Mtikila: Kagame amepenyeza Wanyarwanda 35,000 Tanzania, Burigi, katika Wilaya ya Muleba

Mtikila: Kagame amepenyeza Wanyarwanda 35,000 Tanzania, Burigi, katika Wilaya ya Muleba

mtikila na wenzake wanao muunga mkono wamefikia mwisho wa kufikiria.....hivi mi nashangaa hii nchi kuna ubaya gani mtu kuwa Mnyarwanda? Haki ya mama mzungu anaishi raha mstarehe humu nchini kuliko mnyarwanda amabaye huwezi kumtambua kwa sura wala lugha.....acheni ubaguzi
 
TISS waje wajibu hizi shutuma nzito kwa vyombo vya usalama
 
mtikila na wenzake wanao muunga mkono wamefikia mwisho wa kufikiria.....hivi mi nashangaa hii nchi kuna ubaya gani mtu kuwa Mnyarwanda? Haki ya mama mzungu anaishi raha mstarehe humu nchini kuliko mnyarwanda amabaye huwezi kumtambua kwa sura wala lugha.....acheni ubaguzi

Inasikitisha sana yaani, watu wanasahau ukweli kwamba kihistoria tanganyika, rwanda na burundi ziliwahi kuwa nchi moja, chini ya mamlaka moja ndani ya nchi ikiitwa German East Africa??
 
huyu mzee Mtikila serikali huwa inampuuza na kumwona kama hamnazo vile lakini kiukweli mambo ambayo huwa anayatoa ni kweli tupu! Kagame na Mseveni lao ni moja...kumega ardhi ya Tanzania yaani mkoa wa Kagera uende Uganda na Kigoma uende Rwanda! kila mwaka mseveni anasogeza mpaka wake kuingia ardhi ya Tz. beacons za mpaka zimeng'olewa, waganda wanalima katika ardhi yetu na wanamiliki kuwa ni mali yao! Kagame yeye anaruhusu wafugaji wa nchi yake kuingiza ng'ombe katika misitu ya hifadhi ya nchi yetu. kagame ameruhusu wanawake wa kinyarwanda waolewe na watanzania lakini kamwe wao na watoto wanaozaliwa hawaachi asili yao. wanasoma katika nchi yetu wanakuwa viongozi tangu ngazi za vitongoji, wanawakaribisha ndugu zao toka Rwanda. idadi yao inaongezeka na kuwa threat kwa usalama wa TZ, but the giant Tanzania is sleeping! mkitaka kujua Kagame na Mseveni lao ni moja na wako against Kikwete tafakari hili. hivi karibuni baada ya serikali yetu kupitia Waziri Membe kutoa tamko dhidi ya wapiganaji wa M23 kwamba tutapeleka majeshi yetu DRC Kagame na Mseveni waligoma kuhudhuria hafra moja ya EAC huko Arusha. walituma wawakilishi wao tu! Our dear President Kikwete and TISS wake up and ACT now! sisi tunaweza tukafa leo lakini tukawaachia matatizo watoto na wajukuu wetu kesho!

Hapo kwenye Black, naomba nikwambie, uliicho andika hata mimi nakuuknga mkono sana tu pamoja na makala nzima ya Rev. Mtikila, issue iko hivi, hawa unaotaka waamke wako busy na kuiua CHADEMA tu na sio maendeleo ya Bongo.
 
Ninakuunga mkono asilimia 100% ndugu yangu...mtikila amezoeleka na ninaona chanzo chake ni kanisa hilo la Butera....sisi ni ndugu na kama mtikila anahubili huo uongo ninashangaa kama kweli ni mcungaji .....

Samahani mkuu, jina lako ni kama linanasaba ya huko kunako tuhumiwa hivi? kama ni kweli, nadhani kwa issue ya conflict of interest ni sahihi wewe kuandika hivyo!
 
Hii ishu ni kweli kabisa, kuna makala ya Mihangwa kwenye gazeti la Raia Mwema kama wiki tatu zilizopita alianza kuelezea kuhusu M7 na PK kuwa na mpango wa kuanzisha Jamhuri ya Wahima katika eneo la maziwa makuu, jamhuri hiyo itaanzishwa kwa kuunganisha UG RWA na eneo la Mashariki ya DRC na maeneo ya Magharibi ya TZ, lakini wiki iliyofuata makala hiyo haikuendelezwa, nadhani kuna mchezo ulifanywa na wahusika wa hilo gazeti.

