JABALI LA KARNE
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 3,093
- 5,850
Nimeelewa bosi, ni mawazo ya chuo ndo nimemwambia aachane nayo huku uraiani.Sio chuo jabali ni interview ya kazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeelewa bosi, ni mawazo ya chuo ndo nimemwambia aachane nayo huku uraiani.Sio chuo jabali ni interview ya kazi
Wewe umelima heka ngapi mkuu?Ungejiongeza kidogo tu, hiyo laki mbili ungeenda kukodi shamba walau ukalima hata maharage heka moja. Kuliko kwenda kuitumia kwenye hamna
Kazi ipoKutoka kwa mdau
Mimi ni kijana kutoka Kigoma, jana nimefanya written interview ya Tax Officer TRA inayosimamiwa na utumishi.
Baada ya kufanya paper tukaanza kusikia kuwa paper ilivuja, leo kuna mdau kanitumia hiyo paper...
Kuwa na akili japo kidogo tu ikusaidie.Wewe umelima heka ngapi mkuu?
Motivational speaker mko vzr Sana.Ungejiongeza kidogo tu, hiyo laki mbili ungeenda kukodi shamba walau ukalima hata maharage heka moja. Kuliko kwenda kuitumia kwenye hamna
Jibu swali..una heka ngapi mpaka sasa?Kuwa na akili japo kidogo
Upumbavu mtupu,watu wanaenda kua wafanyakazi wa TRA kwa kupitia pepa zilizovuja then wakiingia makazini wakawa hawana maadili mnaanza kulia Lia wkt watu hata kazi hio waliipata kishenzi.Unazingua. Ukute umefaulu.emu tulia bana,watu kama nyie sijui mkoje,wakati nipo chuo kuna demu alienda kushitaki pia UE imevuja,huwa sijui mna akili gani nyie.hapo kuna wenzio kama wewe hawajauona unawaharibia
Sent using Jamii Forums mobile app
Humu watu wengi ni waropokaji tu mkuu..tena utakuta jitu kama hilo linafugwa kwa shemeji yake.People are too theoretical ,wanachukulia vitu poa sana. Kama ingekuw hivyo kwamba unatupia 200k shambani then maisha waaaah, hakuna ambae angekuw na shida ya kuajiriwa na mtu.
Kweli hili Taifa Ni la Viwanda.Vunga mkuu, kucheat pia ni moja wapo ya strategy na akili ili ufaulu..
Kushoto kulia, ukiziba kushoto watu wanapita kulia
Kutoka kwa mdau
Mimi ni kijana kutoka Kigoma, jana nimefanya written interview ya Tax Officer TRA inayosimamiwa na utumishi.
Baada ya kufanya paper tukaanza kusikia kuwa paper ilivuja, leo kuna mdau kanitumia hiyo paper.
Hii ni evidence tosha kuwa paper ilivuja maana mnapofanya huo mtihani taratibu zinataka ukusanye majibu yako pamoja na question paper, maana details zako unajaza kwenye question paper. Sasa hii paper imetoka wapi kama paper haikuvuja
Hii sio fair kabisa maana watu tumepoteza muda na hela. Personally nmetumia zaidi ya 200,000 kutoka kigoma na kulala lodge.
Baada ya kufuatilia, nasikia watu walitumiwa mtihani kwenye group la whatsApp na wengine walikuwa wana-solve paper kwenye coaster wakitokea Dar
View attachment 1885554
Hii nchi haipo fair kabisa, ni bora tu wawe wanawachagua watu wao wawaingize kwenye mfumo kuliko kutusumbua na kutupa gharama katika hiki kipindi ambacho tunapambana na tozo na matatizo kibao, huku hatuna ajira, wanataka vijana tuanze kujinyonga na kunywa sumu kwa frustrations?
Hata wkt wa Magufuli watoto wa wakubwa walikula Maisha Kama kawa,ikiwemo yeye kumpa u-das binti yake Kule Moro na mume wa huyo binti akapigwa u-das,Jesca akalambishwa kazi rea,mtoto wa Jaji Warioba(Kippi) akapewa ukuu wa wilaya Moshi,mtoto wa Mwenyekiti wa NEC(Jaji Lubuva) akapigwa u-DED,Mtoto wa Zelothe Steven akalambishwa u-Das list Ni ndefu saaaana.Duh.
Jana nilimuonya mdogo wangu asiende maana utumishi hawaaminiki tena now days.
Yale maisha kabla ya Magufuli yanarudi kwa kasi.
Kuna jamaa niliona analalamika humu ameajiriwa na utumishi lakini alipofika kwenye kituo cha kazi wakamkataa.
Hii nchi watakaokula maisha ni watoto wa viongozi tu.
Wote walio chaguliwa kufanya written interview wapo qualified mkuu, Ila maswali ya PSRS na PSRS yenyewe ni kama betting tu...Upumbavu mtupu,watu wanaenda kua wafanyakazi wa TRA kwa kupitia pepa zilizovuja then wakiingia makazini wakawa hawana maadili mnaanza kulia Lia wkt watu hata kazi hio waliipata kishenzi.
Umeulizwa Umelima hekari ngapi wacha story nyingi.Kuwa na akili japo kidogo tu ikusaidie.
Na nchi hii wakulima Ni 70% na ndio maskini wa kutupwa.People are too theoretical ,wanachukulia vitu poa sana. Kama ingekuw hivyo kwamba unatupia 200k shambani then maisha waaaah, hakuna ambae angekuw na shida ya kuajiriwa na mtu.
Kwa hio watu kua qualified Kuna justify MITIHANI kuvuja sio mkuu?Wote walio chaguliwa kufanya written interview wapo qualified mkuu, Ila maswali ya PSRS na PSRS yenyewe ni kama betting tu...
Ukishinda unapiga boom kubaa la uhakika, ukianguka unaanguka mazima kifo cha mande chali [emoji38][emoji23] plus hasara ya nauli
Humu watu wengi ni waropokaji tu mkuu..tena utakuta jitu kama hilo linafugwa kwa shemeji yake.