Mtikila: Kagame amepenyeza Wanyarwanda 35,000 Tanzania, Burigi, katika Wilaya ya Muleba

Mtikila: Kagame amepenyeza Wanyarwanda 35,000 Tanzania, Burigi, katika Wilaya ya Muleba

Watanzania wazalendo, fukuzeni waziwazi hao wahamiaji haramu mnaofanya nao kazi maofisini, hebu geuka kulia na kushoto hesabu ni wangapi, waambieni wafungashe!
 
Haiwezekani mtu atoe waraka wote huu,uwe uongo kuna kaukweli fulaniSent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
TISS na vyombo vingine vya dola visimpuuzie Mch.Mtikila, jamaa huyu noma - yaani Wilaya, Kata, Vitongoji, Vijiji na wote wale walio tajwa na Mtikila wapo kweli. Sijui utafiti anafanya kutumia njia gani!
 
tiss na vyombo vingine vya dola visimpuuzie mch.mtikila, jamaa huyu noma - yaani wilaya, kata, vitongoji, vijiji na wote wale walio tajwa na mtikila wapo kweli. Sijui utafiti anafanya kutumia njia gani!

watanzania tunarasilimali kubwa sana za watu ambazo hatuzitumii vizuri, mtikila ni kichwa kamwamsha mkuu wa kaya usingizini huku akimweka dikteta kagame katika wakati mgumu zaidi katika jitihada zake za kuanzisha hima empire kwa gharama za mauaji ya wahutu na wakongoman
 
Huyu jama anayejiita mchungaji huwa nashindwa kabisa kumwelewa ni nini asa plan ake.
maana sam times anajipendekeza serekalini mara apingane na serikali. Sijui nini anataka pengini ubunge wa viti maalum kama Mbati.
Embu nisaidieni wana jf kwa anayemsoma huyu jamaa aliyeshindwa uchungaji na siasa maana chama chake akina ata diwani.
 
Mtikila ana vitimbwi bwana!
Hivi ile kesi yake ya yeye kushikwa makalio iliisha?



JF bana, 'home of great thinkers'

Juzi hapo huyo Mtikila alisema mabomu ya Arusha yalipangwa na CHADEMA, akapondwa sana humu na matusi juu yake.

Leo the same Mtikila kaibuka na jingine la shutma dhidi ya watutsi, ila leo amekua shujaa na mzalendo, mzalendo anayediriki hata kumwita Mwalimu JK Nyerere "baba wa watutsi",
Hata wanazi wa CHADEMA humu JF wanasema eti Mtikila sio wa kumpuuzia, real?

Kwa mtanzania kila mtu atakua adui sasa si mkenya wala mnyarwanda bado mzanzibari na mmalawi.
Kazi kwelikweli!

Na kama hizi ndio fikra za 'great thinkers' then ukombozi utaendelea kuwa msamiati wa kigeni.
 
Mwezi mchanga unapoandama hali kama hii itamkuta Mtilkila,habari yenyewe ndefu mno hebu pitia tena notice zako za com100
 
Taarifa hii ya mtiiika kwanini isijadikiwe bungeni Mbona anahoja nzito!! Au ni mzushi? Pia ukisoma vizuri unaona picha kuwa uraia wake ni tata.
 
kumbe lengo kuu la kagame, inasemekana anao mpango in the near future, kuteka maeneo ya Kagera,Ngara, Karagwe na sehemu za mkoa wa Kigoma, kuwa maeneo ya Rwanda kama alivyokuwa amefanya idi amin dadaa kwa mkoa wa kagera. inasemekana kuna imani huko Rwanda kuwa maeneo hayo yalikuwa ni maeneo ya Rwanda miaka hiyo ndio maana watu wa maeneo hayo wanakaribiana kwa kufanana sura.

kuna mpango wa kuja kuivamia tz....hahaha. hivi, chukulia mfano, maeneo ya katavi,kibondo, karagwe,bukoba,ushirombo, kahama, biharamulo n.k ambako asilimia kubwa ya wakazi ni asili ya Rwanda, siku wakianzisha vurumai kama walivyoianzisha goma, wanataka kukata vipande kadhaa vya Tanzania maeneo hayo hapo juu na maeneo kadhaa ya congo, ili nchi ya Rwanda ambayo ni ndogo kulingana na watu, walau wapate maeneo ya ku extend. TANZANIANS BEWARE OF THIS, tufukuze hawa watu warudi kwao wote, asibaki hata mmoja kama tunataka amani kwa nchi yetu. sasa hivi hatuwezi kuona madhara, lakini kwa miaka ya baadaye, watoto na wajukuu wetu wataingia tu vitani. amini usiamini. mpaka kati yetu na nchi hizo uwekwe vizuri kuanzia leo, na jeshi liwekwe kule.

tatizo ni kwamba, tukiwaruhusu wakiwa raia tu, watakuwa wanapigana wakijifanya wao ni raia wa tz kama wanavyopigana kule congo, na rwanda wamepakana nayo watakuwa wana pata suply ya silaha.
 
Ana ndoto za mchana kweupe. Wilaya kama vile ya Kinondoni, ipigane na kuteka nchi inawezekana kweli.
 
Ana ndoto za mchana kweupe. Wilaya kama vile ya Kinondoni, ipigane na kuteka nchi inawezekana kweli.

yawezekana kabisa mbona Israel ni nchi ndogo inawachapa waarabu(waislamu) dunia nzima. HAHA HAHA israel ni noma.
 
It might be true and yet it might not...
 
Back
Top Bottom