Lakini PK na M7 wanajidanganya, sisi si wajinga na mbinu hizi chafu zitabackfire kwao kwa sababu zinajulikana na jumuiya nzima ya kimataifa ni ishu ya muda tu.
 
Hii ishu ni kweli kabisa, kuna makala ya Mihangwa kwenye gazeti la Raia Mwema kama wiki tatu zilizopita alianza kuelezea kuhusu M7 na PK kuwa na mpango wa kuanzisha Jamhuri ya Wahima katika eneo la maziwa makuu, jamhuri hiyo itaanzishwa kwa kuunganisha UG RWA na eneo la Mashariki ya DRC na maeneo ya Magharibi ya TZ, lakini wiki iliyofuata makala hiyo haikuendelezwa, nadhani kuna mchezo ulifanywa na wahusika wa hilo gazeti.Lakini PK na M7 wanajidanganya, sisi si wajinga na mbinu hizi chafu zitabackfire kwao kwa sababu zinajulikana na jumuiya nzima ya kimataifa ni ishu ya muda tu.
Mkuu kuna habari nimesoma kwenye gazeti Jeshi la Uganda likisema wanasisa wasipo eleweka au kuleta upinzani basi jeshi litachukuwa madaraka kinguvu na M7 anasapoti vitu kama hivyo, hii inatoa picha gani - kwamba jama huyu atabaki madarakani 4 life na akiondoka atamrithisha labda mtoto wake au jamaa wake wa karibu - yuko radhi ku-muzzle mambo ya demokrasia nchini Uganda kwa visingizio kwamba akiondoka nchi itavurugika! Fikila za M7 na Kagame azina tofauti hata kidogo, wote wanataka wabaki madarakani kwa kisingizio chochote kile na ndoto zao za kiimla za kutaka kijitanua ndani ya maziwa makuu nk bado hazijafa, uzuri ni kwamba the World is watching .Mkuu kwa nini unashangaa kuhusu makala ya Ndugu Mihangwa kutoendelezwa - Don't ask the obvious mkuu!
 
mfutilieni yule dogo wa ishu ya hayati daudi mwangosi ni raia wa nchi gani ndo mtajua hakuna kitu hapa tz pia nenda CCP kitengo cha milipuko ndo mtachoka
 
huyu mzee Mtikila serikali huwa inampuuza na kumwona kama hamnazo vile lakini kiukweli mambo ambayo huwa anayatoa ni kweli tupu! Kagame na Mseveni lao ni moja...kumega ardhi ya Tanzania yaani mkoa wa Kagera uende Uganda na Kigoma uende Rwanda! kila mwaka mseveni anasogeza mpaka wake kuingia ardhi ya Tz. beacons za mpaka zimeng'olewa, waganda wanalima katika ardhi yetu na wanamiliki kuwa ni mali yao! Kagame yeye anaruhusu wafugaji wa nchi yake kuingiza ng'ombe katika misitu ya hifadhi ya nchi yetu. kagame ameruhusu wanawake wa kinyarwanda waolewe na watanzania lakini kamwe wao na watoto wanaozaliwa hawaachi asili yao. wanasoma katika nchi yetu wanakuwa viongozi tangu ngazi za vitongoji, wanawakaribisha ndugu zao toka Rwanda. idadi yao inaongezeka na kuwa threat kwa usalama wa TZ, but the giant Tanzania is sleeping! mkitaka kujua Kagame na Mseveni lao ni moja na wako against Kikwete tafakari hili. hivi karibuni baada ya serikali yetu kupitia Waziri Membe kutoa tamko dhidi ya wapiganaji wa M23 kwamba tutapeleka majeshi yetu DRC Kagame na Mseveni waligoma kuhudhuria hafra moja ya EAC huko Arusha. walituma wawakilishi wao tu! Our dear President Kikwete and TISS wake up and ACT now! sisi tunaweza tukafa leo lakini tukawaachia matatizo watoto na wajukuu wetu kesho!

