Sio mbaya Kuna wakati TRA inahitaji whistle blower ili wakwepa wasiwepo jambo la muhimu iwe taarifa sahihi wakati sahihi kwa mamlaka sahihi kulingana na sheria/taratibu sahihiUmeshindwa kutunza siri hiyo je wateja wako ukipata ajira itakuwaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio mbaya Kuna wakati TRA inahitaji whistle blower ili wakwepa wasiwepo jambo la muhimu iwe taarifa sahihi wakati sahihi kwa mamlaka sahihi kulingana na sheria/taratibu sahihiUmeshindwa kutunza siri hiyo je wateja wako ukipata ajira itakuwaje
Watangaze tuu madogo warudie exams, tena waweke Dar wasilete upuuzi wao km uliopita kutugharamisha kuwalipia hadi guest kule kumbe mitihani wamewagawia watoto wao.
Sisi nguvu zetu ni duwa kwa watoto wetu.Hahahah unaweza shangaa watu wameshaingizwa kazini hapo TRA mkuu,nchi ina wenyewe hii.
Nafasi 6 nadhani.HIVYI NAFASI ZILIKUWA NGAPI?.
POLICE ND KICHEKESHO KABISA.
NILIFIKIRI UTANI KUMBE KWELI 6 NA WAKAENDA ZAIDI YA 100Nafasi 6 nadhani.
unataka waweke dar, kwami wale wa mikoani hawakutumia gharama? acha ubinafsiWatangaze tuu madogo warudie exams, tena waweke Dar wasilete upuuzi wao km uliopita kutugharamisha kuwalipia hadi guest kule kumbe mitihani wamewagawia watoto wao.
Watu wengi Dar wanandugu kuliko huko Uswekeni kwako. Pia huduma za kijamii kwenye center husika zinajitksheleza.unataka waweke dar, kwami wale wa mikoani hawakutumia gharama? acha ubinafsi
Lamenting is not a solution.Acha kulalamika, utapoteza muda wako. Riziki yako hakuna binadamu wa kuzuia usiipate, pambana.
Halafu achana na mawazo ya chuo kufikiri mtiani ndio kila kitu, tafuta namna tengeneza network.
NILIFIKIRI UTANI KUMBE KWELI 6 NA WAKAENDA ZAIDI YA 100
HUKO POLICE NA KUELEZEA VYETI VYA DIV 4 SIPATI PICHA
Motivational speakers bana.Usijisumbue kuomba hizo kazi kama wewe SIYO INTERN WA TRA , wala hujawahi fanya intern, hawawezi chukua mtu wa nje wakati wapo internal mwenye uzoefu ambaye alikuwa anajitolea tu, ni ushauei tu, si lazma.
Mkuu weka wazi, hizi taarifa maana wadogo zetu wanaingia gharama sana.Usijisumbue kuomba hizo kazi kama wewe SIYO INTERN WA TRA , wala hujawahi fanya intern, hawawezi chukua mtu wa nje wakati wapo internal mwenye uzoefu ambaye alikuwa anajitolea tu, ni ushauei tu, si lazma.
Wamekusikia..Usijisumbue kuomba hizo kazi kama wewe SIYO INTERN WA TRA , wala hujawahi fanya intern, hawawezi chukua mtu wa nje wakati wapo internal mwenye uzoefu ambaye alikuwa anajitolea tu, ni ushauri tu, si lazma.
ACHA UONGO MKUU HUU SIYO USAILI HUU ULIKUWA MTIHANI WA ZAMANI WALA SIYO WA SASAHIVI HUU NILISHAGAUONA KAMA MWAKA AU MIWILI IMEPITA SIYO WA SASA UMEWALISHA WATU MATANGO POLIKutoka kwa mdau,
Mimi ni kijana kutoka Kigoma, jana nimefanya written interview ya Tax Officer TRA inayosimamiwa na utumishi.
Baada ya kufanya paper tukaanza kusikia kuwa paper ilivuja, leo kuna mdau kanitumia hiyo paper.
Hii ni evidence tosha kuwa paper ilivuja maana mnapofanya huo mtihani taratibu zinataka ukusanye majibu yako pamoja na question paper, maana details zako unajaza kwenye question paper. Sasa hii paper imetoka wapi kama paper haikuvuja
Hii sio fair kabisa maana watu tumepoteza muda na hela. Personally nimetumia zaidi ya 200,000 kutoka Kigoma na kulala lodge.
Baada ya kufuatilia, nasikia watu walitumiwa mtihani kwenye group la whatsApp na wengine walikuwa wana-solve paper kwenye coaster wakitokea Dar
View attachment 1885554
Hii nchi haipo fair kabisa ni bora tu wawe wanawachagua watu wao wawaingize kwenye mfumo kuliko kutusumbua na kutupa gharama katika hiki kipindi ambacho tunapambana na tozo na matatizo kibao, huku hatuna ajira, wanataka vijana tuanze kujinyonga na kunywa sumu kwa frustrations?
Pia, soma=> Usaili wa Tax Officers waahirishwa