hako ka mtihani kamevuja mtu akakaona hakana madhara yoyote. Elimu mtu anaipata chuo Man na ukumbuke kuna kusahau. Nina uhakika hata wewe hapo ulipo nikikuuliza maswali ya ulichosomea chuo kuna vitu hujui kabisa yani umesahau na kuna vitu unakumbuka kidogo. Hata ma daktari pia husahau ndio maana ukienda Hosp unawakuta na ma vitabu wanapitia vitu walivosoma chuoUpumbavu mtupu,watu wanaenda kua wafanyakazi wa TRA kwa kupitia pepa zilizovuja then wakiingia makazini wakawa hawana maadili mnaanza kulia Lia wkt watu hata kazi hio waliipata kishenzi.
Boss, mimi nina kijikazi tayari ila hoja yangu ni kwamba kuna uwezekano umefaulu alafu utajiharibia hapa kwa huu uzi. Tulisoma na watu wanaingia exam room na majibu ila ambao hatuna kitu tunafaulu kuwapita sasa wewe ndio usumbuliwe na ka paper kalikovuja ambako mtu amesomea nje hukoHongera mzee, inaonekana wewe ni mmojawapo uliyepata kwa hiyo hutak issue iharibe ili utoboe!
Aisee huyo aliyekataliwa kituo cha kazi siyo fair kabisa angewachukulia hatua zaidi hao. 🤔 kwani si huwa wapewa barua za kureport?Duh.
Jana nilimuonya mdogo wangu asiende maana utumishi hawaaminiki tena now days.
Yale maisha kabla ya Magufuli yanarudi kwa kasi.
Kuna jamaa niliona analalamika humu ameajiriwa na utumishi lakini alipofika kwenye kituo cha kazi wakamkataa.
Hii nchi watakaokula maisha ni watoto wa viongozi tu.
Niseme zilivuja pepa zotee za custom na TMO,ukwel huu ni uhuni mkubwa,Utumishi kwa hili mnalipi la kujitetea?Kutoka kwa mdau
Mimi ni kijana kutoka Kigoma, jana nimefanya written interview ya Tax Officer TRA inayosimamiwa na utumishi.
Baada ya kufanya paper tukaanza kusikia kuwa paper ilivuja, leo kuna mdau kanitumia hiyo paper.
Hii ni evidence tosha kuwa paper ilivuja maana mnapofanya huo mtihani taratibu zinataka ukusanye majibu yako pamoja na question paper, maana details zako unajaza kwenye question paper. Sasa hii paper imetoka wapi kama paper haikuvuja
Hii sio fair kabisa maana watu tumepoteza muda na hela. Personally nmetumia zaidi ya 200,000 kutoka kigoma na kulala lodge.
Baada ya kufuatilia, nasikia watu walitumiwa mtihani kwenye group la whatsApp na wengine walikuwa wana-solve paper kwenye coaster wakitokea Dar
View attachment 1885554
Hii nchi haipo fair kabisa, ni bora tu wawe wanawachagua watu wao wawaingize kwenye mfumo kuliko kutusumbua na kutupa gharama katika hiki kipindi ambacho tunapambana na tozo na matatizo kibao, huku hatuna ajira, wanataka vijana tuanze kujinyonga na kunywa sumu kwa frustrations?
Kwa hio hii inahalalisha watu kuvujishiwa mtu au sio man?Mkuu wa kupuliza, hata kama hako ka mtihani kamevuja mtu akakaona hakana madhara yoyote. Elimu mtu anaipata chuo Man na ukumbuke kuna kusahau. Nina uhakika hata wewe hapo ulipo nikikuuliza maswali ya ulichosomea chuo kuna vitu hujui kabisa yani umesahau na kuna vitu unakumbuka kidogo. Hata ma daktari pia husahau ndio maana ukienda Hosp unawakuta na ma vitabu wanapitia vitu walivosoma chuo
Sent using Jamii Forums mobile app
Alisikika Genius Albeirt Einstein akiongea kwa sauti kwny kongamano la wanasayansi.Mkuu wewe kama ni kichwa huwezi kuhangaika na wezi wa mtihani.....maana vilaza wengi hata akifanya open book test hawezi kutoboa...
Haihalalishi Man ila tu katika Maisha sio kila jambo ni la kulia lia tu, some of our greatest tragedies sometimes zinakuja na bahati ndani yakeKwa hio hii inahalalisha watu kuvujishiwa mtu au sio man?
😄😄😄😄 Vijana wamechoma nauli+lodge kumbe wajuba mzigo wanao ndani tayari wamekuja kuwachora tu wanyonge.Niseme zilivuja pepa zotee za custom na TMO,ukwel huu ni uhuni mkubwa,Utumishi kwa hili mnalipi la kujitetea?
Mnavunja watu moyo sana hii ni dalili mbaya sana ,uhuni fedhea?
Kingine ni kwanini mitihani ya utumishi isifanyike kikanda?ili kupunguza mzigo wa gharama na usumbufu?Au mkaanzisha online interview??
View attachment 1885633
View attachment 1885634
Nyerere anakwambia mswahili hua akitaka kutetea Jambo la kipumbavu hua anaweka na kiingereza kidogo ili aonekane anaongea Jambo la Maana sana, 😄😄😄.Haihalalishi Man ila tu katika Maisha sio kila jambo ni la kulia lia tu, some of our greatest tragedies sometimes zinakuja na bahati ndani yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi magenius vichwa vyetu ni marking scheme tosha, niibe mtihani ili iweje.......sasa nakuwa na tofauti gani na vilaza?Alisikika Genius Albeirt Einstein akiongea kwa sauti kwny kongamano la wanasayansi.
Nyerere muuni tu achana nae we nisikilize mimi.Nyerere anakwambia mswahili hua akitaka kutetea Jambo la kipumbavu hua anaweka na kiingereza kidogo ili aonekane anaongea Jambo la Maana sana, [emoji1][emoji1][emoji1].
Sawa kabisa Genius.Sisi magenius vichwa vyetu ni marking scheme tosha, niibe mtihani ili iweje.......sasa nakuwa na tofauti gani na vilaza?
😄😄😄 Aiseee.