Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Mmmh. . . .
Na baada ya kupokea?Unaona kuna uhitaji wa kurudisha (na wewe kutoa zawadi)?
Sasa hapo itategemea. Itategemea na kama na mimi nami nimeshampa ya kwake. Kama nitakuwa nimeshampa kutakuwa hakuna haja tena ya mimi kurudisha maana nikifanya hivyo na yeye akifanya hivyo baada tena ya kupokea ya kwangu hatutamaliza kupeana hizo zawadi na itakuwa si kupeana zawadi tena bali utageuka kuwa ni mchezo na kupoteza kabisa maana.
Ila mimi kwa jinsi nilivyo, nikishampa mtu zawadi huwa sitegemei wala kutarajia kuwa na yeye atanipa zawadi. Huwa napata faraja ya kuridhisha kabisa pale nisikiapo 'akhsante Ngabu'.