Atacms
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 4,884
- 8,924
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa hiyo bado tu wanaendelea kuvujisha taarifa?
kwamba zina vuja Taarifa sembuse mtihani duuh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa hiyo bado tu wanaendelea kuvujisha taarifa?
We nae kilaza sasa hujui kama wengi wakifaulu hata pass mark itaongezeka maana watu ni wengi sasa huoni itamcost mtu ambaye hakupata paper tumia akiliUsiende kaka.
kila mtu alizaliwa siku yake ataishi kwenye njia zake
lakini swali langu la kuvuja kwa mtihani kunaplkea vp ww kufeli. kwenye interview yangu alietuongoza kwenye written alifeli vbaya kwenye oral tena vibaya haswa.
kwanza kwenye oral lazima taasisi husika inayotaka mtumishi iwepo kwenye panel, ww bebwa kwenye written ila kama hunauwezo utanasa tu
Asante,We nae kilaza sasa hujui kama wengi wakifaulu hata pass mark itaongezeka maana watu ni wengi sasa huoni itamcost mtu ambaye hakupata paper tumia akili
Yaani kwa gharama za wadogo zetu tena? Na imepelekwa mbali zaidi ili pesa zitoke [emoji38]Paper itarudiwa na itakuwa Dar. Taarifa rasmi zitakuja. Hizo ni chini ya kapeti....
Kwako wewe option nzuri kwa serikali ni ipi? Warudie paper au watoe matokeo vilevile?Yaani kwa gharama za wadogo zetu tena? Na imepelekwa mbali zaidi ili pesa zitoke [emoji38]
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Wadogo woote wapewe kazi maana na wewe umevujisha taarifaPaper itarudiwa na itakuwa Dar. Taarifa rasmi zitakuja. Hizo ni chini ya kapeti....
Mhhh paper irudiwe tena dsm..khaaaa..!!Paper itarudiwa na itakuwa Dar. Taarifa rasmi zitakuja. Hizo ni chini ya kapeti....
Page nyingine iko wp
Hata wajikoshe vipi hawatatakata kamwe sisi wazazi tunaomba sheria kali zisafishe pale tume ya ajira.
kijana kutoka kigoma ametukosha sanaKijana kutoka Kigoma,
Anasema
“Fanya kile unachoweza kufanya, kinaweza leta mabadiliko”
Mimi nilikuwa na swali kidogo hapa hivi kwasisi ambao atukuenda Kufanya written hiyo tar 7 Aug kwahiyo wakirudia tunaeza kwenda au watatukataa??
ikitokea wakarudia nfikili unaruhusiwa, maana mchakato unaanza upyaaaaaaaaaMimi nilikuwa na swali kidogo hapa hivi kwasisi ambao atukuenda Kufanya written hiyo tar 7 Aug kwahiyo wakirudia tunaeza kwenda au watatukataa??
Asante mkuu.ikitokea wakarudia nfikili unaruhusiwa, maana mchakato unaanza upyaaaaaaaaa
Umeshindwa kutunza siri hiyo je wateja wako ukipata ajira itakuwajeKutoka kwa mdau,
Mimi ni kijana kutoka Kigoma, jana nimefanya written interview ya Tax Officer TRA inayosimamiwa na utumishi.
Baada ya kufanya paper tukaanza kusikia kuwa paper ilivuja, leo kuna mdau kanitumia hiyo paper.
Hii ni evidence tosha kuwa paper ilivuja maana mnapofanya huo mtihani taratibu zinataka ukusanye majibu yako pamoja na question paper, maana details zako unajaza kwenye question paper. Sasa hii paper imetoka wapi kama paper haikuvuja
Hii sio fair kabisa maana watu tumepoteza muda na hela. Personally nimetumia zaidi ya 200,000 kutoka Kigoma na kulala lodge.
Baada ya kufuatilia, nasikia watu walitumiwa mtihani kwenye group la whatsApp na wengine walikuwa wana-solve paper kwenye coaster wakitokea Dar
View attachment 1885554
Hii nchi haipo fair kabisa ni bora tu wawe wanawachagua watu wao wawaingize kwenye mfumo kuliko kutusumbua na kutupa gharama katika hiki kipindi ambacho tunapambana na tozo na matatizo kibao, huku hatuna ajira, wanataka vijana tuanze kujinyonga na kunywa sumu kwa frustrations?
Pia, soma=> Usaili wa Tax Officers waahirishwa