Mtihani wa usaili wa Tax Officer (TRA) wavuja

Mtihani wa usaili wa Tax Officer (TRA) wavuja

Cha msingi ,ni je wewe umejibu kwA usahihi huo mtihani? Maana jibu la ukweli huwezi kuwekewa mkasi!

I came to a realization kuwa hakuna haki kwenye education system hata kwenye kuajiriwa hapa Bongo...hii ilinisaidia Sana.
Yani Chuoni nilikua sijali kuhusu kuvujishwa pepa au watu kupewa majibu ,nilikua nahakikisha mimi kwanza nimepiga msuli wa kutosha Hayo ya nje yalikua hayanihusu...
Sio education system tu, bongo kaka kuna mambo ya hovyo sana ktk mambo mengi sana.

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
hii yawezekana kuna mtu alllingia na simu akapiga au kama waliondoka na karatasi amepiga baada ya mtihani
 
Kutoka kwa mdau,

Mimi ni kijana kutoka Kigoma, jana nimefanya written interview ya Tax Officer TRA inayosimamiwa na utumishi.

Baada ya kufanya paper tukaanza kusikia kuwa paper ilivuja, leo kuna mdau kanitumia hiyo paper.

Hii ni evidence tosha kuwa paper ilivuja maana mnapofanya huo mtihani taratibu zinataka ukusanye majibu yako pamoja na question paper, maana details zako unajaza kwenye question paper. Sasa hii paper imetoka wapi kama paper haikuvuja


Hii sio fair kabisa maana watu tumepoteza muda na hela. Personally nmetumia zaidi ya 200,000 kutoka kigoma na kulala lodge.

Baada ya kufuatilia, nasikia watu walitumiwa mtihani kwenye group la whatsApp na wengine walikuwa wana-solve paper kwenye coaster wakitokea Dar

View attachment 1885554

Hii nchi haipo fair kabisa ni bora tu wawe wanawachagua watu wao wawaingize kwenye mfumo kuliko kutusumbua na kutupa gharama katika hiki kipindi ambacho tunapambana na tozo na matatizo kibao, huku hatuna ajira, wanataka vijana tuanze kujinyonga na kunywa sumu kwa frustrations?
kama kichwani upo vizuri mtihani uvuje usivuje utafaulu tu manake majibu ni yale yale acha kulalamika kama ukiwa kilaza hata ukipewa pepa kama majibu huyajui huwezi faulu
 
No fairness under the sun,believe me nepotism is everywhere ila ni kupambana tu...be like water just follow the flow,ukiwaambia hivyo wazee walokusomesha kwamba ulifeli mtihani kisa kuna watu wameiba paper watakuelewa? Ni kuwahuzunisha ni kuwaambia tu haikuwa bahati yako next time you will try harder
 
😄😄😄😄 Vijana wamechoma nauli+lodge kumbe wajuba mzigo wanao ndani tayari wamekuja kuwachora tu wanyonge.

Kuna jamaa alikua anawasifia UTUMISHI anakwambia wale mpk Wana Quality Controll office hapo ofisini kwao kwa ajili ya hio mitihani kumbe Ni ujinga mtupu.
kuna watu mnapenda kulalamika

nilienda kufanya paper hapo utumishi nadhani pia ulivuja lakini nilifanya kilichonipeleka kwenye written nikavuka ingawa sikuwa wa kwanza kwenye oral nikaibeba mimi ile nafasi na aliyeongoza kwenye written akatupwa mbali. kwenye lile group letu watu kibao wameshapata kazi na hawana connection na haya yametokea mwezi mmoja uliopita. acheni kulalamika haitosaidia kitu mwenye kubebwa hata asipopewa hiyo paper atabebwa tu.
 
Bongo NYOSO
Mkuu kosa kubwa ni kuondoa mamlaka ya ajira na kuyapeleka Utumishi kutoka taasisi husika. Matatizo yalianza hapo. Abubakari Kunenge akiwa Director of HR & Admin aliweka mfumo ambao ni digital halafu nu online application. Shortlisting ilikuwa inafanywq na sytem. Matokeo yake kwa kiasi kikubwa haki ilikuwa inatendeka.
 
Cha msingi ,ni je wewe umejibu kwA usahihi huo mtihani? Maana jibu la ukweli huwezi kuwekewa mkasi!

I came to a realization kuwa hakuna haki kwenye education system hata kwenye kuajiriwa hapa Bongo...hii ilinisaidia Sana.
Yani Chuoni nilikua sijali kuhusu kuvujishwa pepa au watu kupewa majibu ,nilikua nahakikisha mimi kwanza nimepiga msuli wa kutosh
YES, Hajajibu kwa usahii ndiomana povu linamtoka haswa, anasahau kuwa the strongest will survive hakujiandaa ili ashinde.
 
Mkuu kosa kubwa ni kuondoa mamlaka ya ajira na kuyapeleka Utumishi kutoka taasisi husika. Matatizo yalianza hapo. Abubakari Kunenge akiwa Director of HR & Admin aliweka mfumo ambao ni digital halafu nu online application. Shortlisting ilikuwa inafanywq na sytem. Matokeo yake kwa kiasi kikubwa haki ilikuwa inatendeka.
hata ungewekwa mfumo gani kubebwa kungekuwepo, unafikiri Kunenge angeweza kumpiga chini mtoto wa dada ake andapo angeomba kazi hapo?
 
Kutoka kwa mdau,

Mimi ni kijana kutoka Kigoma, jana nimefanya written interview ya Tax Officer TRA inayosimamiwa na utumishi.

Baada ya kufanya paper tukaanza kusikia kuwa paper ilivuja, leo kuna mdau kanitumia hiyo paper.

Hii ni evidence tosha kuwa paper ilivuja maana mnapofanya huo mtihani taratibu zinataka ukusanye majibu yako pamoja na question paper, maana details zako unajaza kwenye question paper. Sasa hii paper imetoka wapi kama paper haikuvuja


Hii sio fair kabisa maana watu tumepoteza muda na hela. Personally nmetumia zaidi ya 200,000 kutoka kigoma na kulala lodge.

Baada ya kufuatilia, nasikia watu walitumiwa mtihani kwenye group la whatsApp na wengine walikuwa wana-solve paper kwenye coaster wakitokea Dar

View attachment 1885554

Hii nchi haipo fair kabisa ni bora tu wawe wanawachagua watu wao wawaingize kwenye mfumo kuliko kutusumbua na kutupa gharama katika hiki kipindi ambacho tunapambana na tozo na matatizo kibao, huku hatuna ajira, wanataka vijana tuanze kujinyonga na kunywa sumu kwa frustrations?
Ngoja nijikukbushie kidogo kushuka maswali ya hii paper

Enzi zangu vipepa kama hivi vilikua havinisumbui

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Issue ya utumishi ingetoka tu. Mtu uapply moja kwa moja kwenye shirika ata hongo bora utoe huko huko.

Kujuana na kushikana mkono hakukosekani hata kwenye kampuni nyingine unakuta wanaanza kuulizia kwa wafanyakazi kama kuna mtu wanaona ana uwezo na kazi tajwa then vigezo visipofit wanatoka nje ndio kupost matangazo.

Poleni sana mlioenda interview.
Hiyo ya kuapply moja kwa moja ndio mbaya zaidi watapachikana mpaka angalau ya UTUMISHI ukitoboa kwenye oral hata kama huna connection kupata kazi ni rahisi.
 
Back
Top Bottom