Wewe uliona wapi mtu aliyewaongezea kwenye written kuwa kafeli usaili wa oral?Usiende kaka.
kila mtu alizaliwa siku yake ataishi kwenye njia zake
lakini swali langu la kuvuja kwa mtihani kunaplkea vp ww kufeli. kwenye interview yangu alietuongoza kwenye written alifeli vbaya kwenye oral tena vibaya haswa.
kwanza kwenye oral lazima taasisi husika inayotaka mtumishi iwepo kwenye panel, ww bebwa kwenye written ila kama hunauwezo utanasa tu
Mimi nimefanya two weeks ago ipo hiviWewe uliona wapi mtu aliyewaongezea kwenye written kuwa kafeli usaili wa oral?
Ulishiriki usaili wa mahojiano kwenye majengo ya Asha rose Migiro katika kada ya maabara? Wiki mbili zilizopita?Mimi nimefanya two weeks ago ipo hivi
Paper la Kwanza tumeingia 36 tuliitwa 41.. Pepa lilikuwa gumu ila wakatubeba wote Sasa yule mtu wa Kwanza 86...ikaja la pili alternative practical..yule wa Kwanza akawa wa mwisho miongoni mwa sita waliofeli...na Kuna yupo alikuwa wa pili yeye kosa lake Ni kuchora mchoro kwa kalamu naye alifeli..mambo hayo yanatokea.mi nishafanya interview zao tatu nimeona maajabu mtu ambaye unamfundisha anapasua kwenye mitihani Yao ila Post za zamani nilikuwa nafanya Ni za nje ya fani yangu Ila application ilikuwa inakubali.moja ilikuwa wanataka mtu wa lab udsm.sasa tumeitwa 27.me nikapata 64 ila nikaachwa kwenda oral Yuko jamaangu namjua uwezo wake na alikuwa hajui hayo mambo ya maabara akapiga 67 akapelekwa oral mwisho wa siku wakaanza kuchomolewa kwenye kanzi data mpk Sasa sita washachukuliwa wengine Bado pending ila nasikia pale kanzi data jina Lina valid eti miezi sita
Me nipo za wizara ya majiUlishiriki usaili wa mahojiano kwenye majengo ya Asha rose Migiro katika kada ya maabara? Wiki mbili zilizopita?
Aisee mzee wa HYDROLOJIA, hivi majina huwa wanatoa baada ya muda gani baada ya oral interview ?Mimi nimefanya two weeks ago ipo hivi
Paper la Kwanza tumeingia 36 tuliitwa 41.. Pepa lilikuwa gumu ila wakatubeba wote Sasa yule mtu wa Kwanza 86...ikaja la pili alternative practical..yule wa Kwanza akawa wa mwisho miongoni mwa sita waliofeli...na Kuna yupo alikuwa wa pili yeye kosa lake Ni kuchora mchoro kwa kalamu naye alifeli..mambo hayo yanatokea.mi nishafanya interview zao tatu nimeona maajabu mtu ambaye unamfundisha anapasua kwenye mitihani Yao ila Post za zamani nilikuwa nafanya Ni za nje ya fani yangu Ila application ilikuwa inakubali.moja ilikuwa wanataka mtu wa lab udsm.sasa tumeitwa 27.me nikapata 64 ila nikaachwa kwenda oral Yuko jamaangu namjua uwezo wake na alikuwa hajui hayo mambo ya maabara akapiga 67 akapelekwa oral mwisho wa siku wakaanza kuchomolewa kwenye kanzi data mpk Sasa sita washachukuliwa wengine Bado pending ila nasikia pale kanzi data jina Lina valid eti miezi sita
Labda baada ya week tatu kuanzia jumanne ijayo tusubirini tuoneAisee mzee wa HYDROLOJIA, hivi majina huwa wanatoa baada ya muda gani baada ya oral interview ?
Nilifanya pia oral interview wiki mbili zilizopita hapo.
Kwa mtindo huu serikali itapoteza watu wengi wenye uwezo mzuriKutoka kwa mdau,
Mimi ni kijana kutoka Kigoma, jana nimefanya written interview ya Tax Officer TRA inayosimamiwa na utumishi.
Baada ya kufanya paper tukaanza kusikia kuwa paper ilivuja, leo kuna mdau kanitumia hiyo paper.
Hii ni evidence tosha kuwa paper ilivuja maana mnapofanya huo mtihani taratibu zinataka ukusanye majibu yako pamoja na question paper, maana details zako unajaza kwenye question paper. Sasa hii paper imetoka wapi kama paper haikuvuja
Hii sio fair kabisa maana watu tumepoteza muda na hela. Personally nmetumia zaidi ya 200,000 kutoka kigoma na kulala lodge.
