Mtihani wa usaili wa Tax Officer (TRA) wavuja

Mtihani wa usaili wa Tax Officer (TRA) wavuja

huyu samiah nae alisema atatoa professional works zaid ya 40,000. Ni kwanini wasimwage hizo kazi za TRA bila interview? mbona watu 9,000 ni wachache sana kwenye nafasi za tax na customs?

Afu mbona walimu na madaktari wao humwagiwa kazi bila interview. Utaskia walim 10,000 wameajiriwa na madokta zaidi ya 5,000 wamemwagiwa kazi bila interview yoyote.

Mi nashauri serikali iwe inamwaga kazi za TRA bila interview, maana kisheria na sheria za nchi hazielekezi interview bali graduate yeyote aliehitimu kwenye chuo kinachotambulika kwa serikali anahaki ya kupata kazi na ni wajibu kupata kazi. Sasa mainterview ya nini?
Hahaha mkuu unachekesha sana , acha kupenda kitonga mkuu pambana upate kazi mkuu acha kulia lia,
 
Hahaha mkuu unachekesha sana , acha kupenda kitonga mkuu pambana upate kazi mkuu acha kulia lia,
sio kitonga, kisheria na sheria zinaelekeza wazi kabisa mtu akigraduate apewe kazi na tiyari anauwezo wa kufanya kazi, hivo apewe kazi

na ni haki ya graduate yeyote aliehitimu chuo kinachotambulika kwa serikali kupewa kazi na sio mainterviews.

Sheria hazijaelekeza mainterviews, sasa mainterviews ya nini? ona sasa mainterviews yenyewe ndo hayo yameshavujishwa.
 
Kufuja kwa mtiani inakuadhir vep kufeli mtiani
Mtihani ukivuja kuna effect mzee ile sio proffessional exam kama CPA kuwa pass mark ni 40 so hata pepa ikivuja hakuna shida kazi ni kwako tu kufika 40 ambayo ni pass mark..

Tukija UTUMISHI hakuna fixed pass mark wao pass mark inategemea na perfomance ya intavuu..

So tuseme kama watu wasingeona pepa labda pass mark ingekua 50 hiv ila sasa kama watu wameona inamana itasababisha pass mark ipande mana mtihan utaonekena ulikua rahisi wengi wamefaulu wakati si kweli walikua na majibu kabla nishaonaga pass mark mpaka ya 70 sasa pass mark za hadi 70 ni ngumu kufika kama ushakaa miaka kadhaa kitaa akili ishasahau baadhi ya vitu vya shule ndio mana watu wanalalamika hapa kwann pepa ivuje ila baadhi wanakashifu wanasema haina madhara bila kuatafakari mara mbili...

Kwa hyo ka pepa imevuja kweli watafute namna ya kunisafisha mana sio fea kwa ambao walijaza kwa akili zao...

Sent from my TA-1004 using JamiiForums mobile app
 
Umefaulu kwa 55% lkn unakuta watu wengi tu wamefaulu kwa marks za juu kwny 80's huko kwenda juu sababu mtihani walivujishiwa then UTUMISHI wanasema waliopata 60% kwenda juu ndio wanapoenda round ya pili(Oral),mpk hapo hauja athirika sio?
Yan mijitu haiwazi mara mbili wanandika tu comment nimefafanua pia hili

Sent from my TA-1004 using JamiiForums mobile app
 
O

We Kuna majibu umepatia Kuna lingene umetuingiza Chaka mfano ilo principles of Customs valuation wewe umetuandikia Customs valuation methods ,,,Sasa toka lini Principles na Methods Ni sawa? Rudi darasani kasome Vizuri Customs valuation afu ulete majibu hapa,
Tudokeze hizo principles mkuu, umrudishe Nani darasani Elimu enyewe hii ya kibongo ya kusindikiza watoto wa vigogo
 
More updates
Nimeangalia majina ya Customs Officer II
Nimeona jina hili 'LENATHA SIVANGILWA MWANGESI' bila shaka atakuwa ni Mtoto wa Jaji Mwangesi ambaye ni Kamishna wa Maadili ya Viongozi wa Umma.

Hahahah mpk hapo nafasi 2(Dogo wa kabudi na wa huyo jaji)out of 5 zimeshanyukuliwa,wanyonge mna hali gani huko mlipo?
 
Hahahahah af watu wanajiamini kuwa watapambana watoboe kwenye mfumo huo! Unakuta madogo walipiga degree za education kabisa ila wanaingia kwenye Tax and customs😂
Hahah unazidi kuwachanganya kabisa Madogo mzee 😄😄😄
 
Back
Top Bottom