Mtikila: Kagame amepenyeza Wanyarwanda 35,000 Tanzania, Burigi, katika Wilaya ya Muleba

Mtikila: Kagame amepenyeza Wanyarwanda 35,000 Tanzania, Burigi, katika Wilaya ya Muleba

hakuna ubishi kuwa jiji la dsm limejaa wahamiaji haramu kuanzia sinza, tegeta wanayo maduka mengi na wanaishi kama watz, wamejichanganya maeneo mengi sana hapa dsm na si rahisi kwao kujulikana. wengi wao wanajiita waha toka kigoma, wengine wanajiita wahaya. naomba serikali ile operation ya kagera kigoma rukwa ikimalizika, tuanze na jiji na dsm na mwanza. mwanza ndio wamejaa wengi wa kumwaga. mji wa kahama ndio matajiri walio wengi ni wanyarwanda, na makahaba wa kahama na mwanza walio wengi wametoka rwanda. wale wa kahama nenda bar ya bijampola ujipakulie wa kumwaga. wanunuzi wakubwa wa mchele shinyanga ni wanyarwanda, wamejenga sana kahama, shinyanga, runzewe, biharamuro ndio usiseme.. kule kwetu kigoma asilimia kubwa ni wao.
Tatizo baya watutsi wakijaa wanaanzisha m23 kupigania kutawala kwani ukuu iko kwenye damu yao. Hata wakiwa 100 wanataka watoe mbunge.
 
Kuna tofauti kati ya watu wa mpakani na wakazi wa nchi za jirani,ni kosa kumuita muhangaza ni mnyaruanda au mtu wa kigoma mrundi au mtu wa tukuyu mmalawi au mjaluo wa mpakani ni mkenya! Tegeta,ununio,boko,bunju,mapinga wamejaa waha wa kigoma.
 
Ni kweli kabisa tatizo hawa watu ni wajanja sana , wanawawahi Watanzania na kuwaoa kwa fujo Mfano, Mkenya kabira la Jaruo akija Dar anajifanya wa musoma anachumbia na kuoa, vile vile Mnyaru /Mrundi/Mganda/ mmakonde/ na wangazija hivyo tanzania ni shamba la bibi, lakini wabaya zaidi ni wanyarwanda wahindi na wasomali wao ujiona ndio wao baada ya kuvuna wanachotaka hurudi kwao haraka na kuwaacha wake zao solemba. Wamejaa sana kinondoni na ilala
 
hakuna ubishi kuwa jiji la dsm limejaa wahamiaji haramu kuanzia sinza, tegeta wanayo maduka mengi na wanaishi kama watz, wamejichanganya maeneo mengi sana hapa dsm na si rahisi kwao kujulikana. wengi wao wanajiita waha toka kigoma, wengine wanajiita wahaya. naomba serikali ile operation ya kagera kigoma rukwa ikimalizika, tuanze na jiji na dsm na mwanza. mwanza ndio wamejaa wengi wa kumwaga. mji wa kahama ndio matajiri walio wengi ni wanyarwanda, na makahaba wa kahama na mwanza walio wengi wametoka rwanda. wale wa kahama nenda bar ya bijampola ujipakulie wa kumwaga. wanunuzi wakubwa wa mchele shinyanga ni wanyarwanda, wamejenga sana kahama, shinyanga, runzewe, biharamuro ndio usiseme.. kule kwetu kigoma asilimia kubwa ni wao.


Ni kweli umenena, wahamiaji haramu wengi wapo Dar na siyo rahisi kuwatambua. wengi wapo tegeta, boko kawe mpaka bunju na nk. ukikutana nao watakwambia wanatoka mkoa wa kigoma na ukitaka kujua watakwambia manyovu. mimi binafsi nilikwahi kukutana na mmoja akawa anadai ni mtu wa kigoma, lakini kila mwaka akawa haendi hata kuona wazazi, nikawa nazidi kutaka kujua, siku moja akasafiri kumbe alikuwa ameenda Tabora ulyankuru kambini kuwaona baadhi ya ndugu zake, pia alisafiri mpaka Kigari Rwanda mpaka Bujumbura Burundi. aliporudi siku moja tukakutana na mtu aliyejua alipokuwa akamuuliza umewaacha bujumbura wazima? akabaki mdomo wazi akajibu kwa kinyonge, baadae akaniambia ukweli wakati anatafuta uraia wa Tanzania. kwa sasa anaishi bunju. ndugu zake wengine wapo ubungo maziwa na kawe.

