Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio education system tu, bongo kaka kuna mambo ya hovyo sana ktk mambo mengi sana.Cha msingi ,ni je wewe umejibu kwA usahihi huo mtihani? Maana jibu la ukweli huwezi kuwekewa mkasi!
I came to a realization kuwa hakuna haki kwenye education system hata kwenye kuajiriwa hapa Bongo...hii ilinisaidia Sana.
Yani Chuoni nilikua sijali kuhusu kuvujishwa pepa au watu kupewa majibu ,nilikua nahakikisha mimi kwanza nimepiga msuli wa kutosha Hayo ya nje yalikua hayanihusu...
kama kichwani upo vizuri mtihani uvuje usivuje utafaulu tu manake majibu ni yale yale acha kulalamika kama ukiwa kilaza hata ukipewa pepa kama majibu huyajui huwezi fauluKutoka kwa mdau,
Mimi ni kijana kutoka Kigoma, jana nimefanya written interview ya Tax Officer TRA inayosimamiwa na utumishi.
Baada ya kufanya paper tukaanza kusikia kuwa paper ilivuja, leo kuna mdau kanitumia hiyo paper.
Hii ni evidence tosha kuwa paper ilivuja maana mnapofanya huo mtihani taratibu zinataka ukusanye majibu yako pamoja na question paper, maana details zako unajaza kwenye question paper. Sasa hii paper imetoka wapi kama paper haikuvuja
Hii sio fair kabisa maana watu tumepoteza muda na hela. Personally nmetumia zaidi ya 200,000 kutoka kigoma na kulala lodge.
Baada ya kufuatilia, nasikia watu walitumiwa mtihani kwenye group la whatsApp na wengine walikuwa wana-solve paper kwenye coaster wakitokea Dar
View attachment 1885554
Hii nchi haipo fair kabisa ni bora tu wawe wanawachagua watu wao wawaingize kwenye mfumo kuliko kutusumbua na kutupa gharama katika hiki kipindi ambacho tunapambana na tozo na matatizo kibao, huku hatuna ajira, wanataka vijana tuanze kujinyonga na kunywa sumu kwa frustrations?
Mkuu mbona kama unafurahiMamamae wamiliki wa Lodge huko Dom na wenye ma bus mmepiga hela kingese, hongereni Sana.
Kwa vijana watafutaji pole Sana ndo mshapigwa kidole hivyo kueni wapole tu.
Kijana mwenye sikio na asikie..Acha kulalamika, utapoteza muda wako. Riziki yako hakuna binadamu wa kuzuia usiipate, pambana.
Halafu achana na mawazo ya chuo kufikiri mtiani ndio kila kitu, tafuta namna tengeneza network.
Hayupo mtu mwenye maadili kwenye hii dunia haijalishi ameingia sehemu kihalali au kijanja janjaUpumbavu mtupu,watu wanaenda kua wafanyakazi wa TRA kwa kupitia pepa zilizovuja then wakiingia makazini wakawa hawana maadili mnaanza kulia Lia wkt watu hata kazi hio waliipata kishenzi.
kuna watu mnapenda kulalamika😄😄😄😄 Vijana wamechoma nauli+lodge kumbe wajuba mzigo wanao ndani tayari wamekuja kuwachora tu wanyonge.
Kuna jamaa alikua anawasifia UTUMISHI anakwambia wale mpk Wana Quality Controll office hapo ofisini kwao kwa ajili ya hio mitihani kumbe Ni ujinga mtupu.
Mkuu kosa kubwa ni kuondoa mamlaka ya ajira na kuyapeleka Utumishi kutoka taasisi husika. Matatizo yalianza hapo. Abubakari Kunenge akiwa Director of HR & Admin aliweka mfumo ambao ni digital halafu nu online application. Shortlisting ilikuwa inafanywq na sytem. Matokeo yake kwa kiasi kikubwa haki ilikuwa inatendeka.Bongo NYOSO
YES, Hajajibu kwa usahii ndiomana povu linamtoka haswa, anasahau kuwa the strongest will survive hakujiandaa ili ashinde.Cha msingi ,ni je wewe umejibu kwA usahihi huo mtihani? Maana jibu la ukweli huwezi kuwekewa mkasi!
I came to a realization kuwa hakuna haki kwenye education system hata kwenye kuajiriwa hapa Bongo...hii ilinisaidia Sana.
Yani Chuoni nilikua sijali kuhusu kuvujishwa pepa au watu kupewa majibu ,nilikua nahakikisha mimi kwanza nimepiga msuli wa kutosh
hata ungewekwa mfumo gani kubebwa kungekuwepo, unafikiri Kunenge angeweza kumpiga chini mtoto wa dada ake andapo angeomba kazi hapo?Mkuu kosa kubwa ni kuondoa mamlaka ya ajira na kuyapeleka Utumishi kutoka taasisi husika. Matatizo yalianza hapo. Abubakari Kunenge akiwa Director of HR & Admin aliweka mfumo ambao ni digital halafu nu online application. Shortlisting ilikuwa inafanywq na sytem. Matokeo yake kwa kiasi kikubwa haki ilikuwa inatendeka.
Ngoja nijikukbushie kidogo kushuka maswali ya hii paperKutoka kwa mdau,
Mimi ni kijana kutoka Kigoma, jana nimefanya written interview ya Tax Officer TRA inayosimamiwa na utumishi.
Baada ya kufanya paper tukaanza kusikia kuwa paper ilivuja, leo kuna mdau kanitumia hiyo paper.
Hii ni evidence tosha kuwa paper ilivuja maana mnapofanya huo mtihani taratibu zinataka ukusanye majibu yako pamoja na question paper, maana details zako unajaza kwenye question paper. Sasa hii paper imetoka wapi kama paper haikuvuja
Hii sio fair kabisa maana watu tumepoteza muda na hela. Personally nmetumia zaidi ya 200,000 kutoka kigoma na kulala lodge.
Baada ya kufuatilia, nasikia watu walitumiwa mtihani kwenye group la whatsApp na wengine walikuwa wana-solve paper kwenye coaster wakitokea Dar
View attachment 1885554
Hii nchi haipo fair kabisa ni bora tu wawe wanawachagua watu wao wawaingize kwenye mfumo kuliko kutusumbua na kutupa gharama katika hiki kipindi ambacho tunapambana na tozo na matatizo kibao, huku hatuna ajira, wanataka vijana tuanze kujinyonga na kunywa sumu kwa frustrations?
na hawanaga mda wa kukudhulumu haki yako kama ukipata 50% utapewa kama umepata 20% utapewa.Hawanaga maswali magumu pspr Basi tu kuchuja watu utashangaa unapata 47...na wenyewe wanataka 50
Hiyo ya kuapply moja kwa moja ndio mbaya zaidi watapachikana mpaka angalau ya UTUMISHI ukitoboa kwenye oral hata kama huna connection kupata kazi ni rahisi.Issue ya utumishi ingetoka tu. Mtu uapply moja kwa moja kwenye shirika ata hongo bora utoe huko huko.
Kujuana na kushikana mkono hakukosekani hata kwenye kampuni nyingine unakuta wanaanza kuulizia kwa wafanyakazi kama kuna mtu wanaona ana uwezo na kazi tajwa then vigezo visipofit wanatoka nje ndio kupost matangazo.
Poleni sana mlioenda interview.
Sometimes jaribu kuficha ujinga wako unapoona watu wenye akili waki discuss mambo ya msingi.hii yawezekana kuna mtu alllingia na simu akapiga au kama waliondoka na karatasi amepiga baada ya mtihani