Mtihani wa usaili wa Tax Officer (TRA) wavuja

Pole sana mkuu. Ila usilate tamaa.
 
Usiende kaka.
kila mtu alizaliwa siku yake ataishi kwenye njia zake

lakini swali langu la kuvuja kwa mtihani kunaplkea vp ww kufeli. kwenye interview yangu alietuongoza kwenye written alifeli vbaya kwenye oral tena vibaya haswa.
kwanza kwenye oral lazima taasisi husika inayotaka mtumishi iwepo kwenye panel, ww bebwa kwenye written ila kama hunauwezo utanasa tu
Wewe uliona wapi mtu aliyewaongezea kwenye written kuwa kafeli usaili wa oral?
hivi ulichokiuliza umekisoma mara 2 ?
unaweza ukawa umetoboa huko written unaingia oral mara ung'ate kucha mara it is like that oooh sorry can i repeat unahisi utatoboa? kibaya hawajumlishi marks za written na oral.
 
Sawa mtalaamu, ila swali langu lilikuwa wewe ulijuaje miongoni mwa mliopangiwa vituo vya kazi yule aliyepata alama kubwa alifeli usaili wa mahojiano na hakupangiwa kituo cha kazi hadi hii leo.
 
Sawa mtalaamu, ila swali langu lilikuwa wewe ulijuaje miongoni mwa mliopangiwa vituo vya kazi yule aliyepata alama kubwa alifeli usaili wa mahojiano na hakupangiwa kituo cha kazi hadi hii leo.
Wapi nimesema hajapangiwa kituo cha kazi mpaka leo hii? ila hakuwemo kwenye ile list ya kwanza alikuja kupata baadae akitokea kwenye database.
 
Sie bwana chumba chetu tulihesabu namba tupo 150 ila karatasi zilivokuna kukisanywa zikahesabiwa zipo 152 mbili zimezidi sikuelewa

Unakumbuka zile hesabu za kwenda na moja kichwani au hesabu za kukopa?ndio ilitumika hapo mkuu.
 
Mwanangu acha tu Kwel nimeamini ng'ombe wa maskini hazai *****
Kuwa na imani kijana nao utumishi wanajielewa hawawezi acha hili lipite hivi hivi, maana ujumbe linatuma ujumbe mbaya mno kwa jamii, kwamba wao hawaajili wanawapa watu hasara na kuwasumbua , je si wajua wako chini ya Wizara gani na ipo hina ya nani, nahis watafanya kitu bora
 
O
We Kuna majibu umepatia Kuna lingene umetuingiza Chaka mfano ilo principles of Customs valuation wewe umetuandikia Customs valuation methods ,,,Sasa toka lini Principles na Methods Ni sawa? Rudi darasani kasome Vizuri Customs valuation afu ulete majibu hapa,
 
Hizi ni zama za connection mzee wng demu mwenye tako kubwa na drs la 7 lake analinga kuliko mwenye mtu mwenye Masters yake mjini
Yani hii dunia skuizi inaenda kasi sana, eti mwanamke akishakuwa mweupe ana matako makubwa tiyari kesha yapatia maisha.

Cha kushangaza anaonekana wa maana kuliko mwenye PhD, ila mwisho wao huwa ni mbaya na matako yao makubwa.
 
Kwenye hali kama hii kwenye jamii ikitokea uwe tajiri utakuwa very powerful na utachukiwa na wengi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…