Pia wakati nasoma Tabora nilisoma na baadhi yao kutoka Kambi ya wakimbizi ya ulyankuru, mwaka jana nilikutana na mmoja mlimani city, kwa sasa anatumia jina lingine lakini wakati tunasoma alikuwa anaitwa NDAYIZEYE. Huu ni mfano tu.
 
hakuna ubishi kuwa jiji la dsm limejaa wahamiaji haramu kuanzia sinza, tegeta wanayo maduka mengi na wanaishi kama watz, wamejichanganya maeneo mengi sana hapa dsm na si rahisi kwao kujulikana. wengi wao wanajiita waha toka kigoma, wengine wanajiita wahaya. naomba serikali ile operation ya kagera kigoma rukwa ikimalizika, tuanze na jiji na dsm na mwanza. mwanza ndio wamejaa wengi wa kumwaga. mji wa kahama ndio matajiri walio wengi ni wanyarwanda, na makahaba wa kahama na mwanza walio wengi wametoka rwanda. wale wa kahama nenda bar ya bijampola ujipakulie wa kumwaga. wanunuzi wakubwa wa mchele shinyanga ni wanyarwanda, wamejenga sana kahama, shinyanga, runzewe, biharamuro ndio usiseme.. kule kwetu kigoma asilimia kubwa ni wao.

Wewe huna akili kabisa hii si operation ya kuwaondoa wanyarwanda bali wahamiaji haramu mbona wazito sana kuelewa mtu hana kibali cha kuishi nchini na hana mpango wa nini si arudi nyumbani kwao. Elewa somo mkuu usipayuke kitu ambayo hujaelewa
 
asante kwa taarifa , japo ndoa za baadhi yetu ziko mashakani .
 
Naona sasa wahamiaji wameanza kuingia katika Forum hii .Nadhani ni vyema watu hawa wakaguliwe mapema kabla ya vitambulisho vya Taifa .Tubakie wenyewe .
 
vyombo husika vitekeleze wajibu na majukumu yao kama inavyostahili.
 
Mbona wasomali wamejazana Aziz Ally kwa Kabuma? Unga, danguro, risasi kwan ni kawaida. Dah haka kanchi haka
 
Miaka nenda miaka rudi tangu kabla na baada ya uhuru, suala la uraia wa Watanzania halikuwahi kuwa kipaumbele cha uongozi wa nchi. Hivyo, walioweza kujipenyeza na kujijengea ukaazi hapa ilikuwa rahisi sana kufanya hivyo. Wako waliolazimika kuingia kama wakimbizi; wako walioingia kufuata rasilimali kubwa hasa ardhi ambayo ni ngumu sana kuipata katika nchi zao; na wako wajanja walioona fursa kibao za kiuchumi zisizotumika na wenyeji na hivyo kujitengenezea mifumo ya kuingiza jamaa zao nchini na kuwaweka nyanja zote ya kijamii na kiuchumi.

Ukiongezea na utamaduni wa rushwa (tena ndogondogo) tuliouendekeza katika kila sekta imekuwa vigumu sana tukabaini au kutofautisha wananchi, wahamiaji halali na wahamiaji haramu. Ndio maana imekuwa rahisi kwa watawala kumtangaza mtu anayewabugudhi kuwa mhamiaji haramu na kumruhusu asiye raia kufanya kufuru kibao bila kuguswa! Manake leo hii mtu kama mimi nikisimamishwa barabarani nikadaiwa kuthibitisha uraia wangu, nitatoa vitu ambavyo wasio raia wengi wanavyo: Tz passport, kitambulisho cha kupigia kura, leseni ya udereva, barua ya Mwenyekiti wa kijiji, n.k. Vyote hivyo, kwa asiye raia, vinapatikana kirahisi sana kwa kuwashikisha wahusika kitu kidogo. Kama ni kiswahili, wanazungumza hata London.

Hivyo, tukianza kusaka wahamiaji haramu mitaani kwetu, basi tunajitafutia taabu isiyo kifani na kuivuruga nchi. Mtanzania halisi ni nani katika nchi hii? Ndio maana wapuuzi kule Rwanda wakaamua kumchambua na kumpa u-Hutu mke wa Rais! Walishapiga hesabu zao na kuona nchi yetu ni ya kufanyia mchezo. Haya, kabla hatujaweka sawa masuala ya uraia wetu, wengine tayari wako mbioni kusaka uraia wa nchi mbili. Haya ni majanga.
 