TISS wamelala usingizi fofo. Wao wanadhani kazi yao ni kulinda utawala wa ccm usitoke madarakani kwa kuandama wote wanaotishia utawala huo hasa CDM.
Vitu vinavyonipa wasiwasi mkubwa wa usalama wa nchi yetu hapo baadaye ni uhamiaji haramu. Yaani ni rahisi mno watu kuingia nchi hii na wakatulia kimya! kama wao ni wenyeji vile. Wasomali na wanyarwanda ni watu wanaoingia sana nchini kwetu. Kwa mfano mtu anatoka Rwanda na mifugo yake au Uganga anakuja kuchunga Tanzania hivi inaingia akilini kweli?
Mikoa kama Kagera ni vyema mifugo ikapigwa marufuku au ikawekwa kiwango kisichozidi ng'ombe 10 mtu kuwa nayo.
Hivohivyo mkoa wa Morogoro na mikoa mingine ya wakulima mifugo ipigwe marufuku ili kulinda mazingira ya kilimo hapo badae.
Haya madai ya Mtikila pamoja na kwamba haina ukweli wote na kujaa uzishi mfano kusema Nyerere anahusika kuunda dola ya kitutsi ina mambo ya kuzingatia kama uhamiaji haramu. Ukweli ni kuwa hifadhi za serikali kuanzia mkoa wa Geita mpaka Kagera na Kigoma kumejaa mifugo ya wanyarwanda na inaharibu mazingira balaa. Nchi yetu inaingiliwa kirahisi mno.
 
Inasikitisha sana yaani, watu wanasahau ukweli kwamba kihistoria tanganyika, rwanda na burundi ziliwahi kuwa nchi moja, chini ya mamlaka moja ndani ya nchi ikiitwa German East Africa??

Kwa hiyo kama ziliwahi kuwa nchi moja ndo iwe kigezo cha kuingiza mifugo kiholela Tanzania, kuharibu mazingira, kuua na kufanya uharamia?
 
Hiyo nondo safi sana japo inahitaji editing kuweka mtiririko na kuadjust some few facts.
Hawa watutsi kuliko wahindi mkuu, wana plots za hatari sana kuhusu mstakabali wa Congo na Tanzania, sisi tunalala au kupokea rushwa tu.
Juzijuzi tulisikia wananchi wameanza kuwafurusha wahamiaji haramu wenyewe, mara viongozi wameingilia wanajidai itashughulikiwa na serikali, mbona hatuoni kitu. Wakati watutsi wameshajichimbia na silaha ndani ya nchi yetu viongozi wetu wala rushwa wakubwa wanawaambia wananchi wasubiri serikali itawatoa. Tatizo kubwa kama anavyosema mtikila watutsi wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa kupandikiza wenzao kwenye uongozi wa nchi yetu.
Ila huu ujanja wa watutsi mwisho wake yatawakuta ya rwanda. Hatuombei ila wajue wabantu sio wajinga.
 
...Huyu mzee Mtikila serikali huwa inampuuza na kumwona kama hamnazo vile lakini kiukweli mambo ambayo huwa anayatoa ni kweli tupu!....
Hapana haimpuuzi bali ina mtumia kuwajulisha "hao" kuwa nyendo zao zinajulikana
 
Mwezi wa 12 mwishoni Kanali wa jeshi pale makao makuu alibainika kuwa ni mnyarwanda na akawekwa kwa mahojiano maalumu asubuhi alifanikiwa kuwatoroka walinzi wake na kukimbilia rwanda hii ni habari ya kweli na hivi kuna issue inafukuta ndani ya JWTZ kuficha hii habari lakini jamaa wametuzidi sana wapo hata wakuu wa vitengo pale TISS hii nchi haina utawala
 
kwa kweli waraka huu umenihuzunisha, yani ni kweli tupu...mimi kama mwenyeji wa maeneo yaliyotajwa nakiri wazi kuwa maneno ya mch. mtikila ni kweli tupu. Kumuhusisha Peter serugamba a.k.a Peter serukamba myarwanda ,ambaye pia anasadikiwa kuwa mtunga sheria katika serikali ya Tanzania hapo sina la kusema ila kwa maelezo ya kagera ni halisi na kweli, ila kwa hali ya siasa za tanzania mtikila atapuuzwa. Mahala ambapo mtikila hajatusaidia ni nini rais wetu afanye kunusuru wanakagera hasa wahaya na wasukuma, nakumuka wanyarwanda walishafika mpaka rushwa na kyansheshe na ruhita nzima kwa kuweka ranchi za hatari,kuna hadi tajiri mmoja aishie nshamba anayesemekana kuwa agent wa mtandao huu hasa upande wa kuora mifugo na ardhi pamoja na makazi ya watu waishio maeneo ya rushwa,aparushwa ni jina la eneo , wanajf msihisi naongelea rusha ile muijuayo. Aya mambo yanajulikana na usalama wa taifa unajua ila ni kuwa tatizo kuu ni conspiracy ya viongozi wakubwa katika nchi yetu kuhusika,Taifa letu si salama na ni njia ya mabwana wa vita hasa uku chini maeneo ya kusini wma jangwa la sahara ikiwemo congo n.k kama ndege za kivita zinaingia migodini ardhini uko kanda ya ziwa bila hata kutua airport ya mwanza au hata kukaguliwa na kuondoka na madini ikiwemo kubadlishana silaha za kivita, na ndege za kiarabu tena za kivita kuingia nchini na kubeba mpaka wanyapori kama twiga , tutaweza kuiita tanzania kuwa ni salama na mipaka yake??

