Mtihani wa usaili wa Tax Officer (TRA) wavuja

Mtihani wa usaili wa Tax Officer (TRA) wavuja

Acha kulalamika, utapoteza muda wako. Riziki yako hakuna binadamu wa kuzuia usiipate, pambana.

Halafu achana na mawazo ya chuo kufikiri mtiani ndio kila kitu, tafuta namna tengeneza network.
Lamenting is not a solution.
Japo inakatisha tamaa ila nakushauri hizi ni changamoto za maisha shukuru Mungu kwa yote piga moyo konde angalia connection nyinginezo pata kazi au jiajiri. Maana kama umeweza kutumia 200,000 mpk dsm kumbe unauwezo wa kujiajiri kwa mtaji mdogo.
Stay strong and be positive, we struggle together.
 
Usijisumbue kuomba hizo kazi kama wewe SIYO INTERN WA TRA , wala hujawahi fanya intern, hawawezi chukua mtu wa nje wakati wapo internal-staff mwenye uzoefu ambaye alikuwa anajitolea tu, ni ushauri tu, si lazma uffuate.

vijana fikirini kujiajiri na kuondoa viongozi ambao hawapangi namna ya kuongeza ajira ila wanapanga namna ya kujiongezea kinga , yaani UZUZU.
 
Usijisumbue kuomba hizo kazi kama wewe SIYO INTERN WA TRA , wala hujawahi fanya intern, hawawezi chukua mtu wa nje wakati wapo internal mwenye uzoefu ambaye alikuwa anajitolea tu, ni ushauei tu, si lazma.
Motivational speakers bana.
 
Usijisumbue kuomba hizo kazi kama wewe SIYO INTERN WA TRA , wala hujawahi fanya intern, hawawezi chukua mtu wa nje wakati wapo internal mwenye uzoefu ambaye alikuwa anajitolea tu, ni ushauei tu, si lazma.
Mkuu weka wazi, hizi taarifa maana wadogo zetu wanaingia gharama sana.
 
Kutoka kwa mdau,

Mimi ni kijana kutoka Kigoma, jana nimefanya written interview ya Tax Officer TRA inayosimamiwa na utumishi.

Baada ya kufanya paper tukaanza kusikia kuwa paper ilivuja, leo kuna mdau kanitumia hiyo paper.

Hii ni evidence tosha kuwa paper ilivuja maana mnapofanya huo mtihani taratibu zinataka ukusanye majibu yako pamoja na question paper, maana details zako unajaza kwenye question paper. Sasa hii paper imetoka wapi kama paper haikuvuja

Hii sio fair kabisa maana watu tumepoteza muda na hela. Personally nimetumia zaidi ya 200,000 kutoka Kigoma na kulala lodge.

Baada ya kufuatilia, nasikia watu walitumiwa mtihani kwenye group la whatsApp na wengine walikuwa wana-solve paper kwenye coaster wakitokea Dar

View attachment 1885554

Hii nchi haipo fair kabisa ni bora tu wawe wanawachagua watu wao wawaingize kwenye mfumo kuliko kutusumbua na kutupa gharama katika hiki kipindi ambacho tunapambana na tozo na matatizo kibao, huku hatuna ajira, wanataka vijana tuanze kujinyonga na kunywa sumu kwa frustrations?

Pia, soma=> Usaili wa Tax Officers waahirishwa
ACHA UONGO MKUU HUU SIYO USAILI HUU ULIKUWA MTIHANI WA ZAMANI WALA SIYO WA SASAHIVI HUU NILISHAGAUONA KAMA MWAKA AU MIWILI IMEPITA SIYO WA SASA UMEWALISHA WATU MATANGO POLI
 
Back
Top Bottom