Mtihani wa usaili wa Tax Officer (TRA) wavuja

Hahahahahah kazi za TRA zina ulaji mwingi so kuzipata sio kizembe lazma connections ziwe live πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Zile story za GPA kubwa TRA sijui Nini Ni uongo mtupu.πŸ˜„πŸ˜„
Uzuri mbinu zimeonekana dhahiri! Kuna mwaka graduate mmoja muuza mkaa tu hapo mabibo zilitokea nafasi kama hizi watu wakapambana wee hapo tuko na bro tulipiga nae jiwe la kwanza hapo versity jamaa alikuwa smart sana kwenye kinyang’anyiro hiko maeneo ya DUCE tukafanikiwa kuwa top of the list candidates with average ya above B+ ila huyo bro ali lead kwa kutinga 80 plus out of all candidates!

Cha ajabu kwenye level two kwenye oral alienda bro na yule dogo muuza mkaa mi nikapigwa chini! Kama masihara yule dogo eti kala shavu ndani ya mwaka tu anasukuma premio anavimba mjini! Hakuwa top of the list candidates. Yule bro nae alipata now yuko TPA paleπŸ˜„
 
πŸ˜„πŸ˜„ Duh pole Sana mwanangu nadhani mpk hapo wewe mwenye 1st hand experience unaweza kua shuhuda mzuri wa urasimu wa utumishi.

Achana na hawa jamaa wanaokuja humu wanatupigia story zao za motivational speaker huko Utumishi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…