Wananchi wa biharamulo, buligi , ngote, nsheshe,muleba,mubunda,katoke, kigarama , rushwa na kwingineko ni mashaidi wazuri wa utumwa asemao mch mtikila, ila nijuavo si wasukuma tu wanaoonewa bali hata wahaya , na hata wanyamwezi na waliohamia kutoka kwingineko tanzania wanapata wakati mgumu maishani...


ugumu utakuja pale tu kwa kuwa wanyarwanda waliohamia maeneo aya hakuja jana wala mwaka 2007 asemavyo mtikila ila hata wengine wana maisha ya kudumu tanzania japo si raia,mfano ukiangalia shule za sekondaro pale biaramulo hasa uko omulugwanzwa na kwingineko asilimia 80% ni wanyarwanda, ma headmaster wanyaru,nk nk, je unaanzaje kuiengua jamii hii ya wanyarwandwa nchini Tanzania?? Mfano nenda siku za kufunga shule uko biahramulo, mabasi yote uelekea rwanda na burundi kurejesha wanafunzi kwa ndugu zao yani ni kama kwao ...TANZANIA NI MOJA YA MAAJABU YA DUNIA
 
mtikila na wenzake wanao muunga mkono wamefikia mwisho wa kufikiria.....hivi mi nashangaa hii nchi kuna ubaya gani mtu kuwa mnyarwanda? Haki ya mama mzungu anaishi raha mstarehe humu nchini kuliko mnyarwanda amabaye huwezi kumtambua kwa sura wala lugha.....acheni ubaguzi

tatizo si unyarwanda, tatizo ni taratibu za uhamiaji na utii wa sheria pamoja na tamaduni za mahala ulipohamia, wee upati masaibu tunayoyapata kagera ndo maana unakenua na kushangilia...alaf unasema huwezi kumtambua kwa sura mnyarwanda ivi kweli uko serious au umeamua kuandika andika,yani hata sura, lafudhi na mavazi unajua tu bila hata kuambiwa unless wewe ni tahaira asietambua lol0te/////////
 
Mwezi wa 12 mwishoni Kanali wa jeshi pale makao makuu alibainika kuwa ni mnyarwanda na akawekwa kwa mahojiano maalumu asubuhi alifanikiwa kuwatoroka walinzi wake na kukimbilia rwanda hii ni habari ya kweli na hivi kuna issue inafukuta ndani ya JWTZ kuficha hii habari lakini jamaa wametuzidi sana wapo hata wakuu wa vitengo pale TISS hii nchi haina utawala

Unasemaje?? Waweza wekea nyama kidogo hii issue? Wanachi chukueni maamuzi kwa kila munayemhusiki ni mhujumu nchi kama wanavyofanaya Mtwara.
 
mtikila aliwahi kusema katibu mkuu wa sasa wa nccr mageuzi sam ruhuza anaandaa jeshi la uasi kwa msaada wa kagame na kwamba eti sam amekua akikutana na kagame mara kwa mara! bahati nzuri sam ni mshkaji wangu sana tu na wala huyo kagame hajawahi hata kukutana nae na wala hamjui zaidi ya kumuona kwenye luninga tu,hiyo ilikua 1995!

Ila this time amegusa pabaya,amemgusa kagame,tusubiri kuona akigongwa na gari au akivamiwa na majambazi wasiojulikana na kuuwawa

Peleka huko Unyarwanda wako wewe. Amegusa pabaya, kwa hiyo wewe umegusa pazuri? Kazi kutumia masaburi tu kufikiria.
 
Back
Top Bottom