Naona sasa wahamiaji wameanza kuingia katika Forum hii .Nadhani ni vyema watu hawa wakaguliwe mapema kabla ya vitambulisho vya Taifa .Tubakie wenyewe .

Wakati mwingine huwa nakuwa na sentiments kama hizo. Lakini jiulize sisi "wenyewe" ni akina nani? Tunatambulikaje? Tunajitambuaje? Hata ukweli kuhusu uraia wa maraisi wetu waliopita kuanzia JKN bado uko katika mjadala! Kama hatutaleta mapinduzi ya kweli kwenye mfumo wetu wa uongozi wa nchi na kujijengea utamaduni makini wenye kusimamia maslahi ya Taifa na wananchi wake, tusahau kabisa habari ya kuwa na nchi yenye watu wanaotambulika rasmi kama Watanzania.

Majuzi tu, leseni mpya za udereva zilipoanza kutolewa, mie nikihangaikia yangu, nikakuta wageni waliokuja kuhudhuria semina ya wiki moja wakinionyesha leseni walizopata nchini kipindi hicho kwa kushikisha watu vi-dollar na kutamba kwamba kwao ni vigumu sana kuzipata lakini ukija na ya nje basi mambo yanaharakishwa! Ni kama vile nchi hii haina mwenyewe.
 
Mh.Membe sioni kutilia maanani issue ya wahamiaji haramu kwa sababu yeye anashadadia uraia wa nchi mbili.wazungu wenyewe wanasisitiza utaifa wa nchi zao,Sasa Membe anatufunza nini kwa Maslahi ya nani.Kama Mtz kaamua kuikana nchi yake na aende tu,tunaobaki tubaki na uzalendo wetu.
 
Acha kuwatetea wenzako, nyie wahamiaji haramu mtaondoka tu. Tunawajua hadi mnapoishi.
 
Ndefu iyo.. Bt hata JW waliwahi kukiri kua kuna maofisa wenye origin ya kigeni ( Tutsi ) na waliwastaafisha kwa lazima sasa hapo sioni kama kuna kilichosalimika tena.. ingawa huyu bwna chris nae smtymz anakuwaga haaminiki
Kitu muhimu ni kupima kama kuna ukweli katika alichosema
 
Kwa operesheni inayoendelea ...ya kuondoa wakimbizi ...nani anasema mtikila na chizi ?????


Mtikila ni agent mtiifu na anayeipenda Nchi...
 
Miezi mingi imepita tokea Mtikila aongelee hili suala na kuna watu humu walimkachifu huyu mzee, sasa nadhani umeona nani zaidi kati ya mtikila na hao wanausalama . Ni mambo ya ajabu mtu km mtikila ana infrmation nyeti , usalama hawana. Leo ndy serikali inakurupuka wakati jamaa wanajua serikali na nchi kwa ujumla km makalio yao. Ni upumbavu ulioje

Ni mkakati tu......!!! Mtikila Ndie aliyepangwa kumfunga Paka Kengele......

That's how machinery operates ....

Sintamuelewa Amiri Jeshi Mkuu Asipompa mtikila "secret" medal of Kilimanjaro or anything ....kwa huduma yake Hii kwa wana wa Nchi ....
 
Katika Mikakati Iliyofanywa Na Wanyarwanda Kwa Mda Mrefu Sasa, Kuna Kila Dalili Za Watu Hao Jamii Ya Watutsi Kutimiza Lengo Lao La Miaka Mingi La Kuitawala Afrika Mashariki Na Kati. Kwasasa Wameshaitawala Congo( Joseph Kabila), Tanzania( Awamu Ya Kwanza Na Hii Ya Sasa, Ila Ya Sasa Ni Mhutu), Uganda ( Museven Kaguta Joweri)... Inasemekana Kwamba Mpango Huu Ni Endelevu, Hata Hapa Tz Inasemekana Kuna Sekta Nyeti Zimeshakamatwa Na Watutsi.. Hao Ndo Watutsi, Wayahudi Wa Afrika..
 
Back
Top Bottom