Mtihani wa usaili wa Tax Officer (TRA) wavuja

Mtihani wa usaili wa Tax Officer (TRA) wavuja

Vunga mkuu, kucheat pia ni moja wapo ya strategy na akili ili ufaulu..
Kushoto kulia, ukiziba kushoto watu wanapita kulia
 
Duh.

Jana nilimuonya mdogo wangu asiende maana utumishi hawaaminiki tena now days.

Yale maisha kabla ya Magufuli yanarudi kwa kasi.

Kuna jamaa niliona analalamika humu ameajiriwa na utumishi lakini alipofika kwenye kituo cha kazi wakamkataa.

Hii nchi watakaokula maisha ni watoto wa viongozi tu.
 
Unazingua. Ukute umefaulu.emu tulia bana,watu kama nyie sijui mkoje,wakati nipo chuo kuna demu alienda kushitaki pia UE imevuja,huwa sijui mna akili gani nyie.hapo kuna wenzio kama wewe hawajauona unawaharibia

Sent using Jamii Forums mobile app
Upumbavu mtupu,watu wanaenda kua wafanyakazi wa TRA kwa kupitia pepa zilizovuja then wakiingia makazini wakawa hawana maadili mnaanza kulia Lia wkt watu hata kazi hio waliipata kishenzi.
 
Kutoka kwa mdau



Mimi ni kijana kutoka Kigoma, jana nimefanya written interview ya Tax Officer TRA inayosimamiwa na utumishi.

Baada ya kufanya paper tukaanza kusikia kuwa paper ilivuja, leo kuna mdau kanitumia hiyo paper.

Hii ni evidence tosha kuwa paper ilivuja maana mnapofanya huo mtihani taratibu zinataka ukusanye majibu yako pamoja na question paper, maana details zako unajaza kwenye question paper. Sasa hii paper imetoka wapi kama paper haikuvuja


Hii sio fair kabisa maana watu tumepoteza muda na hela. Personally nmetumia zaidi ya 200,000 kutoka kigoma na kulala lodge.

Baada ya kufuatilia, nasikia watu walitumiwa mtihani kwenye group la whatsApp na wengine walikuwa wana-solve paper kwenye coaster wakitokea Dar

View attachment 1885554

Hii nchi haipo fair kabisa, ni bora tu wawe wanawachagua watu wao wawaingize kwenye mfumo kuliko kutusumbua na kutupa gharama katika hiki kipindi ambacho tunapambana na tozo na matatizo kibao, huku hatuna ajira, wanataka vijana tuanze kujinyonga na kunywa sumu kwa frustrations?

Wewe unadhani katiba mpya mnufaika ni mwanasiasa peke yake?
 
Duh.

Jana nilimuonya mdogo wangu asiende maana utumishi hawaaminiki tena now days.

Yale maisha kabla ya Magufuli yanarudi kwa kasi.

Kuna jamaa niliona analalamika humu ameajiriwa na utumishi lakini alipofika kwenye kituo cha kazi wakamkataa.

Hii nchi watakaokula maisha ni watoto wa viongozi tu.
Hata wkt wa Magufuli watoto wa wakubwa walikula Maisha Kama kawa,ikiwemo yeye kumpa u-das binti yake Kule Moro na mume wa huyo binti akapigwa u-das,Jesca akalambishwa kazi rea,mtoto wa Jaji Warioba(Kippi) akapewa ukuu wa wilaya Moshi,mtoto wa Mwenyekiti wa NEC(Jaji Lubuva) akapigwa u-DED,Mtoto wa Zelothe Steven akalambishwa u-Das list Ni ndefu saaaana.

Hii nchi iko hivyo hivyo na Magufuli hakusaidia chochote kwny Hilo, CCM hakijawahi kubadilika.
 
Upumbavu mtupu,watu wanaenda kua wafanyakazi wa TRA kwa kupitia pepa zilizovuja then wakiingia makazini wakawa hawana maadili mnaanza kulia Lia wkt watu hata kazi hio waliipata kishenzi.
Wote walio chaguliwa kufanya written interview wapo qualified mkuu, Ila maswali ya PSRS na PSRS yenyewe ni kama betting tu...
Ukishinda unapiga boom kubaa la uhakika, ukianguka unaanguka mazima kifo cha mande chali [emoji38][emoji23] plus hasara ya nauli
 
Wote walio chaguliwa kufanya written interview wapo qualified mkuu, Ila maswali ya PSRS na PSRS yenyewe ni kama betting tu...
Ukishinda unapiga boom kubaa la uhakika, ukianguka unaanguka mazima kifo cha mande chali [emoji38][emoji23] plus hasara ya nauli
Kwa hio watu kua qualified Kuna justify MITIHANI kuvuja sio mkuu?
 
Back
Top Bottom