Baada ya kufuatilia, nasikia watu walitumiwa mtihani kwenye group la whatsApp na wengine walikuwa wana-solve paper kwenye coaster wakitokea Dar
View attachment 1885554
Hii nchi haipo fair kabisa ni bora tu wawe wanawachagua watu wao wawaingize kwenye mfumo kuliko kutusumbua na kutupa gharama katika hiki kipindi ambacho tunapambana na tozo na matatizo kibao, huku hatuna ajira, wanataka vijana tuanze kujinyonga na kunywa sumu kwa frustrations?
Lily Ni Nani mkuu?Dogo alisema paper ilimsubiri Lily toka sabasaba tena akaambiwa apande bodaboda kabisa.Paper anasema ilianza saa 4:05 yeye alikuwa CHSS lecture theatre 1. Nilifikuri muongo loooh utumishi balaa. Sijui mtajengaje imani kwa madogo jamani.
Huyo achana naye ameamua tuu kujitoa ufahamu.una negativity sana mzee, mtu wa utumishi aje kucomment hapa itabadili nini? zinavuja necta sembuse kipepa cha utumishi kinachochapwa palepale na watu walewale?
hapa tunajengana ni bora utumishi kuliko mamlaka ya kuajiri apewe mkurugenzi wa manispaa mbona utatoka mtwara to kigoma na nafasi anapewa mtoto wa dada. angalau utumishi ukikosa nafasi ya msingi kwa waliofika oral interview utawekwa kwenye database utakula tu mchonngo shida inaanza wengi hawatoboi written interview na kinachowafanya wafeli sio kuvuja kwa pepa ni kutokujiandaa mfano kazi kibao zinakuwaga re advertised je hwana ndugu wa kuwapachika
? kazi nyingi zinarudiwagwa kutangazwa zaidi ya mara moja.
swali la msingi kuvuja kwa pepa ( nafahamu ni kosa) je kuna athiri vipi ww kufeli interview?
Mmoja ya watoto wa vigogo itakua [emoji38][emoji23][emoji1787]Lily Ni Nani mkuu?
ajira kwa sasa ni sawa na madai ya Katiba mpya, ili upate lazma uwe na koneksheni.Kutoka kwa mdau,
Mimi ni kijana kutoka Kigoma, jana nimefanya written interview ya Tax Officer TRA inayosimamiwa na utumishi.
Baada ya kufanya paper tukaanza kusikia kuwa paper ilivuja, leo kuna mdau kanitumia hiyo paper.
Hii ni evidence tosha kuwa paper ilivuja maana mnapofanya huo mtihani taratibu zinataka ukusanye majibu yako pamoja na question paper, maana details zako unajaza kwenye question paper. Sasa hii paper imetoka wapi kama paper haikuvuja
Hii sio fair kabisa maana watu tumepoteza muda na hela. Personally nimetumia zaidi ya 200,000 kutoka Kigoma na kulala lodge.
Baada ya kufuatilia, nasikia watu walitumiwa mtihani kwenye group la whatsApp na wengine walikuwa wana-solve paper kwenye coaster wakitokea Dar
View attachment 1885554
Hii nchi haipo fair kabisa ni bora tu wawe wanawachagua watu wao wawaingize kwenye mfumo kuliko kutusumbua na kutupa gharama katika hiki kipindi ambacho tunapambana na tozo na matatizo kibao, huku hatuna ajira, wanataka vijana tuanze kujinyonga na kunywa sumu kwa frustrations?
Pia, soma=> Usaili wa Tax Officers waahirishwa
aiseeee
kudadek mpaka na copy walishayatoa!!!!! asee hamna, ili swala lazma lishughulikiwe
Dah hii na husababisha mtu ana 60 na ushee anaambiwe not selected for oral, maana baadhi wana alama kubwa zaidi zisizo halali kwa ajili ya uvujaji wa mitihaniNa majibu Watu walikuwa nayo ya paper LA tax mgt officer kummk
Dah kikubwa ni watu kugomea mitihani ya UTUMISHI tu. Maana huu ni ujinga sana.
Ungese huu Sasa, ijulikane tu ajira za gvt ni kwa ajili ya watoto wa vigogo haina haja ya kwenda kufanya paper
Hujakosea mama watoto.Huyo achana naye ameamua tuu kujitoa ufahamu.
Uwe unasoma sio unafeli unaleta porojo zako hapa si ajabu haujajibu hata swali moja na kwa discipline hii hufai kuajiriwa popote....PatheticHujakosea mama watoto.
πππ Mamamae afu ma genius wa JF wanakwambia Kama Ni bahati yako utapata tu wkt unaenda kushindana na watu wenye marking scheme tayari hahaha.